24 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

AFCON 2025, kivutio kingine ni mavazi ya kitamaduni

Na Winfrida Mtoi, Gazetini SHAMRASHAMRA kuelekea Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON-2025), zimezidi kupamba moto, hasa baada ya timu shiriki za michuano hiyo kuanza kuwasili nchini...

Shauri la kuporomoka kwa ghorofa Kariakoo upande wa Jamhuri wakwama nyaraka

Na Imani Nathaniel, Gazetini SHAURI la kuporomoka kwa ghorofa la Kariakoo limekwama kusomewa maelezo ya mashahidi na vielelezo kwa washitakiwa wa kesi ya mauaji bila...

Serikali yamkalia kooni bilionea Chelsea

LONDON, Uingereza SERIKALI ya Uingereza imemtaka mmiliki wa zamani wa Chelsea, Roman Abramovich, kuchagua kati ya kuichangia Ukraine kiasi cha Pauni bilioni 2.5 au kukubali...

Yaliyojiri tuzo za FIFA, Dembele abeba tena

DOHA, Qatar MSHAMBULIAJI wa PSG na timu ya taifa ya Ufaransa, Ousmane Dembele, ameibuka mshindi wa tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwaka huu wa Shirikisho...

Samatta na vita yake AFCON 2025

Na mwandishi wetu, Gazetini KAMA kuna alama isiyofutika na itakayobaki kwa miaka mingi katika historia ya soka la Tanzania, basi ni kile alichokifanya Mbwana Samatta. Mchezaji...

Mbappe bado bao moja tu

MADRID, Hispania STAA wa Real Madrid, Kylian Mbappe, amebakiza bao moja kufikia rekodi ya mkongwe wa timu hiyo, Cristiano Ronaldo. Katika mchezo wa jana Desemba 17,...

Mvua yaongeza majaga Gaza

Na mwandishi wetu, Gazetini WAKATI huu raia wengi wakiwa bado hawana makazi, mvua kubwa iliyonyesha kwa takribani wiki moja imesababisha hali kuwa mbaya zaidi. Msemaji wa...

Bosi FBI atangaza kujiuzulu

WASHINGTON DC, Marekani MAKAMU Mkurugenzi wa Shirika la Ujasusi la Marekani (FBI), Dan Bongino, amesema atajiuzulu wadhifa huo ifikapo Januari, mwakani. Katika taarifa yake aliyochapisha katika...

Mastaa hawa mguu nje, mguu ndani Kombe la Dunia 2026

LONDON, Uingereza NI miezi michache tu imebaki kabla ya kuanza kwa fainali za Kombe la Dunia zitakazotimua vumbi kwa mwezi mmoja kuanzia Juni, mwakani. Kuelekea fainali...

Vikosi vya AFCON 2025 (2); Kundi B

Na mwandishi wetu, Gazetini ZIMEBAKI siku chache tu kabla ya kuanza kwa fainali za Mataifa Afrika za mwaka huu (AFCON 2025) zitakazofanyika nchini Morocco. GAZETINI...

Polisi yachunguza tukio la kuchoma moto magari msibani

Na Mwandishi Wetu, Gazetini JESHI la Polisi Mkoa wa Morogoro limesema linachunguza tukio la kuchoma moto na kuharibu magari mawili yaliyotumika kusafirishia mwili wa marehemu, tukio lililofanywa...

Vikosi vya AFCON 2025 (1); Kundi A

ZIMEBAKI siku chache tu kabla ya kuanza kwa fainali za Mataifa Afrika za mwaka huu (AFCON 2025) zitakazofanyika nchini Morocco. GAZETINI inakuletea vikosi vya wachezaji...