Ads: info@gazetini.co.tz |
21.5 C
Dar es Salaam

Michezo

Usiyoyajua kuhusu mrithi wa Okello anayewindwa Msimbazi

Na mwandishi wetu, Gazetini KIUNGO wa Vipers SC ya Uganda, Abdu Karim Watambala, ameingia kwenye rada za klabu ya Simba, inayompigia hesabu za kumsajili kwa...

Serengeti Boys yapoteza fainali, yasubiri Kombe la Dunia

RABAT, Morocco LICHA ya kufungwa na Senegal, bado timu ya soka ya vijana wa U-17 ya Tanzania 'Serengeti Boys' ina tiketi ya kushiriki fainali za...

Gilberto Mora: Kinda wa kihistoria Kombe la Dunia 2026

LONDON, Uingereza KUELEKEA fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu zitakazoanza Juni 11, 2026, macho yote ni kwa kiungo wa timu ya Taifa ya...

Kibabage aipa mzuka Serengeti Boys kuelekea fainali ya AFCON

Na Winfrida Mtoi, Gazetini BEKI wa timu ya Taifa (Taifa Stars), Nickson Kibabage  amesema kitendo cha vijana wa timu ya Serengeti Boys kufika  fainali ya...

Arteta kulamba mkataba mpya Arsenal

LONDON, Uingereza MABOSI wa Arsenal wanataka kumpa mkataba mpya kocha wao raia wa Hispania, Mikel Arteta, kabla ya timu hiyo kuanza kambi ya 'pre-season'. Haraka hiyo...

Luis Enrique alivyotimiza ndoto ya matajiri wa Qatar

PARIS, Ufaransa MWAKA 2011, matajiri wa kampuni ya Qatar Sports Investments ya Qatar walikuwa mezani na mabosi wa klabu ya kawaida tu, PSG. Matajiri wa...

Depu na kivuli cha Dube: Yanga inahitaji straika mpya?

Na mwandishi wetu, Gazetini MJADALA wa kiwango cha mashambuliaji wa kimataifa wa Angola, Depu, tangu asajiliwe na Yanga umeshika kasi mitandaoni na hata vijiweni, wengi...

Shangwe la ubingwa lawaponza mashabiki wa PSG

PARIS, Ufaransa POLISI nchini Ufaransa wanawashikikia mashabiki zaidi ya 400 wa PSG waliosababisha vurugu katika maeneo mbalimbali nchini humo baada ya timu yao kutwaa taji...

Wilshere awashusha presha mashabiki Arsenal

LONDON, Uingereza KIUNGO wa zamani wa Arsenal, Jack Wilshere, anaamini klabu hiyo haitosubiri tena miaka 20 kufika fainali na kutwaa taji la Ligi ya Mabingwa...

Carrick, Man United na safari ya matumaini 2025-26

MANCHESTER, Uingereza RUBEN Amorim alitimuliwa kwenye benchi Januari, 2026, na nafasi yake kuchukuliwa na kocha Michael Carrick, ambaye ameiwezesha Manchester United kurejea Ligi ya Mabingwa. Ni...

Siku 365 zilivyohitimisha kibarua cha Arne Slot

MERSEYSIDE, England LIVERPOOL wametangaza kumfuata kazi kocha wao raia wa Uholanzi, Arne Slot. Ametimuliwa leo Mei 30, 2026, zikiwa ni siku 365 tangu alipoajiriwa. "Klabu ya...

PSG yaizima Arsenal, yabeba tena Ligi ya Mabingwa

BUDAPEST, Hungary MATAJIRI wa Paris, PSG, wamelitetea taji la Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya ushindi wa penalti 4-3 dhidi ya Arsenal katika mchezo wa...

Recent articles