Ads: info@gazetini.co.tz |
27.4 C
Dar es Salaam

World

Anthony Taylor amestaafu kwa heshima, alinusurika kichapo

LONDON, Uingereza BAADA ya miaka 20 ya kufanya kazi, akichezesha mechi 831, mwamuzi wa kati raia wa England, Anthony Taylor, alitangaza kustaafu hivi karibuni. Mechi yake...

Dawa za kulevya ‘zamaliza’ vijana Ujerumani

MUNICH, Ujerumani IDADI ya vifo vya vijana vitokanavyo na utumizi wa dawa za kulevya imeripotiwa kuongezeka kwa kipindi kifupi cha mwaka mmoja nchini Ujerumani. Kwa mwaka...

Kiwango cha umasikini duniani

NEW YORK, Marekani MIAKA 10 iliyopita, Umoja wa Mataifa ulipitisha azimio la kumaliza aina zote za umasikini, kuhakikisha usawa katika jamii, pamoja na kudhibiti majanga...

Hii kiboko! Marais hawaendi uwanjani Argentina ikicheza

BUENOS AIRES, Argentina HIVI unafahamu kuwa marais wa Argentina wamekuwa makini kuhudhuria viwanjani na wengine hubaki nyumbani pindi timu yao ya soka ya Taifa inapocheza...

‘Mende’ wa India wanavyompasua kichwa Waziri Mkuu

NEW DELHI, India MAANDAMANO makubwa ya vijana nchini India yanaipa wakati mgumu Serikali ya Waziri Mkuu, Narendra Modi. Gen-Z hao kupitia Chama chao cha 'Vijana wa...

Arsenal yang’oa nahodha Madrid

LONDON, Uingereza KLABU ya Arsenal imekamilisha usajili wa nahodha wa timu ya wanawake ya klabu ya Real Madrid, Misa Rodriguez. Nyota huyo mwenye umri wa miaka...

Staa mpya Chelsea apewa jezi ya Hazard

LONDON, Uingereza MSHAMBULIAJI mpya wa Chelsea, Morgan Rogers, atavaa jezi namba 17 msimu ujao, ambayo iliwahi kuvaliwa na lejendari wa timu hiyo, Eden Hazard. Nyota huyo...

Wanaume washauriwa kuvaa kaptula ofisini

TOKYO, Japan MAMLAKA za Tokyo zimewashauri wafanyakazi wa ofisini kuachana na suti, na badala yake kuvaa kaptula kipindi hiki cha joto kali. Kwa mujibu wa mamlaka,...

Aliyefariki mikononi mwa polisi aibua maandamano

MILAN, Italia MAELFU ya raia wa Italia wameingia barabarani kulaani taarifa za kifo cha mwenzao aliyefariki akiwa anashikiliwa na polisi huko Kaskazini mwa Mji wa...

Barca yanasa winga Ubelgiji

CATALUNYA, Hispania KLABU ya Barcelona imekamilisha usajili wa winga kutoka Club Brugge ya Ligi Kuu nchini Ubelgiji, Jesse Bisiwu. Aliyefichua kukamilika kwa dili hilo ni mwandishi...

Mwanaume anayetaka nipike hanifai

LAGOS, Nigeria ALIYEWAHI kuwa mshindi wa Shindano la Big Brother Naija, Mercy Eke, amezua mjadala mzito mitandaoni kwa kauli yake ya kusema hawezi kuolewa na...

Ebola katikati ya Serikali, waasi wa M23

KINSHASA, DRC KUNDI la waasi la M23 linajivunia idadi ndogo ya maambukizi ya Ebola katika maeneo yake, likidai kuwa hilo linathibitisha uwezo wake mkubwa wa...

Recent articles