Ads: info@gazetini.co.tz |
27.7 C
Dar es Salaam

Michezo

DRC na safari ya jasho, damu kuwania tiketi Kombe la Dunia 2026

Na mwandishi wetu, GazetiniTIMU ya soka ya taifa ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) itaiwakilisha Afrika katika mchujo wa mwisho wa kupata timu...

Lewandowski aliombwa asifunge mabao

CATALUNYA, HispaniaKATIKA kitabu chake kipya, straika wa Barcelona, Robert Lewandowski, amefichua alivyoitwa na mabosi wa klabu hiyo na kumuomba asifunge mabao.Kupitia kitabu hicho kiitwacho...

Rooney ataja watatu anaowakubali EPL

MANCHESTER, UingerezaMKONGWE wa Manchester United, Wayne Rooney, amewataja wachezaji watatu wanaomvutia msimu huu wa Ligi Kuu ya England (EPL).Akihojiwa hivi karibuni, Rooney alianza kwa...

Gyan aitabiria Nigeria ubingwa AFCON

ACCRA, GhanaMSHAMBULIAJI wa zamani wa timu ya taifa ya Ghana, Asamoah Gyan, anaamini Nigeria ina nafasi kubwa ya kutwaa ubingwa wa fainali za AFCON...

Mayele, Mzize wang’ara tuzo za CAF

RABAT, MoroccoWAKATI straika wa Pyramids FC ya Misri, Fiston Mayele, akitwaa tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwaka 2025 kwa upande wa Ligi za Ndani...

Hakimi abeba tuzo Mchezaji Bora Afrika

RABAT, MoroccoBEKI wa kulia wa PSG na timu ya taifa ya Morocco, Achraf Hakimi, ametwaa tuzo ya Mchezaji Bora wa Shirikisho la Soka barani...

Pyramids yaibwaga Simba tuzo za CAF

RABAT, MoroccoPYRAMIDS FC ya Ligi Kuu nchini Misri imetwaa tuzo ya Klabu Bora Afrika kwa mwaka huu, ikiipiku Simba SC ya Tanzania.Mbali ya Simba,...

Jonathan Barnett; Wakala wa soka na kashfa ya ubakaji

LONDON, UingerezaUPEPO unavuma vibaya kwa Jonathan Barnett, ambapo wakala huyo wa soka anakabiliwa na mashitaka ya ubakaji mjini London.Kwa mujibu wa kile kilichoelezwa mahakamani,...

Neymar kuibukia England Januari?

RIO, BrazilMSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Brazil, Neymar, atakuwa mchezaji huru katika usajili wa dirisha dogo la usajili hapo Januari, mwakani. Mkataba wake na Santos...

Super Eagles ilivyokwama kufuzu Kombe la Dunia

LAGOS, NigeriaLICHA ya kuwa na kikosi chenye mastaa Victor Osimhen, Ademola Lookman na Alex Iwobi, timu ya soka ya taifa ya Nigeria 'Super Eagles'...

Joshua, Paul nani kupigwa ‘KO’?

LONDON, UingerezaBAADA ya tetesi nyingi na za muda mrefu, sasa ni rasmi kuwa Anthony Joshua na Jake Paul watapanda ulingoni kurushiana makonde.Ni pambano la...

Haaland na safari yake ya kwanza Kombe la Dunia 2026

MANCHESTER CITY, UingerezaNDOTO imetimia! Mshambuliaji wa kati wa Manchester City, Erling Haaland, atacheza kwa mara ya kwanza Kombe la Dunia wakati timu yake ya...

Recent articles