Ads: info@gazetini.co.tz |
26 C
Dar es Salaam

Michezo

Kuelekea Kombe la Dunia 2026: Ghana (11)

ACCRA, GhanaNAFASI ya 72 katika viwango vya ubora wa soka vya Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA). 'Black Stars' walikuwa nafasi ya 14 mwaka...

Kuelekea Kombe la Dunia 2026: Misri (10)

CAIRO, MisriMWAKA 2010, Misri ilikuwa nafasi ya tisa katika viwango vya ubora wa soka duniani lakini kwa sasa ni ya 34.Maarufu pia kwa jina...

Kuelekea Kombe la Dunia 2026: Cape Verde (9)

PRAIA, Cape VerdeTAIFA hilo linaloshika nafasi ya 68 kwenye viwango vya Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) litashiriki kwa mara ya kwanza fainali za...

Kuelekea Kombe la Dunia 2026: Algeria (8)

ALGIERS, AlgeriaKATIKA viwango vya ubora vya Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), vigogo hao wa Kaskazini mwa Afrika wako nafasi ya 35. Waliwahi kufika...

Kuelekea Kombe la Dunia 2026: Mexico (7)

MEXICO CITY, MexicoMWAKA 2006, Mexico ilikuwa katika nafasi ya nne kwenye viwango vya ubora wa soka vya Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA). Kwa...

Kuelekea Kombe la Dunia 2026: Canada (6)

TORONTO, CanadaNI baada ya ushindi dhidi ya Panama, ndipo timu ya soka ya taifa ya Canada ilipojihakikishia nafasi ya kushiriki fainali zijazo za Kombe...

Kuelekea Kombe la Dunia 2026: Marekani (5)

LOS ANGELES, MarekaniTIMU ya soka ya taifa ya Marekani itashiriki fainali za Kombe la Dunia za mwakani ikiwa inashika nafasi ya 14 katika viwango...

Wadau mchezo wa kuogelea Afrika Mashariki wakutana, Serikali yaahidi kuunga mkono jitihada

Na Winfrida Mtoi, Gazetini WADAU wa mchezo wakuogelea Afrika Mashariki wamekutana kujadili maendeleo ya mchezo huo, huku Serikali ya Tanzania ikiahidi kuunga mkono jitihada zao...

Kuelekea Kombe la Dunia 2026: Japan (4)

TOKYO, JapanNI moja ya timu zilizofuzu na itakuwa miongoni mwa zile 48 zitakazokwenda kwenye fainali za Kombe la Dunia za mwakani.Japan inashika nafasi ya...

Dube azima ngebe za waarabu

Na Winfrida Mtoi, Gazetini BAO pekee lililofungwa na Prince Dube dakika ya 58, limeipa Yanga alama tatu muhimu katika mchezo wa kwanza wa hatua ya...

Kuelekea Kombe la Dunia 2026: Argentina (3)

LONDON, UingerezaARGENTINA inashika nafasi ya pili katika viwango vya ubora wa soka dunaini. Imeporomoka kwa nafasi moja kwani ilikuwa ya kwanza Julai, mwaka huu.'La...

Kuelekea Kombe la Dunia 2026: Uzbekistan (2)

LONDON, UingerezaKWA viwango vya sasa vya ubora wa soka vya Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), Uzbekistan inashika nafasi ya 50.Uzbekistan, maarufu kwa jina...

Recent articles