Ads: info@gazetini.co.tz |
25.8 C
Dar es Salaam

Michezo

Stars ni rekodi za kibabe tu CHAN 2024

Na mwandishi wetu, GazetiniKWA mara ya kwanza katika historia ya CHAN, timu ya soka ya taifa ya Tanzania (Taifa Stars) imetinga robo fainali, tena...

Arteta amjibu mkongwe Arsenal

LONDON, EnglandKOCHA Mikel Arteta amesema hana mpango wa kumpokonya unahodha kiungo wake raia wa Noray, Martin Odegaard.Arteta ni kama amemjibu lejendari wa Arsenal, Tony...

Kounde aongeza mkataba Barcelona

CATALUNYA, HispaniaKLABU ya Barcelona imetangaza kumpa mkataba mpya beki wake wa pembeni raia wa Ufaransa, Jules Kounde, na sasa atabaki Camp Nou hadi mwaka...

Salah amwaga machozi kumlilia Jota

MERSEYSIDE, EnglandSTAA wa Liverpool, Mohamed Salah, alishindwa kuzuia machozi yasimtoke aliposikia mashabiki wa klabu hiyo wakiliimba jina la aliyekuwa mchezaji wao, Diogo Jota, ambaye...

Guardiola: Ederson bado namba moja City

MANCHESTER, EnglandKOCHA wa Manchester City, Pep Guardiola, amesisitiza kuwa bado Ederson ataendelea kuwa changuo la kwanza langoni msimu huu.Guardiola amekuja na kauli hiyo licha...

Nyota hawa watashangaza wengi msimu huu EPL

LONDON, EnglandMSIMU mpya wa uhondo wa mechi za Ligi Kuu ya England (EPL) ulianza jana. Kama ilivyo kawaida, wapo wachezaji wanaopewa nafasi kubwa ya...

United, Arsenal moto utawaka wikiendi hii

LONDON, EnglandMECHI kubwa ya kwanza msimu huu wa Ligi Kuu ya England (EPL), ambapo Jumapili hii Manchester United watakuwa nyumbani Old Trafford kuwakaribisha Washika...

Wizara yateua viongozi wa muda Kamisheni ya Ngumi

Na Mwandishi Wetu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Profesa Palamagamba Kabudi, amemteua mwandishi wa habari, Patrick Nyembera kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Kamisheni...

Mwakinyo aahidi burudani ya masumbwi Mwanza, ataka  mrithi wake atoke huko

Na Mwandishi Wetu, Gazetini BONDIA wa Kimataifa wa  ngumi za kulipwa Tanzania, Hassan Mwakinyo anatarania kupanda ulingoni Desemba 26, 2025, jijini Mwanza, huku akitamani kupata...

Yanga yaomba radhi mashabiki,yafafanua kuhusu mchango wa milioni 100 CCM

Na Mwandishi Wetu Klabu ya Yanga imewaomba radhi mashabiki wake na kutoa kuhusu fedha kiasi cha sh 100 milioni walizotoa mchango katika harambee ya kuchangia...

Madrid, Barca ni patashika msimu ujao La Liga

MADRID, HispaniaMSIMU ujao wa La Liga unaotarajiwa kuanza Agosti 15, mwaka huu, ni wa kwanza kwa Xabi Alonso akiwa kocha wa Real Madrid na...

Dodoma Jiji yaachana na Ajibu

Na Mwandishi Wetu Klabu ya Dodoma Jiji imeachana na mchezaji Ibrahim Ajibu aliyejiunga na timu hiyo msimu uliopita. Tangu klabu hiyo imemtangaza kocha mpya, Vincent Mashami...

Recent articles