Na Mwandishi Wetu, Gazetini-Tanga
Katika kuhakikisha kuwa waandishi wa habari wanakuwa mstari wa mbele kuelimisha jamii na kuchochea sera kuhusu uchumi wa buluu, Chama cha...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Mradi wa Bahari Mali, unaotekelezwa na Shirika la Kimataifa la Uhifadhi wa Mazingira (IUCN), unalenga kuonesha mifano ya vitendo ya uchumi...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini-Dodoma
Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Dk. Jim Yonazi, amewahimiza watumishi wa umma kujenga utamaduni wa...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Benki ya CRDB imesema kampeni ya kuhamasisha matumizi ya kidigitali katika kufanya miamala kupitia kadi ya Tembocard imekuwa na mafanikio makubwa.
Kampeni...
Na Mwandishi Wetu
Mkuu mpya wa Mkoa wa Arusha, Kenani Kihongosi amesema atafanya kazi aliyotumwa na Rais Samia Suluhu Hassani na hataruhusu kikwazo chochote kitakachojaribu kuzuia maendeleo ya...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini-Dodoma
Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini, Mhandisi Yahya Samamba, amesema kuwa hadi kufikia Juni 28, 2025 — zikiwa zimebaki siku chache...
Na Mwandishi Wetu
Rais Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania itaendelea kushirikiana na Msumbiji katika kuleta maendeleo , ustawi wa wananchi ikiwamo kuimarisha uhusiano kibiasharana baina ya nchi hizo mbili na kukuza mshikamano barani...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Dar es Salaam, Juni 25, 2025 – Licha ya juhudi mbalimbali za kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia nchini Tanzania,...
Na Mwandishi Wetu
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, ametangaza kuwa atalivunja rasmi Baraza la Kumi la Wawakilishi...