Na mwandishi wetu, Gazetini
KWA mujibu wa Jarida maarufu la Forbes, mfanyabiashara wa Marekani, Elon Musk, ndiye binadamu mwenye fedha nyingi zaidi duniani. Utajiri wake...
MANCHESTER, Uingereza
KLABU ya Manchester United imeendelea kukazia harakati zake za kumsajili kiungo wa Brighton na timu ya taifa ya Cameroon, Carlos Baleba.
Man United ilijaribu...
LONDON, Uingereza
CHELSEA imeungana na Manchester City na Borussia Dortmund zinazoiwania saini ya mshambuliaji chipukizi wa Barcelona, Dro Fernandez.
Fernandez (18), anataka kuondoka Barcelona na hatua...
MADRID, Hispania
IMERIPOTIWA kuwa mabosi wa Real Madrid wameanza kumfikiria kocha aliyetimuliwa Chelsea hivi karibuni, Enzo Maresca.
Wakati huo huo, Rais wa Madrid, Florentino Perez, ametajwa...
LONDON, Uingereza
WASHIKA Bunduki wa London, Arsenal, wanampigia hesabu kiungo wa kimataifa wa Serbia, Vasilije Kostov, ambaye uchezaji wake unafananishwa na ule wa staa wa...
CASABLANCA, Morocco
TIMU ya taifa ya Nigeria 'Super 'Eagles' imeshika nafasi ya tatu msimu huu wa fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON 2025) baada ya...
MIAMI, Marekani
SUPASTAA wa timu ya taifa ya Argentina, Lionel Messi, hana mpango wa kuondoka katika klabu ya Inter Miami ya Ligi Kuu nchini Marekani...
MANCHESTER, Uingereza
KATIKA mchezo wa Ligi Kuu ya England uliochezwa Old Trafford leo Januari 17, 2026, Manchester United chini ya kocha mpya, Michael Carrick, imeifunga...
Na mwandishi wetu, Gazetini
MTU wa kazi! Ndivyo unavyoweza kumwita mchezaji mpya wa Simba, Libasse Gueye, ambaye klabu hiyo imemtambulisha leo Januari 17, 2026. Nyota...
By Our Correspondent
The International Women’s Peace Group (IWPG), Global Region 2, led by Global Director Seo Yeon Lee, has signed a Memorandum of Understanding...
MANCHESTER, Uingereza
NI wikiendi hii, Januari 17, 2026, ambapo Michael Carrick atapata mtihani wake wa kwanza mgumu atakapoiongoza Manchester United kuikabili Manchester City.
Timu hizo zitakwaana...