Ads: info@gazetini.co.tz |
23.8 C
Dar es Salaam

World CUP

Argentina v Hispania: Messi dhidi ya kivuli cha Yamal

MIAMI, Marekani JUMAPILI ya wiki hii, Julai 19, 2026, nyasi za Uwanja wa MetLife nchini Marekani zitawaka moto kwa mchezo wa fainali ya msimu huu...

Messi anacheka kwa dharau, atuma ujumbe

MIAMI, Marekani  NAHODHA wa timu ya soka ya Taifa ya Argentina, Lionel Messi, amezipuuza taarifa zinazodai kuwa wanabebwa na Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA). Messi...

Ibrahimovic aanika kilichoiua England kwa Argentina

MIAMI, Marekani LEJENDARI wa soka, Zlatan Ibrahimovic, ameibuka baada ya timu ya soka ya Taifa ya England kufungwa mabao 2-1 na Argentina katika mchezo wa usiku...

Porro: Kufuzu fainali ni ndoto iliyotimia

NEW YORK, Marekani BEKI wa Hispania na mchezaji bora wa mechi, Pedro Porro, amesema kufuzu kwa timu yake fainali ni ndoto aliyokuwa akiisubiri kwa muda...

Ufaransa v Hispania: Nusu fainali ya heshima Kombe la Dunia 2026

TEXAS, Marekani TIMU ya soka ya Taifa ya Ufaransa itamenyana na Hispania katika mchezo wa nusu fainali ya msimu huu wa Kombe la Dunia. Mechi...

Vigogo walioangukia pua Kombe la Dunia 2026

BOSTON, Marekani NI timu nne pekee zilizobaki katika fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu (2026). Kwamba timu 44 zimeshaaga mashindano hayo ya Shirikisho...

Kizazi cha dhahabu kilivyoifelisha Ubelgiji Kombe la Dunia

BOSTON, Marekani KICHAPO cha mabao 2-1 kutoka kwa Hispania katika mchezo wa robo fainali ya Kombe la Dunia kilihitimisha safari ya 'kizazi cha dhahabu' cha...

Argentina v England: Nusu fainali ya chuki, kisasi

LONDON, Uingereza NANI kutinga fainali ya msimu huu wa Kombe la Dunia katika mchezo huo wa Julai 15, 2026? Ni Argentina ya Lionel Messi au...

Ufaransa inazuilika kutwaa ubingwa?

PARIS, Ufaransa BAADA ya ubingwa wa mwaka 2018, safari hii timu ya soka ya Taifa ya Ufaransa ipo tena kwenye nafasi ya kutwaa taji hilo...

Huyu Mbappe ni moto mwingine kabisa

BOSTON, Marekani MSIMU huu wa fainali za Kombe la Dunia umekuwa wa mafanikio makubwa kwa mshambuliaji wa timu ya soka ya Taifa ya Ufaransa, Kylian...

Messi, England nusu fainali ya kihistoria

MIAMI, Marekani LICHA ya kucheza mechi zaidi ya 200 akiwa na timu ya Taifa ya Argentina, Lionel Messi hajawahi kuikabili England. Safari hii, Messi atakutana kwa...

Afrika ya vipaji v Ulaya ya mifumo

MIAMI, Marekani AFRIKA haina mwakilishi katika hatua ya nusu fainali ya msimu huu wa Kombe la Dunia. Ni timu za Bara la Ulaya pekee zilizobaki. Hata...

Recent articles