Na mwandishi wetu, GazetiniMIAKA 65 iliyopita, mataifa 14 ya Afrika yalipata uhuru kutoka kwa Ufaransa. Je, ni kwa kiasi gani yamepiga hatua tangu mwaka...
MANCHESTER, UingerezaBAADA ya kichapo cha mabao 2-1 kutoka kwa Brighton, kocha wa Manchester City, Pep Guardiola, ameeleza sababu ya kupoteza mchezo huo wa Ligi...
JAKARTA, IndonesiaRAIS wa Indonesia, Prabowo Subianto, ameyaita kuwa ni uhaini na ugaidi maandamano ya raia yanayoendelea nchini humo.Indonesia, Taifa la Kusini-Mashariki mwa Asia, inakabiliwa...
LONDON, UingerezaMATAJIRI wa Newcastle United wameweka rekodi ya usajili wa bei mbaya klabuni hapo kwa kumnasa straika wa Stuttgart, Nick Woltemade.Hilo ni pigo kubwa...
KYIV, UkraineALIYEWAHI kuwa Mbunge nchini Ukraine, Andriy Parubiy, amefariki leo baada ya kupigwa risasi mjini Lviv, Ukraine.Chanzo cha taarifa hiyo kimeeleza kuwa Parubiy alishambuliwa...
MANCHESTER, UingerezaLICHA ya Kobbie Mainoo kuomba kuondoka kwa mkopo, Manchester United imemwambia kiungo huyo abaki na kuipambania namba kikosini.Kwa sasa, klabu kadhaa za Ulaya...
LONDON, UingerezaKLABU ya Tottenham iko kwenye hatua nzuri ya kukamilisha usajili wa mshambuliaji wa RB Leipzig na timu ya taifa ya Uholanzi, Xavi Simons.Kwa...
ISTANBUL, UturukiKLABU ya Fenerbahce imetangaza kumfungashia virago kocha wake raia wa Ureno, Jose Mourinho 'Special One' ukiwa ni mwaka mmoja tu tangu alipoajiriwa.Hatua ya...
LONDON, UingerezaKOCHA wa timu ya taifa ya England, Thomas Tuchel, hajamjumuhisha beki Trent Alexander-Arnold katika kikosi kitakachocheza mechi mbili za kuwania kufuzu Kombe la...
MANCHESTER, UingerezaKOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim, amesema timu yake ilipoteza dira ndani ya uwanja na hiyo ikasababisha itolewe kwenye michuano ya Carabao Cup.Man...