Na mwandishi wetu, Gazetini
LEO Aprili 25, 2026 ni Siku ya Malaria Duniani na kaulimbiu ni "Lengo ni Kutokomeza Malaria: Sasa Tunaweza. Tunapaswa Kutokomeza."
Kaulimbiu hiyo...
LAGOS, Nigeria
MAMBO yamezidi kuwa mabaya kwa mapacha waliowahi kutikisa soko la muziki barani Afrika kupitia Kundi la P-Square, Peter na Paul Okoye.
Okoye ametangaza rasmi...
LONDON, Uingereza
CHELSEA haina kocha mkuu baada ya kumfungashia virago Liam Rosenior, ambaye aliajiriwa Januari, 2026 kuchukua nafasi ya Enzo Maresca.
Rosenior amefutwa kazi akiwa ameiongoza...
LONDON, Uingereza
HUENDA kocha wa zamani wa Manchester United, Ruben Amorim, akawa na timu nyingine msimu ujao wa Ligi Kuu ya England (EPL).
Mreno huyo alifungashiwa...
Na mwandishi wetu, Gazetini
MPANGO wa Simba kumsajili kipa wa timu ya Taifa ya Nigeria 'Super Eagles', Stanley Nwabali, umeifikia Kaizer Chiefs na sasa klabu...
LONDON, Uingereza
BEKI wa zamani wa Manchester United na timu ya Taifa ya Ufaransa, Patrice Evra, amesema Arsenal haina nafasi ya ubingwa msimu huu wa...
LONDON, Uingereza
VIGOGO wa Ligi Kuu ya England, Chelsea na Manchester United, wamejikuta kwenye njia moja wakiiwania saini ya mshambuliaji wa Borussia Dortmund, Karim Adeyemi.
Gazeti...
LONDON, Uingereza
KATIKA kipindi hiki ambacho Arsenal inapaswa kushinda mechi tano zilizobaki msimu huu wa Ligi Kuu ya England (EPL), nyota wake muhimu aliyekuwa majeruhi...
MANCHESTER, Uingereza
KLABU ya Manchester United itatangaza kumpa mkataba mpya nyota wake, Kobbie Mainoo, kabla ya msimu huu kumalizika.
Mainoo (21), alianza katika mchezo uliopita dhidi...
MERSEYSIDE, Uingereza
LIVERPOOL haina mpango wa kumfuta kazi kocha wake raia wa Uholanzi, Arne Slot, na badala yake atainoa timu hiyo msimu ujao.
Baada ya kuanza...
LONDON, Uingereza
KICHAPO cha mabao 2-1 kutoka kwa Manchester City kimeibua hofu kubwa kwa mashabiki wa Arsenal na sasa wanaiona hatari ya timu yao kuambulia...