Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Bondia wa ngumi za kulipwa nchini, Debora Mwenda, ametangaza vita dhidi ya mpinzani wake Asia Meshack , akiahidi kulipa kisasi katika...
Na Mwandishi Wetu
Yanga imefanikiwa kutetea ubingwa wake wa Ligi Kuu Tanzania Bara kwa kuichapa Simba mabao 2-0, kwenye Uwanja wa Benjamini Mkapa, Dar es...
Na Mwandishi Wetu
Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara imemtangaza mwamuzi Amin Omar kutoka Misri kuwa mwamuzi wa kati wa mchezo wa Dabi ya Kariakoo, Yanga...
Na Mwandishi Wetu
Kuelekea pambano la Dar Boxing Derby, bondia Iddi Pazi wa Chanika , ametamba kumchapa mpinzani wake Viguro Shafii wa Mabibo watakapopanda ulingoni...
Na Mwandishi Wetu
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amefanya ukaguzi wa viwanja vitakavyotumika kufanyia mazoezi kwa timu zitakazo shiriki michuano ya CHAN Agosti 2025 na AFCON...
Na Mwandishi Wetu
Kocha Mkuu wa Yanga, Miloud Hamad amesema hawaandai wachezaji wake kisaikolojia kwa sababu si wagonjwa, wako vizuri kiakili, yeye kama kocha kazi yake...
Na Mwandishi Wetu
Chama Cha Kuogelea Tanzania (TSA), kimehitimisha msimu wa mashindano kwa mujibu wa kalenda yao kwa kupata mabingwa katika michuano ya Taifa ya...
Na Mwandishi Wetu
Kamati ya Uchaguzi ya Shirikisho la Soka Tanzania imetangaza uchaguzi mkuu wa shirikisho hilo utakaofanyika Agosti 16, 2025 jijini Tanga.
Taarifa ya Mwenyekiti...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Vijana wadogo 295 wenye umri chini ya miaka 12,wamejitokeza katika mashindano ya mchezo wa kuogelea ya Taifa ambapo Chama cha Mchezo huo Tanzania (TSA), kimesema...
Na Mwandishi Wetu
Serikali imesema kuwa inaendelea kufuatilia kwa makini sakata la mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara kati ya Yanga na Simba, lakini haitangilia...
Na Mwandishi Wetu
Pamoja na mkanganyiko uliopo juu ya mchezo dabi ambapo Yanga wameweka wazi kuwa hawatapeleka timu uwanjani Juni 15, klabu ya Simba imetoa...