Na Mwandishi Wetu
Jeshi la Polisi Mkoa wa Tanga, limekamata boti aina ya fibre, iliyokuwa ikisafirisha dawa za kulevya aina ya mirungi kutoka nchini Kenya...
Na Mwandishi Wetu
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeanza kutumia nembo maalumu (QR Code) ya utambuzi wa taarifa zake ili kuzuia na kudhibiti uzushi na upotoshaji.
Kupitia...
Na Mwandishi Wetu
Timu ya Taifa ya Kenya ‘Harambee Stars’ imejiondoa katika mashindano maalumu ya CECAFA yaliyopangwa kuanza leo Julai 21,2025 jijini Arusha kwa ajili ya maandalizi...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Mwimbaji anayekuja kwa juu kwenye muziki wa Injili nchini, Betty Malange, amewashukuru mashabiki kwa mapokezi makubwa ya wimbo wake unaoitwa...
Na Christopher Msekena
Mwimbaji nyota wa Injili kutoka nchini Canada, Jonathan Budju, amefanya hafla ya kusikiliza albamu yake fupi (EP), Ebenezer itakayotoka mapema wiki ijayo...
Na Mwandishi Wetu
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limesema limepokea taarifa za kuchukuliwa na watu asiowafahamu na kurejeshwa kwa mwanamke aliyejitambulika kwa jina la...
Na Mwandishi Wetu
Mabingwa wa Ligi Kuu na Kombe la Shirikisho Tanzania, Klabu ya Yanga imemtambulisha rasmi kiungo wa kimataifa wa Guinea, Moussa Bala Conte...
Na Mwandishi Wetu
Ofisa Habari wa klabu ya Yanga Ally Kamwe amesema licha ya kuwa yupo upande mwingine lakini ni shabiki mkubwa wa wachezaji wa Simba, Mohammed Hussein...
Na Mwandishi Wetu
Wachezaji wa Yanga, Kibwana Shomari na Denis Nkane wamajitosa kwenye mchezo wa ngumi ambapo Julai 26, 2025 wanatarajiwa kupanda ulingoni kuzichapa katika...
Na Mwandishi Wetu
Balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole, ametangaza kujiuzulu nafasi yake ya Ubalozi na nafasi nyingine za uongozi wa Umma kuanzia...