Ads: info@gazetini.co.tz |
22.7 C
Dar es Salaam

Michezo

Nabi yajayo yanafurahisha ‘Sauzi’

JOHANNESBURG, Afrika KusiniBEKI wa zamani wa Kaizer Chiefs, Mokete Tsotetsi, anaamini timu hiyo inayonolewa na kocha Nasreddine Nabi itakuja kivingine msimu ujao. Kaizer ilimaliza msimu...

Osimhen haondoki Napoli

NAPOLI, Italia LICHA ya kuhusishwa na klabu kadhaa za Ulaya, zikiwamo pia za Saudi Arabia, Victor Osimhen ataungana na wachezaji wengine wa Napoli kwa ajili...

Staa England adakwa kwa ulevi

LONDON, EnglandKIUNGO wa zamani wa Liverpool na timu ya taifa ya England, Paul Ince, ameingia matatani baada ya kukutwa akiendesha gari akiwa amelewa. Ince mwenye...

LeBron aiweka njiapanda Lakers

LOS ANGELES, MarekaniHATUA ya staa wa Angeles Lakers ya Ligi Kuu ya Kikapu ya Marekani (NBA), LeBron James, kutokuongeza mkataba imeibua minong'ono kuwa huenda...

Alis Moore; Binti anayetafuna pesa za wanasoka Ulaya

MADRID, Hispania KISIWA cha Ibiza. Kinapatikana nchini Hispania na ni moja ya maeneo ghali na yenye starehe za kiwango cha juu duniani. Kutokana na upekee wake,...

Usiyoyajua kuhusu WAFCON 2025

CAIRO, Misri FAINALI za Mataifa Afrika kwa upande wa soka la Wanawake (WAFCON) zitaanza kutimua vumbi wikiendi hii (Julai 5) huko Morocco. Wenyeji kwa mara ya...

Nyuma ya pazia mkataba wa Ronaldo

RIYADH, Saudi ArabiaBAADA ya kusaini mkataba mpya wa miaka miwili, sasa staa wa Al-Nassr, Cristiano Ronaldo, atavuna Pauni milioni 492 (zaidi ya Sh tril....

Kessie akili yote Serie A

MILAN, ItaliaRIPOTI zinaeleza kuwa kiungo wa zamani wa AC Milan, Franck Kessie, ameanza kutamani kurudi Ligi Kuu ya Italia (Serie A). Kessie mwenye umri wa...

Waarabu kumng’oa staa Liverpool?

MERSEYSIDE, England KLABU tajiri ya Al-Nassr ya Ligi Kuu ya Saudi Arabia imemtengea dau nono winga wa Liverpool, Luis Diaz.Taarifa zinaeleza kuwa Al-Nassr itaipelekea Liver...

Mbappe fiti kuivaa Juve

MADRID, HispaniaUWEZEKANO ni mkubwa kwa mshambuliaji wa Real Madrid, Kylian Mbappe, kuikabili Juventus katika mchezo wa keshokutwa.Madrid itavaana na vigogo hao wa Serie A,...

Pogba amwaga machozi akisaini Monaco

MONACO, Ufaransa KATIKA video iliyosambaa mitandaoni, kiungo wa zamani wa Manchester United, Paul Pogba, anaonekana akimwaga machozi wakati akisaini mkataba wa kujiunga na Monaco ya...

Pochettino atoswa EPL

LONDON, England MAURICIO Pochettino ni miongoni mwa makocha waliokuwa kwenye usahili wakati Brentford ilipokuwa ikisaka kocha hivi karibuni. Pochettino aliyewahi kufanya kazi Ligi Kuu ya England...

Recent articles