YOUNDE, Cameroon
NEW Bell ni moja ya magereza makubwa na maarufu si tu Younde na miji mingine jirani, bali Cameroon kwa ujumla. Wakati fulani, Shirika...
Na mwandishi wetu, Gazetini
WAKATI dunia ikiwa kwenye sintofahamu juu ya mustakabali wa vita vya Marekani na Iran, Kundi la kigaidi la Houthi nchini Yemen...
WASHINGTON DC, Marekani
BEI ya mafuta katika soko la dunia imeshuka kwa asilimia 9, yakiwa ni matokeo ya mashambulizi ya Marekani na Iran kusimamia kwa...
LONDON, Uingereza
RAIS wa Ukraine, Volodymyr Zelensky, amewasili nchini Uingereza, ambako atakutana na kufanya mazungumzo na Waziri Mkuu mpya, Andy Burnham.
Zelensky atakuwa mgeni wa kwanza...
MILAN, Italia
ANDREA Pirlo amesema hawezi tena kupewa kibarua cha kuinoa timu ya soka ya Taifa ya Italia. Hiyo imesababishwa na wanasiasa.
Iko hivi; Pirlo ni...
BEIJING, China
MELI ya mizigo ya Vietnam imeripotiwa kuzama jirani na Mwamba wa Yongshu katika Bahari ya South China.
Vyombo vya habari vya China vimeripotiwa taarifa...
JERUSALEM, Palestina
RAIA wa Israel wanaoishi West Bank wameripotiwa kuchomo moto misikiti, magari na mashamba ya Wapalestina katika eneo hilo.
Madai hayo yanakuja zikiwa ni siku...
Na mwandishi wetu, Gazetini
HATIMAYE Karim Khan ameondoshwa katika kiti cha Mwendesha Mashitaka Mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC). Kashfa ya unyanyasaji wa...
Na mwandishi wetu, Gazetini
KWA mwaka 2025, idadi ya wahamiaji nchini Marekani ilipungua kutoka milioni 2.7 hadi milioni 1.3, idadi ndogo zaidi katika historia ya...
TEHRAN, Iran
VITA vinaendelea. Si Marekani wala Iran, kila upande umekiuka makubaliano ya kusitisha vita yaliyoingiwa na pande mbili hizo wiki chache zilizopita.
Wakati vita vinaanza...
Na mwandishi wetu, Gazetini
UTAFITI wa Shirika la Takwimu za Kazi la Marekani umefichua namna watu nchini humo wanavyozitumia siku zao mbili za mapumziko ya...
WASHINGTON DC, Marekani
WAZIRI Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, atakuwa Ikulu ya Marekani Jumanne ya wiki ijayo alikoalikwa na mwenyeji wake, Rais Donald Trump.
Netanyahu amealikwa...