23.1 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Je, wewe unatumia teknolojia gani ya mtandao; 2G, 3G, 4G au 5G?

Na mwandishi wetu, Gazetini TANZANIA inaendelea kupiga hatua katika upatikanaji wa huduma za mawasiliano kupitia teknolojia mbalimbali za mitandao ya simu. Kwa mujibu wa ripoti ya...

Simulizi ya Zuhra na mapambano dhidi ya ndoa za utotoni

Na mwandishi wetu, Zanzibar WAKATI Zuhra (Si jina lake halisi) alipokuwa na umri wa miaka 17 tu, hatima ya maisha yake ilikuwa tayari imeanza kuamuliwa...

Kamati ya Bunge yaridhishwa na kiwanda cha nguzo za zege Tabora

Na mwandishi wetu, Gazetini KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeridhishwa na maendeleo ya ujenzi na kuanza kwa uzalishaji katika Kiwanda cha...

Mwangwi wa sheria| Mambo usiyoyajua kisheria kuhusu kesi za mauaji-4

Na Wakili Baraka Asajile Gwakabale IFAHAMIKE kuwa kukiri kosa hakufungi mjadala wa kisheria. Kukiri kosa ni kitendo cha mshitakiwa kukubali kuwa alihusika katika kitendo cha...

Trinity Rodman; Mchezaji ghali zaidi soka la wanawake duniani

LONDON, Uingereza MSHAMBULIAJI wa timu ya soka ya taifa ya Marekani, Trinity Rodman, amekuwa mchezaji anayelipwa mshahara mkubwa zaidi duniani kwa upande wa soka la...

Jela miaka 10 ukijihusisha na mapenzi ya jinsia moja Senegal

DAKAR, Senegal Bunge la Kitaifa la Senegal limepitisha kwa wingi muswada unaoongeza adhabu kwa watu wanaofanya mapenzi ya jinsia moja, hatua inayotarajiwa kuimarisha sheria zilizokuwepo...

Raia wa China akamatwa JKIA akijaribu kusafirisha zaidi ya siafu 2,000

NAIROBI, Kenya       Kwa mujibu wa mamlaka za Kenya, Zhang alikamatwa wakati wa ukaguzi wa usalama uwanjani hapo baada ya maafisa kugundua shehena kubwa ya siafu...

Rais Samia amuasili mtoto mchanga aliyetelekezwa Nzega

Na Mwandishi Wetu RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ,Samia Suluhu Hassan, amemuasili mtoto mchanga wa kike leo Machi 11, 2026, katika makazi yake,...

Ratiba ya kumbukizi ya miaka mitano kifo cha Hayati Magufuli

Na Mwandishi Wetu FAMILIA ya Hayati John Pombe Magufuli imetangaza rasmi ratiba ya kumbukizi ya miaka mitano tangu kifo cha aliyekuwa Rais wa Awamu ya...

Mwili wa Mwanahabari Mkongwe Makaranga waagwa Dar, kuzikwa Mwanza

Na Mwandishi Wetu WAANDISHI wa Habari, Wahariri, ndugu na jamaa leo Machi 10, 2026, wamejumuika pamoja katika ibada ya kuaga mwili wa Mhariri Mkongwe, Revocatus...

Watanzania 236 warejea nchini kutoka Dubai kwa ndege maalum ya ATCL

Na mwandishi wetu, Gazetini WATANZANIA 236 mchana wa Machi 9, 2026 wamerejea nchini kwa ndege maalum ya Air Tanzania Company Limited baada ya kukwama mjini...

Utafiti: Changamoto wanazopitia makocha wanawake

LONDON, Uingereza KWA mujibu wa utafiti wa Taasisi ya Women in Sport kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha Leeds Beckett, wanawake waliopo katika taaluma ya...