24 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Tofauti ya umri wa kupiga kura duniani

Na mwandishi wetu, Gazetini KWA mujibu wa Wikipedia, bado umri wa kuanza kupiga kura kwa mataifa mengi duniani ni miaka 18, ingawa kwa baadhi ya...

Mataifa 7 yasiyotambua demokrasia

Na mwandishi wetu, Gazetini LICHA ya mataifa mengi duniani kutambua na Serikali zake kuendeshwa kwa misingi ya demokrasia, yapo baadhi yasiyotambua utaratibu huo. Kwa takwimu za...

Ugaidi wazidi kushika kasi duniani

Na mwandishi wetu, Gazetini VITENDO vya ugaidi vimeendelea kuwa tishio kwa usalama wa dunia, kwa mujibu wa Taasisi ya kimataifa ya Uchumi na Amani (IEP). Kwa...

Waandamanaji walichoma moto, wakaula mwili wa Waziri Mkuu

Na mwandishi wetu, Gazetini DUNIA imewahi kushuhudia matukio mengi ya waandamanaji wakipinga viongozi na hata serikali zao pale walipoona mambo hayaendi kama wanavyotaka au walivyotarajia. Lakini,...

Mambo 5 kuhusu kocha mpya Simba

Na mwandishi wetu, Gazetini HATIMAYE ni Steve Barker ndiye aliyetangazwa kuwa kocha mkuu mpya wa Simba akichukua mikoba ya Dimitar Pantev aliyefungashiwa virago wiki chache...

Yanga, Injinia Hersi; ‘win-win situation’ iliyorudisha chenji

Na Hassan Mwasha, Gazetini 'Win-win situation' ni nini? Ni pale pande mbili au zaidi zilizo kwenye mahusiano au ushirika wa kibiashara zinaponufaika kwa pamoja, pasi...

Arsenal, Chelsea kukutana robo fainali Ligi ya Mabingwa?

LONDON, Uingereza NI Ligi ya Mabingwa Ulaya kwa soka la wanawake, ambapo huenda hatua ya robo fainali ikawashuhudia mabingwa watetezi, Arsenal, wakavaana na Chelsea. Hata hivyo,...

Kifo cha kiongozi wa maandamano chazua vurugu Bangladesh

DHAKA, Bangladesh VURUGU kubwa zimeibuka nchini Bangladesh baada ya kifo cha aliyekuwa kiongozi wa mandamano ya mwaka jana yaliyomng'oa madarakani Waziri Mkuu, Sheikh Hasina. Sharif Osman...

Mataifa yenye ng’ombe wengi kuliko watu

Na mwandishi wetu, Gazetini HII inaweza kushangaza lakini takwimu zinathibitisha kuwa yapo mataifa ambayo idadi ya ng'ombe ni kubwa kuliko ile ya watu wake. Kupitia mtandao...

‘Hatuna mgogoro, Wanasimba msisikilize porojo’

Na mwandishi wetu, Gazetini MWENYEKITI wa klabu ya Simba, Murtaza Mangungu, amekanusha taarifa za kuwapo kwa mgogoro kati ya viongozi, akisema ni upotoshaji unaifanywa kwa...

Uchafuzi wa mazingira janga la dunia

Na mwandishi wetu, Gazetini TAKWIMU za sasa, kwa mujibu wa Shirika la Mazingira la Umoja wa Mataifa (UNEP), uchafuzi wa mazingira umeongezeka kwa kasi katika...

Simulizi ya kusikitisha wafanyakazi wa ndani Lebanon

SHATILA, Lebanon LEBANON imetajwa na watetezi wa haki za binadamu kuwa ni 'jehanamu' kwa baadhi ya raia wa kigeni wanaoingia nchini humo kwa lengo la...