30.2 C
Dar es Salaam

World

Watoto wa viongozi ‘kula bata’ chanzo cha machafuko Nepal

Na mwandishi wetu, GazetiniUNAFAHAMU nini kuhusu 'NepoKids'? Huo ni msamiati mpya na maarufu zaidi wakati huu wa maandamano makubwa ya raia wanaoipinga Serikali iliyoko...

Mke wa Gbagbo kugombea urais Ivory Coast

YAMOUSSOUKRO, Ivory CoastMKE wa Rais wa zamani wa Ivory Coast, Laurent Gbagbo, ni miongoni mwa wagombea urais katika Uchaguzi Mkuu ujao.Simone Gbagbo mwenye umri...

Ufaransa yapata Waziri Mkuu mpya

PARIS, UfaransaRAIS wa Ufaransa, Emmanuel Macron, amemtangaza Sebastien Lecornu kuwa Waziri Mkuu mpya akichukua nafasi ya Francois Bayrou.Lecornu mwenye umri wa miaka 39, alikuwa...

Zikijichanganya tu, zinashuka daraja EPL

LONDON, EnglandNI mapema mno lakini tayari baadhi ya klabu zinaonesha dalili ya kushuka daraja msimu huu wa Ligi Kuu ya England (EPL). Ikumbukwe, timu...

Dili hizi ziligonga mwamba usajili kiangazi Ulaya

LONDON, UingerezaTUKUTANE Januari. Zipo dili nyingi zilizokwama wakati wa usajili wa dirisha kubwa lililofungwa hivi karibuni na sasa zinasubiri Januari.Je, ni dili zipi zilizoshindwa...

City v United … Guardiola kumfukuzisha kazi Amorim?

MANCHESTER, UingerezaNI Jumapili ya wiki hii, ambapo nyasi za Uwanja wa Etihad zitabeba uzito wa dakika 90 za 'derby' ya jijini Manchester.Manchester City watakaokuwa...

Barca imemchoka Rashford, kumrudisha Man United

CATALUNYA, HispaniaKLABU ya Barcelona inaangalia uwezekano wa kuiambia Manchester United imchukue mshambuliaji wake raia wa England, Marcus Rashford.Rashford alijiunga na Barcelona kwa mkopo akitokea...

Chart| Liverpool yaongoza matumizi soko la usajili

MERSEYSIDE, England LIVERPOOL ndiyo klabu ya Ligi Kuu ya England iliyotumia fedha nyingi zaidi wakati wa dirisha kubwa la usajili wa kiangazi barani Ulaya. Usajili huo...

Umoja wa Mataifa waonya uhalifu wa kivita DRC

KINSHASA, DRCUMOJA wa Mataifa umezionya pande mbili zinazopigana nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) ukisema zinahusika katika uhalifu wa kivita nchini humo.Licha ya...

Ebola yarejea DRC, yaua watu 15

KINSHASA, DRCSERIKALI ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) imetangaza maambukizi mapya ya Ebola na vifo 15 vitokanavyo na ugonjwa huo.Ikumbukwe, hizi ni taarifa...

Ni mwisho wa ufalme wa Mourinho soka la Ulaya?

LONDON, UingeerezaJOSE Mourinho, maarufu zaidi kwa jina la 'Special One', hana kazi kwa sasa baada ya klabu ya Fenerbahce kumfungashia virago hivi karibuni.Mourinho alifutwa...

Xavi Simons; ‘Fundi’ wa La Masia aliyezikataa Chelsea, Man City

LONDON, EnglandWAMELAMBA dume! Kupitia usajili wa dirisha kubwa wa majira haya ya kiangazi barani Ulaya, Tottenham ilikamilisha dili la kumnasa kiungo wa kimataifa wa...

Recent articles

spot_img