LONDON, Uingereza
MASHABIKI wa soka duniani kote wameendelea kulalamikia bei kubwa ya tiketi za kuingia uwanjani wakati wa fainali za Kombe la Dunia zitakazofanyika mwakani.
Kwa...
LONDON, Uingereza
UNAMKUMBUKA Bruno Lage? Aliwahi kufanya kazi Ligi Kuu ya England akiwa na Wolves lakini sasa hana kibarua tangu alipofukuzwa Benfica na nafasi yake...
Na Winfrida Mtoi, Gazetini
BONDIA Ismail Khalid maarufu Boyka ametamba kutoa kipigo kikali kwa mpinza wake Hassan Ndonga ‘Tyson Wa Bongo’ hadi aombe maji ulingoni.
Bokya...
MANCHESTER, Uingereza
MPACHIKAJI mabao wa zamani wa Manchester United, Wayne Rooney, amefichua alivyowahi kupokea vitisho vya kuuawa baada ya kujiunga na klabu hiyo akitokea Everton.
Mwaka...
LONDON, Uingereza
USAJILI wa dirisha dogo wa Januari, mwakani, uko njiani kwa klabu za soka barani Ulaya, zikiwamo zile za Ligi Kuu ya England (EPL).
Manchester...
Na mwandishi wetu, Gazetini
KAMA utazizungumzia timu zenye nafasi kubwa ya kutwaa ubingwa wa Kombe la Dunia hapo mwakani, basi hutaacha kuitaja England 'Three Lions'....
Na mwandishi wetu, Gazetini
HAFLA ya droo ya hatua ya makundi imeshafanyika huko Marekani, ikimaanisha sasa yangeshapatikana 12 yeye timu nne kila moja. Zilizofuzu ni...
Na Hassan Mwasha, Gazetini
ACHANA na akina Pacome Zouzoua. Kama kuna jambo linalowapa jeuri mashabiki, viongozi na benchi la ufundi la Yanga, ni uwepo wa...
Na mwandishi wetu, Gazetini
KUMEKUCHA! Droo ya hatua ya makundi ya fainali za Kombe la Dunia ilichezeshwa nchini Marekani.Kwa mara ya kwanza, fainali hizo zitashirikisha...
Na mwandishi wetu, Gazetini
KUMEKUCHA! Droo ya hatua ya makundi ya fainali za Kombe la Dunia ilichezeshwa nchini Marekani.Kwa mara ya kwanza, fainali hizo zitashirikisha...
Na mwandishi wetu, Gazetini
KUMEKUCHA! Droo ya hatua ya makundi ya fainali za Kombe la Dunia ilichezeshwa nchini Marekani.Kwa mara ya kwanza, fainali hizo zitashirikisha...