28.2 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Visual| Mabilionea 10 walioishika Dunia

Na mwandishi wetu, Gazetini KWA mujibu wa Jarida maarufu la Forbes, mfanyabiashara wa Marekani, Elon Musk, ndiye binadamu mwenye fedha nyingi zaidi duniani. Utajiri wake...

Man United yamkomalia Baleba

MANCHESTER, Uingereza KLABU ya Manchester United imeendelea kukazia harakati zake za kumsajili kiungo wa Brighton na timu ya taifa ya Cameroon, Carlos Baleba. Man United ilijaribu...

Chelsea, City zagombea kinda Barcelona

LONDON, Uingereza CHELSEA imeungana na Manchester City na Borussia Dortmund zinazoiwania saini ya mshambuliaji chipukizi wa Barcelona, Dro Fernandez. Fernandez (18), anataka kuondoka Barcelona na hatua...

Maresca aibukia Real Madrid

MADRID, Hispania IMERIPOTIWA kuwa mabosi wa Real Madrid wameanza kumfikiria kocha aliyetimuliwa Chelsea hivi karibuni, Enzo Maresca. Wakati huo huo, Rais wa Madrid, Florentino Perez, ametajwa...

Arsenal macho kwa ‘Pedri wa Serbia’

LONDON, Uingereza WASHIKA Bunduki wa London, Arsenal, wanampigia hesabu kiungo wa kimataifa wa Serbia, Vasilije Kostov, ambaye uchezaji wake unafananishwa na ule wa staa wa...

Nigeria yaipiga Misri mshindi wa tatu AFCON 2025

CASABLANCA, Morocco TIMU ya taifa ya Nigeria 'Super 'Eagles' imeshika nafasi ya tatu msimu huu wa fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON 2025) baada ya...

Messi agoma kuondoka Inter Miami

MIAMI, Marekani SUPASTAA wa timu ya taifa ya Argentina, Lionel Messi, hana mpango wa kuondoka katika klabu ya Inter Miami ya Ligi Kuu nchini Marekani...

Man United yaitandika City, Carrick aendeleza rekodi

MANCHESTER, Uingereza KATIKA mchezo wa Ligi Kuu ya England uliochezwa Old Trafford leo Januari 17, 2026, Manchester United chini ya kocha mpya, Michael Carrick, imeifunga...

Gueye wa Simba ana balaa zito!

Na mwandishi wetu, Gazetini MTU wa kazi! Ndivyo unavyoweza kumwita mchezaji mpya wa Simba, Libasse Gueye, ambaye klabu hiyo imemtambulisha leo Januari 17, 2026. Nyota...

IWPG signs coperation agreement with Colombia’s Conflict Victims Association

By Our Correspondent The International Women’s Peace Group (IWPG), Global Region 2, led by Global Director Seo Yeon Lee, has signed a Memorandum of Understanding...

Carrick mikononi mwa Guardiola, atatoboa?

MANCHESTER, Uingereza NI wikiendi hii, Januari 17, 2026, ambapo Michael Carrick atapata mtihani wake wa kwanza mgumu atakapoiongoza Manchester United kuikabili Manchester City. Timu hizo zitakwaana...

Nani kuibuka mfungaji bora AFCON 2025?

RABAT, Morocco KUELEKEA mchezo wa fainali wikiendi hii, Januari 18, 2026, vita ya kuiwania tuzo ya mfungaji bora wa msimu huu wa fainali za Mataifa...