Ads: info@gazetini.co.tz |
30.2 C
Dar es Salaam

Michezo

Usiyoyajua kuhusu ‘playoff’ inayoisubiri DRC

LONDON, UingerezaMACHI 31, mwakani, ndipo zitakapopatikana timu zote 48 zitakazoshiriki fainali za Kombe la Dunia zitakazofanyika katika mataifa matatu; Marekani, Canada na Mexico.Kufikia sasa,...

Wakali wa mabao kufuzu Kombe la Dunia

Na mwandishi wetu, GazetiniFAINALI za Kombe la Dunia zimekuwa na rekodi nyingi, ikiwamo ile maarufu ya wafungaji bora wa muda wote wa mechi za...

Soma hapa maajabu ya Haiti kufuzu Kombe la Dunia

Na mwandishi wetu, GazetiniTIMU ya taifa ya Haiti nayo imefanikiwa kufuzu fainali za Kombe la Dunia za mwakani katika mazingira yaliyowashangaza wengi.Haiti, ambao hii...

Casemiro; Mashine iliyozaliwa upya United, Brazil

RIO, BrazilMIEZI 18 iliyopita, beki wa zamani wa Liverpool na timu ya taifa ya England 'Three Lions', Jamie Carragher alikuwa mbele ya kamera za...

Pochettino bado hali tete Marekani

LOS ANGELES, MarekaniBAADA ya timu ya soka ya taifa ya Marekani kuishia hatua ya makundi katika fainali za Kombe la Dunia za mwaka 2022,...

Mastaa 12 hawa ‘out’ Kombe la Dunia 2026

LONDON, UingerezaFAINALI za Kombe la Dunia za mwakani ziko njiani, ikiwa ni kwa mara ya kwanza michuano hiyo itashuhudia timu 48 zikishiriki.Miongoni mwa timu...

Curacao; Taifa dogo zaidi Kombe la Dunia 2026

LONDON, UingerezaKISIWA cha Curacao kimeandika historia ya kuwa taifa dogo zaidi kukata tiketi ya kushiriki fainali zijazo za Kombe la Dunia.Awali, rekodi hiyo ilikuwa...

DRC na safari ya jasho, damu kuwania tiketi Kombe la Dunia 2026

Na mwandishi wetu, GazetiniTIMU ya soka ya taifa ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) itaiwakilisha Afrika katika mchujo wa mwisho wa kupata timu...

Lewandowski aliombwa asifunge mabao

CATALUNYA, HispaniaKATIKA kitabu chake kipya, straika wa Barcelona, Robert Lewandowski, amefichua alivyoitwa na mabosi wa klabu hiyo na kumuomba asifunge mabao.Kupitia kitabu hicho kiitwacho...

Rooney ataja watatu anaowakubali EPL

MANCHESTER, UingerezaMKONGWE wa Manchester United, Wayne Rooney, amewataja wachezaji watatu wanaomvutia msimu huu wa Ligi Kuu ya England (EPL).Akihojiwa hivi karibuni, Rooney alianza kwa...

Gyan aitabiria Nigeria ubingwa AFCON

ACCRA, GhanaMSHAMBULIAJI wa zamani wa timu ya taifa ya Ghana, Asamoah Gyan, anaamini Nigeria ina nafasi kubwa ya kutwaa ubingwa wa fainali za AFCON...

Mayele, Mzize wang’ara tuzo za CAF

RABAT, MoroccoWAKATI straika wa Pyramids FC ya Misri, Fiston Mayele, akitwaa tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwaka 2025 kwa upande wa Ligi za Ndani...

Recent articles