Ads: info@gazetini.co.tz |
25.8 C
Dar es Salaam

Michezo

Macho yote msimu ujao Ligi Kuu ya Uturuki

ISTANBUL, UturukiKUELEKEA msimu ujao, klabu za Ligi Kuu ya Uturuki zimeonekana kuvimbiana na zile za matajiri wa Saudi Arabia katika soko la usajili la...

Sesko: Mtambo wa mabao uliotua Old Trafford

MANCHESTER, UingerezaBAADA ya tetesi za muda mrefu, Manchester United imevunja kibubu na kuchomoa kitita cha Pauni milioni 74 kumsajili mpachikaji mabao wa kimataifa wa...

Staa mpya Liverpool abeba tuzo Ujerumani

MUNICH, UjerumaniMSHAMBULIAJI mpya wa Liverpool, Florian Wirtz, ametwaa tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwaka wa Ujerumani.Wirtz aliyetua Anfield kwa ada ya Pauni milioni 116,...

Bondia afariki baada ya kupigwa ‘KO’

TOKYO, JapanBONDIA raia wa Japan, Hiromasa Urakawa, amepoteza maisha ikiwa ni wiki moja tu tangu alipopoteza pambano lake kwa 'KO' mbele ya Yoji Saito.Pambano...

Rasheedat Ajibade: Staa Nigeria anayeitoa udenda PSG

PARIS, UfaransaKWA misimu minne mfululizo, Rasheedat Ajibade amekuwa mchezaji muhimu katika safu ya ushambuliaji ya Atletico Madrid na sasa PSG wanajaribu kuinasa saini ya...

Arsenal, City, Chelsea nani kuivua ubingwa Liverpool?

LONDON, EnglandMARA ya mwisho kwa Liverpool kuchukua mara mbili mfululizo taji la Ligi Kuu ya England (EPL) ni mwaka 1984. Je, watarudia maajabu hayo...

Taifa Stars yaandika historia CHAN, yatinga robo fainali kibabe

Na Mwandishi Wetu Timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' imeandika historia kwa mara kwanza kwa kutinga robo fainali ya michuano ya CHAN 2024, ikiichapa...

Ligi ya Mabingwa Afrika Yanga kuanzia Angola, Simba Botswana

Na Mwandishi Wetu Mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga itaanza hatua ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Wiliete Benguela ya Angola...

Frimpong kuziba pengo la Salah

MERSEYSIDE, EnglandKOCHA wa Liverpool, Arne Slot, amefichua kuwa atamtumia mchezaji wake mpya, Jeremie Frimpong, katika eneo analocheza staa wa timu hiyo, Mohamed Salah.Salah raia...

Ndidi rasmi ajiunga na Besiktas

ISTANBUL, UturukiVIGOGO wa Ligi Kuu ya Uturuki, Besiktas, wamethibitisha kuinasa saini ya kiungo wa kimataifa wa Nigeria, Wilfred Ndidi.Ndindi aliyeitumikia Leicester kwa miaka nane,...

Rais Ruto aendelea kumwaga fedha Harambee Stars

NAIROBI, KenyaILE ahadi ya Rais wa Kenya, William Ruto, kuwapa kitita cha fedha katika kila ushindi imeendelea kuwatajirisha wachezaji wa Harambee Stars.Rais Ruto aliahidi...

Bayern Munich yatema ubalozi Rwanda

MUNICH, UjerumaniKLABU ya Bayern Munich imesitisha mkataba wa kuitangaza sekta ya utalii ya Rwanda kupitia ujumbe wa ‘Visit Rwanda’ kwenye jezi zake.Hatua hiyo ya...

Recent articles