25.2 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Neville amkosoa Arteta kisa sare ya City

MANCHESTER, UingerezaMKONGWE wa Ligi Kuu ya England, Gary Neville, amemtaka Mikel Arteta kuachana na mbinu zake.Kauli ya beki huyo wa zamani wa Manchester United...

THBUB yawaasa waandishi wa habari kuelekea uchaguzi mkuu

Na Onesmo Kapinga, Gazetini TUME ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB), imewaasa waandishi wa habari nchini, kujiepusha kuchapisha, kutangaza habari zenye lengo la...

Ricky Hatton: ‘Mtu wa watu’ aliyekutwa amefariki, aacha simanzi ulimwengu wa michezo

LONDON, UingerezaULIMWENGU wa michezo umetikiswa na kifo cha lejendari wa ngumi za uzito wa 'light welter' nchini Uingereza, Ricky Hatton.Kwa mujibu wa polisi wa...

Liverpool na rekodi ya ‘mabao ya jioni’

MERSEYSIDE, UingerezaUSHINDI wa bao 1-0 dhidi ya Burnley umeifanya Liverpool kuwa timu ya kwanza katika historia ya Ligi Kuu ya England (EPL) kushinda mechi...

Mreno atua Kaizer kuchukua mikoba ya Nabi

PRETORIA, Afrika KusiniSAA 72 tu baada ya kumfuta kazi Nasreddine Nabi, mabosi wa Kaizer Chiefs wamemtangaza kocha mpya.Pedro Goncalves, raia wa Ureno mwenye umri...

Amorim ajibu mapigo, awavaa wanamkosoa

MANCHESTER, UingerezaKOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim, amesema hafikirii kubadili mbinu anazotumia, licha ya wengi kukosoa kiwango cha timu hiyo.Man United imekuwa na mwanzo...

Mtoto wa Zidane kuiwakilisha Algeria

PARIS, UfaransaLUCA Zidane ambaye ni mtoto wa mkongwe Zinedine, amechagua kuitosa Ufaransa na sasa ataonekana akiwa na timu ya taifa ya Algeria.Nyota huyo anakidhi...

Utajiri uliojificha matamasha ya Simba, Yanga

Na mwandishi wetu, GazetiniHIVI karibuni, klabu kongwe za soka hapa nchini, Simba na Yanga, zilikuwa 'bize' kwa shamrashamra za matamasha yake ya ufunguzi wa...

Halopesa yaja na kampeni ‘Tamba na Bonasi’

Na Imani Nathaniel, Gazetini Kampuni ya Halotel kupitia huduma yake ya kifedha Halopesa imezindua kampeni mpya inayokwenda kwa jina la “Tamba na Bonasi”, ili kuwazawadia...

DC Nyamagana: Serikali inatambua kazi nzuri ya OSHA nchini

Na Mwandishi Wetu, Gazetini MKUU wa Wilaya ya Nyamagana, Amina Makilagi, amesema serikali inatambua kazi nzuri inayofanywa na Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa...

Colombia kinara mauaji wanaharakati wa mazingira

BOGOTA, ColombiaRIPOTI mpya ya Taasisi ya Global Witness imeitaja Colombia kuwa ndilo Taifa lenye idadi kubwa ya mauaji ya wanaharakati wa mazingira.Kwa mwaka jana...

Staa Arsenal akana mashitaka ya ubakaji

LONDON, UingerezaKIUNGO wa zamani wa Arsenal, Thomas Partey, amekanusha mashitaka ya ubakaji yaliyofunguliwa dhidi yake na wanawake wawili.Nyota huyo wa kimataifa wa Ghana anatajwa...