Na Mwandishi Wetu
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, ametangaza kuwa atalivunja rasmi Baraza la Kumi la Wawakilishi...
Na Mwandishi Wetu
MAKAMU Mwwnyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amewaeleza wabunge na madiwani hususan waliokuwa wanajifungia vioo kwenye magari wajue...
Na Mwandishi Wetu
Serikali imesema inaendelea na dhamira yake ya ushirikiano katika masuala ya afya ulimwenguni, huku ikifanya uwekezaji mkubwa wa miundombinu, utoaji wa huduma,...
Na Mwandishi Wetu
Makamu wa Rais Dk. Philip Mpango na mwenza wake Mama Mbonimpaye Mpango wameungana na waumini mbalimbali wa Kanisa Katoliki Duniani kushiriki Dominika...
Na Mwandishi Wetu
Watumishi wa Umma wameaswa kuendelea kuzingatia miiko na maadili ya utumishi wa umma, sera za nchi, sheria, kanuni na miongozo iliyopo ambayo...
Na Mwandishi Wetu
Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara imemtangaza mwamuzi Amin Omar kutoka Misri kuwa mwamuzi wa kati wa mchezo wa Dabi ya Kariakoo, Yanga...
Na Mwandishi Wetu
Tanzania inatarajia kunufaika na matumizi ya magari yanayotumia umeme na gesi yanayotarajiwa kutengenezwa nchinj kupitia kiwanda cha kampuni GF kilichopo Kibaha mkoani...
Na Mwandishi Wetu
Mwanamke aitwaye Kangw’a Tungu Mahigi (25) mkazi wa Kata ya Lugubu wilayani Igunga mkoani Tabora, amefariki yeye pamoja na watoto wake wanne...
Na Mwandishi Wetu
Rais Samia Suluhu Hassan leo Juni 19, 2025 amefungua rasmi Daraja la John Pombe Magufuli (Kigongo - Busisi) lililopo mkoani Mwanza, ili lianze...
Na Mwandishi Wetu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan amesema Serikali ya CCM anayoiongoza, imechukua hatua madhubuti katika kuweka mwelekeo...
Na Mwandishi Wetu
Kiwanda cha kwanza kutengeneza na kuunganisha magari Tanzania cha GF Vehicles Assemblers (GFA), kilichopo Kibaha mkoani Pwani , kimesheherekea kufikia utengenezaji wa...