Ads: info@gazetini.co.tz |
23.7 C
Dar es Salaam

Author: gazetiniAdmin_1

Tanzania, Namibia zaahidi kukuza ushirikiano wa kiuchumi, nishati na biashara

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania na Namibia zimekubaliana kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi, hususan...

Rais Samia: Hatutatoa nafasi kwa wanaotaka kuvuruga amani ya Tanzania

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, amezielekeza Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika...

Wazazi saidieni malezi ya watoto ili kuboresha taaluma

Na Malima Lubasha, Gazetini– Serengeti Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Mapinduzi iliyoko wilayani Serengeti, mkoa wa Mara, Jumanne Nyamhanga, amewataka wazazi na walezi kushirikiana...

Dk. Jafo ataka TBS kutoa elimu madhara ya unywaji pombe kupita kiasi

Na Ramadhan Hassan, Gazetini-Dodoma Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk. Selemani Jafo, amelitaka Shirika la Viwango Tanzania (TBS) kushirikiana na taasisi nyingine kutoa elimu kwa...

Msajili Hazina: Ni wakati wa Tanzania kunadi fursa za uwekezaji kimataifa

Na Mwandishi Wetu,Ivory Coast KATIKA jukwaa kubwa la viongozi wa taasisi za kibiashara barani Afrika, maarufu kama Africa CEO Forum, Tanzania imeendelea kujidhihirisha kama taifa...

Sima apendekeza maboresho haya wizara ya elimu

Na Ramadhan Hassan, Gazetini- Dodoma Mbunge wa Singida Mjini, Musa Sima (CCM), ameishauri Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kuzingatia maeneo matano muhimu ya kipaumbele...

Bunge lapitisha Bajeti ya Trilioni 2.44 wizara ya elimu

Na Ramadhan Hassan, Gazetini- Dodoma Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limepitisha bajeti ya Sh Trilioni 2.44 kwa mwaka wa fedha 2025/2026 kwa ajili...

Serengeti ni Tunu ya Taifa na Urithi wa Dunia itunzeni

Na Malima Lubasha, Gazetini-Serengeti Mkuu wa Mkoa wa Mara, Kanali Evans Mtambi, amewataka wananchi kushirikiana kwa karibu na wahifadhi katika kulinda, kutunza na kuhifadhi maeneo...

Chart| Tanzania bado ni kinara wa Simba Duniani

Na Jackline Jerome, Gazetini Tanzania inaongoza barani Afrika na duniani kwa ujumla kwa kuwa na idadi kubwa ya simba, ikiwa na jumla ya takribani simba...

IWPG Marks 6th Anniversary of International Women’s Peace Day with Global Virtual Ceremony

By Our Correspondent The International Women's Peace Group (IWPG), Global Region 2, under the leadership of Regional Director Seo Yeon Lee, successfully held an international...

Serikali yasisitiza utamaduni wa kujikinga na ajali mahali pa kazi  

*Yaadhimisha Siku ya Usalama na Afya Duniani mkoani Singida Na Mwandishi Wetu, Gazetini-Singida Serikali imetoa wito kwa waajiri, wafanyakazi na wananchi kwa ujumla kujenga utamaduni wa...

REA kusambaza mitungi 22, 000 ya gesi Tabora kwa Sh milioni 455

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umetenga kiasi cha shilingi milioni 455.7 kwa ajili ya kusambaza mitungi ya gesi 22,785 mkoani Tabora,...

Recent articles

spot_img