Ads: info@gazetini.co.tz |
23.5 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Halotel yatinga Sabasaba na ubunifu wa kiteknolojia

Na Imani Nathaniel, Gazetini Kampuni ya Mawasiliano ya Halotel Tanzania imezindua rasmi ushiriki wake katika maonyesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es...

Usichokijua kuhusu mvutano wa tajiri Elon Musk na ‘ex’ wake

LOS ANGELES, Marekani BINADAMU wa kwanza kuwa trilionea, Elon Musk, alisherehekea kutimiza umri wa miaka 56 jana Juni 28, 2026. Mbali ya kusherehekea kutimiza umri huo,...

Ligi Kuu Bara 2025-26 kufungwa kwa staili hii

Na Hassan Mwasha, Gazetini MSIMU huu wa 2025-26 wa Ligi Kuu Bara utafikia ukomo wake kesho Juni 30,2026, kwa timu zote 16 kushuka dimbani. Kwamba viwanja...

Nigeria ilivyopuuzia onyo la IMF kuhusu madeni

LAGOS, Nigeria LICHA ya Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) kuipa onyo, Serikali ya Nigeria imepiga hatua moja mbele katika mpango wake wa kukopa kiasi...

VAR ilivyozua utata Kombe la Dunia 2026

MIAMI, Marekani TEKNOLOJIA ya kumsaidia mwamuzi kwa marudio ya video (VAR) imeibua sintofahamu kwa baadhi ya maamuzi yake wakati huu wa fainali za Kombe la...

Iran ilivyokosa bahati Kombe la Dunia 2026

MIAMI, Marekani NI kama haikuwa na bahati. Baada ya sare dhidi ya New Zealand na Ubelgiji, timu ya soka ya Taifa ya Iran ilihitaji ushindi...

Canada yatua 16 Bora ikiitoa Afrika Kusini

TORONTO, Canada TIMU ya soka ya Taifa ya Canada imekuwa ya kwanza kuingia hatua ya 16 Bora baada ya kuitoa Afrika Kusini 'Bafana Bafana'. Katika mchezo...

Aisha Mohamed: Kutoka Mhasibu hadi kuiongoza GSM Group

Na Mwandishi Wetu, Gazetini KUNA msemo unaosema, "Viongozi wakubwa hawazaliwi, hujengwa." Katika ulimwengu wa biashara, kauli hiyo inajidhihirisha kupitia watu wanaoanza katika nafasi za kawaida,...

Maisha, utata wa kifo, maziko ya Rais Edgar Lungu (4)

Na mwandishi wetu, Gazetini KATIKA sehemu ya tatu ya mfululizo wa makala haya, tuliona Lungu akirejea katika nafasi yake ya Rais wa PF baada ya...

Yanga, Simba hesabu zimegoma msimu huu

Na Hassan Mwasha, Gazetini ACHANA na ishu ya ubingwa. Ni wazi si Yanga wala Simba inayoweza kufikia idadi ya pointi ilizokusanya msimu uliopita (2024-25) wa...

‘Top 4’ ya Ligi Kuu Bara haigusiki

Na Hassan Mwasha, Gazetini MSIMU wa 2025-26 wa Ligi Kuu Bara uko ukingoni, huku timu nne za juu zikitarajiwa kubaki vilevile kama ilivyokuwa msimu uliopita...

Unamsaidiaje mtoto wako kuchagua tahasusi Kidato cha Tano?

Na Hassan Mwasha, Gazetini HIKI ni kipindi ambacho wazazi wako 'bize' na maandalizi ya shule kwa wanafunzi wanaokwenda kuianza safari ya elimu kwa masomo ya...