LONDON, Uingereza
KATIKA fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu (2026) zilizomalizika hivi karibuni, Ferran Torres ndiye aliyefunga bao pekee lililoipa ubingwa timu ya...
MILAN, Italia
ROBERTO Mancini ameajiriwa na kuikuta timu ya soka ya Taifa ya Italia ikiwa kwenye hali mbaya. Haijafuzu Kombe la Dunia kwa misimu yote...
LOS ANGELES, Marekani
BIBIYE mwenye jina na mafanikio makubwa kwenye soko la muziki nchini Marekani, Jennifer Lopez 'J-Lo', amenasa kwa mshikaji anayefahamika kwa jina la...
LOS ANGELES, Marekani
PICHA zinazowaonesha mastaa wa muziki Keyshia Cole na Skrilla zimeibua tetesi kuwa huenda wawili hao sasa ni wapenzi.
Katika moja ya picha alizoposti...
MANCHESTER, Uingereza
KOCHA wa zamani wa Manchester United, Ruben Amorim, amedai kuwa hapaswi kulaumiwa kwa kufeli kwake klabuni hapo.
Kwa mujibu wake, lawama zinapaswa kuelekezwa kwa...
TUNIS, Tunisia
BADO hakuna taarifa rasmi za mamlaka juu ya anakotibiwa mwanasiasa maarufu wa upinzani nchini Tunisia, Rached Ghannouchi.
Wapo wanaosema yuko hospitali ya umma na...
BAMAKO, Mali
KWA sasa, jeshi la Serikali ya Mali liko kwenye wakati mgumu kupigana na muungano wa vikundi viwili vya kigaidi, Azawad Liberation Front (FLA)...
ACCRA, Ghana
STAAA wa muziki nchini Ghana, Shatta Wale, ameeleza kilichosababisha uhusiano wake mbaya na mkali wa Afrobeats, Burna Boy.
Wawili hao waliwahi kuwa washikaji wakubwa,...
LONDON, Uingereza
KOCHA wa Chelsea, Xabi Alonso, amezipotezea taarifa zinazoihusisha klabu hiyo na usajili wa straika wa zamani wa Arsenal, Danny Welbeck.
Wakati huo huo, Mhispania...
DALAS, Marekani
UNAMKUMBUKA straika wa zamani wa Real Madrid, Manchester United na timu ya soka ya Taifa ya Mexico, Javier Hernandez ‘Chicharito’? Mwamba bado anakipiga.
Akiwa...
LONDON, Uingereza
WAKATI huu Real Madrid ikijaribu kumshawishi Vinicius JR kusaini mkataba mpya, Arsenal wanaangalia uwezekano wa kumsajili mshambuliaji huyo wa kimataifa wa Brazil.
Huu ni...
LOS ANGELES, Marekani
ANAITWA El Mayo. Ndilo jina maarufu zaidi kuliko Ismael Zambada alilopewa na wazazi wake, akiwa pia ndiye muasisi wa genge hatari la...