Ads: info@gazetini.co.tz |
25.2 C
Dar es Salaam

Author: gazetiniAdmin_1

Vikosi vya pesa ndefu Kombe la Dunia 2026

LONDON, Uingereza SIKU zinazidi kusogea na sasa zimebaki tisa tu kabla ya filimbi ya kwanza kupulizwa msimu huu wa fainali za Kombe la Dunia zitakazoanza...

James Milner: Miaka 24 ya mataji, rekodi za aina yake EPL

LONDON, Uingereza HATIMAYE kiungo mkongwe Ligi Kuu ya England (EPL), James Milner, alitangaza kustaafu soka hivi karibuni. Ni baada ya miaka 24 ya kucheza kwa...

Tishio la ugaidi kuelekea Kombe la Dunia 2026

LONDON, Uingereza KUELEKEA fainali za Kombe la Dunia zitakazoanza Juni 11, 2026, umekuwapo wasiwasi mkubwa juu ya uwezekano wa kutokea kwa mashambulizi ya kigaidi viwanjani. Michuano...

Makinda Ecuador kufanya maajabu Kombe la Dunia 2026?

LONDON, Uingereza MOJA ya timu za taifa 48 zitakazoshiriki fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu ni Ecuador inayotokea huko Kusini mwa Bara la...

Slot atupa dongo Liverpool, asema ameiacha inapostahili

MERSEYSIDE, Uingereza KOCHA wa Liverpool, Arne Slot, amefunguka kwa mara ya kwanza tangu alipofukuzwa klabuni hapo Jumamosi ya wiki iliyopita (Mei 30, 2026). Slot, raia wa...

Yanayotikisa Uchaguzi Mkuu wa Ethiopia ukifanyika

ADIS ABABA, Ethiopia RAIA wa Ethiopia wameingia kwenye Uchaguzi Mkuu Juni Mosi, 2026, huku mambo matatu yakiteka mijadala mingi katika siasa za nchi hiyo. Ifahamike kuwa...

Usiyoyajua kuhusu matumizi ya mirungi

Na mwandishi wetu, Gazetini MATUMIZI ya mirungi yana historia ndefu barani Afrika, yakitajwa kuanza miaka mingi iliyopita katika nchi za Ethiopia, Eritrea, Kenya na Somalia. Mirungi...

Saba wafariki baada ya ‘drone’ kugonga basi la abiria

KYIV, Ukraine WATU saba wameripotiwa kupoteza maisha na wengine 11 kujeruhiwa baada ya ndege isiyo na rubani (drone) kugonga basi la abiria nchini Ukraine. Kwa mujibu...

Kilimo cha bangi, uvutaji na madhara yake

Na mwandishi wetu, Gazetini KWA tafsiri ya Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya hapa nchini (DCEA), bangi ni aina ya dawa ya...

Usiyoyajua kuhusu mrithi wa Okello anayewindwa Msimbazi

Na mwandishi wetu, Gazetini KIUNGO wa Vipers SC ya Uganda, Abdu Karim Watambala, ameingia kwenye rada za klabu ya Simba, inayompigia hesabu za kumsajili kwa...

Serengeti Boys yapoteza fainali, yasubiri Kombe la Dunia

RABAT, Morocco LICHA ya kufungwa na Senegal, bado timu ya soka ya vijana wa U-17 ya Tanzania 'Serengeti Boys' ina tiketi ya kushiriki fainali za...

Israel kuiteka Ngome ya Beaufort kuna maana gani kwa Hezbollah?

BEIRUT, Lebanon HIVI karibuni, vikosi vya jeshi la Israel viliitaja kuwa ni mafanikio makubwa hatua ya kuiteka Ngome ya Beaufort iliyoko Lebanon. Kwamba ni hatua kubwa...

Recent articles

spot_img