Ads: info@gazetini.co.tz |
22.7 C
Dar es Salaam

Michezo

Bondia Debora apania kulipa kisasi

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Bondia  wa ngumi za kulipwa nchini, Debora Mwenda, ametangaza vita dhidi ya mpinzani wake Asia Meshack , akiahidi kulipa kisasi katika...

Yanga Bingwa Ligi Kuu msimu wa 2024/25

Na Mwandishi Wetu Yanga imefanikiwa kutetea ubingwa wake wa Ligi Kuu Tanzania Bara kwa kuichapa Simba mabao 2-0, kwenye Uwanja wa Benjamini Mkapa, Dar es...

Sinema mpya yaanza  kuelekea mechi ya Dabi kesho, Simba yakimbia mkutano wa wanahabari

Na Mwandishi Wetu Picha iliyotumwa na klabu ya Simba kwenye mitandao yao ya kijamii ni ujumbe  tosha baada ya kocha wao Fadlu Davis na nahodha...

Mwamuzi kutoka Misri kuchezesha Dabi ya Kariakoo

Na Mwandishi Wetu Bodi ya Ligi Kuu  Tanzania Bara imemtangaza mwamuzi Amin Omar kutoka Misri kuwa mwamuzi wa kati wa mchezo wa Dabi ya Kariakoo, Yanga...

Pazi ampiga mkwara Viguro kuelekea Dar Boxing Derby

Na Mwandishi Wetu Kuelekea pambano la Dar Boxing Derby, bondia Iddi Pazi wa Chanika , ametamba kumchapa mpinzani wake Viguro Shafii wa Mabibo watakapopanda ulingoni...

Waziri Mkuu aagiza  kukamilishwa ukarabati viwanja vya mazoezi ya CHAN  2025

Na Mwandishi Wetu Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amefanya ukaguzi wa viwanja vitakavyotumika kufanyia mazoezi kwa timu zitakazo shiriki michuano ya CHAN Agosti 2025 na AFCON...

Kocha Yanga: Siwaandai wachezaji wangu kisaikolojia kwa sababu si wagonjwa

Na Mwandishi Wetu Kocha Mkuu wa Yanga, Miloud Hamad amesema hawaandai wachezaji wake kisaikolojia kwa sababu si wagonjwa,  wako vizuri kiakili, yeye kama kocha kazi yake...

TSA yahitimisha msimu kibabe kwa mabingwa watoto kupatikana, BMT yawapongeza

Na Mwandishi Wetu Chama Cha Kuogelea Tanzania (TSA), kimehitimisha msimu wa mashindano kwa mujibu wa kalenda yao kwa kupata mabingwa katika michuano ya Taifa ya...

Uchaguzi Mkuu TFF Agosti 16

Na Mwandishi Wetu Kamati ya Uchaguzi ya Shirikisho la Soka Tanzania imetangaza uchaguzi mkuu wa shirikisho hilo utakaofanyika Agosti 16, 2025 jijini Tanga. Taarifa ya Mwenyekiti...

Watoto 295 wajitokeza mashindano ya kuogelea, TSA yajivunia mafanikio 

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Vijana wadogo  295 wenye umri chini ya miaka 12,wamejitokeza katika mashindano ya mchezo wa  kuogelea ya  Taifa ambapo  Chama cha Mchezo huo Tanzania (TSA), kimesema...

Sakata la dabi ya Kariakoo, Serikali yatoa msimamo

Na Mwandishi Wetu Serikali imesema kuwa inaendelea kufuatilia kwa makini sakata la mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara kati ya Yanga na Simba, lakini haitangilia...

Simba  ndoto zao ni kucheza  dabi, yawaita mashabiki kwa Mkapa Juni 15

Na Mwandishi Wetu Pamoja na mkanganyiko uliopo juu ya mchezo dabi ambapo  Yanga wameweka wazi kuwa hawatapeleka timu uwanjani Juni 15, klabu ya Simba imetoa...

Recent articles