Ads: info@gazetini.co.tz |
25.2 C
Dar es Salaam

Author: gazetiniAdmin_1

‘Nyuma ya ushirikiana’, Chief Godlove ni kitabu kizuri kukisoma

Na mwandishi wetu, Gazetini KWA wapenzi wa mitandao ya kijamii, hasa 'walevi' wa habari za burudani, Chief Godlove si jina geni masikioni na machoni mwao. Ni...

Mataifa yanayoongoza watu wake kwenda ughaibuni

Na mwandishi wetu, Gazetini NI kwa mujibu wa ripoti ya Umoja wa Mataifa Idara ya Uchumi na Ustawi wa Jamii. Kwamba India inaongoza kwa raia...

Wagonjwa wa ‘AI’ kutumika mafunzo ya udaktari

Na mwandishi wetu, Gazetini DUNIA inakwenda kasi. Maendeleo ya sayansi na teknolojia yanaibua gunduzi zinazorahisha na kuleta ufanisi wa shughuli mbalimbali. Kwa sasa, fani ya udaktari...

Waziri Sangu azindua mafunzo ya usalama kwa wachimbaji wadogo Geita

Na mwandishi wetu, Gazetini WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira na Mahusiano), Deus Sangu, amezindua kampeni ya mafunzo kwa wajasiriamali wadogo ambayo...

Buba Jammeh; Ukiweka kushoto sawa, kulia anakumaliza kabisa!

Na mwandishi wetu, Gazetini NDIYE aliyefunga mabao yote katika ushindi wa 2-0 walioupata Yanga 'Timu ya Wananchi' katika mchezo uliopita dhidi ya Cosmo Politan. Ulikuwa ni...

Hii ndiyo tofauti ya maisha ya China, Marekani

Na mwandishi wetu, Gazetini MATAIFA mawili yanayopeana upinzani mkali katika nyanja ya kiuchumi, yakitajwa kuongoza duniani kwa upande wa maendeleo ya sayansi na teknolojia. Kupitia utafiti...

Mwandishi aliyeingia kazini akiwa amelewa aomba radhi

MILAN, Italia MWANDISHI wa habari raia wa Italia, Danika Mason, ameomba radhi baada ya video iliyosambaa mitandaoni kumuonesha akiwa amelewa pombe. Mason ni miongoni mwa waandishi...

Migodi mikubwa nchini yatakiwa kuwezesha wachimbaji wadogo

Na mwandishi wetu, Gazetini Wito umetolewa kwa makampuni makubwa ya uchimbaji madini nchini kuwekeza katika kuwawezesha wachimbaji wadogo katika nyanja mbalimbali ikiwemo teknolojia za kisasa...

Vilevi vinavyotumiwa na vijana wengi Marekani

Na mwandishi wetu, Gazetini KWA miaka mingi, matumizi ya vilevi yamekuwa yakitafsiriwa kuwa ni mtindo wa kisasa wa maisha ya vijana wengi duniani kote. Licha ya...

Serikali yazindua mpango mahsusi wa umeme jua visiwani

-Kuchochea uchumi wa buluu Na mwandishi wetu, Gazetini SERIKALI imezindua mpango mahsusi wa kusambaza mifumo ya umeme jua katika visiwa 120 nchini, hatua inayolenga kuchochea Uchumi...

Viwanja vya soka vikubwa zaidi duniani

LONDON, Uingereza UKIWA na uwezo wa kupokea mashabiki 132,000, Uwanja wa Narendra Modi ndiyo mkubwa zaidi katika ulimwengu wa mchezo wa soka. Uwanja huo uko...

Maktaba| Kiti kilivyosababisha ‘bifu’ la Henry, Nasri

Na mwandishi wetu, Gazetini MAKTABA ni safu mpya itakayokuwa ikikujia kupitia hapa GAZETINI, ikilenga kukupa simulizi za mikasa ya ndani na nje ya uwanja ya...

Recent articles

spot_img