Na Jackline Jerome, Gazetini
Tanzania inaongoza barani Afrika na duniani kwa ujumla kwa kuwa na idadi kubwa ya simba, ikiwa na jumla ya takribani simba...
Na Mwandishi Wetu
Wizara ya Maliasili na Utalii, kupitia Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) imetenga fedha kiasi cha Sh 23.18 bilioni kwa ajili ya...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Deodatus Balile, ameshauri waandishi wa habari kuwa na alama za utambuzi wakati wa kuripoti...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan ametangaza kuongeza kima cha chini cha mshahara kwa watumishi wa...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limemkamata Rauli Mahabi kwa tuhuma za kumjeruhi Katibu Mkuu wa Baraza la...
Na Ramadhan Hassan, Gazetini-Dodoma
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania(JWTZ) limetangaza nafasi za kuandikishwa jeshini kwa vijana wa Kitanzania wenye elimu kuanzia Sekondari hadi...
*Yaadhimisha Siku ya Usalama na Afya Duniani mkoani Singida
Na Mwandishi Wetu, Gazetini-Singida
Serikali imetoa wito kwa waajiri, wafanyakazi na wananchi kwa ujumla kujenga utamaduni wa...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Pato la Taifa (GDP) ni kiashirio muhimu kinachopima thamani ya jumla ya bidhaa na huduma zinazozalishwa katika taifa kwa kipindi cha...
*Ahamasisha ushirika wa wakulima
Na Ramadhan Hassan, Gazetini-Dodoma
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Aprili 27, 2025, ametoa maagizo sita kwa wadau wa sekta ya kilimo nchini,...