Ads: info@gazetini.co.tz |
21.5 C
Dar es Salaam

Michezo

Max Dowman: Kinda wa Arsenal aliyevunja rekodi kibao EPL

LONDON, Uingereza MSIMU wa 2025-26 haukuwa mzuri tu kwa Arsenal, bali pia umeacha alama kubwa katika safari ya soka la kulipwa ya kinda wao raia...

Pochettino atangaza ‘jeshi’ lake Kombe la Dunia

LOS ANGELES, Marekani KOCHA wa timu ya soka ya Taifa ya Marekani, Mauricio Pochettino, ameita kikosi cha wachezaji 26 kwa ajili ya fainali za Kombe...

Zifahamu sheria, kanuni mpya Kombe la Dunia 206

NYON, Uswis NI siku chache tu zimebaki kabla ya kuanza kwa fainali za Kombe la Dunia, ambazo kwa mara ya kwanza zitafanyika katika nchi tatu...

Gomez wa Liverpool aibukia Aston Villa

MERSEYSIDE, Uingereza KLABU ya Aston Villa imejitosa katika mbio za kuiwania huduma ya kiungo wa Liverpool raia wa England, Joe Gomez. Baada ya kutwaa ubingwa wa...

Barcelona mbioni kumchukua Gordon

CATALUNYA, Hispania KLABU ya Barcelona imeripotiwa kuingia kwenye hatua za mwisho za kumsajili winga wa Newcastle United, Anthony Gordon, ambaye pia anazitoa udenda Arsenal na...

Arteta: PSG hawasumbui, tumejipanga

LONDON, Uingereza KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta, ana imani kubwa na kikosi chake, akisema wamejipanga kuikabili PSG na kutwaa taji la Ligi ya Mabingwa Ulaya...

Uganda, Kenya macho yote Yanga, Simba vita ya ubingwa Ligi Kuu Bara

Na Hassan Mwasha, Gazetini WAKATI Uganda na Kenya zikiwa zimeshapata mabingwa wa msimu huu katika Ligi Kuu zao, hapa nchini bado 'ugali moto, mboga moto'...

Arsenal yatabiriwa kipigo fainali ya UEFA

LONDON, Uingereza BEKI wa zamani wa Manchester United, Gary Neville, ameitabiria ushindi PSG katika fainali yao ya Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Washika Bunduki...

Xabi Alonso apewa ushauri Chelsea

LONDON, Uingereza MKONGWE wa Ligi Kuu ya England (EPL), Paul Merson, amemtaka kocha mpya wa Chelsea, Xabi Alonso, kumrudisha kikosini straika Nicolas Jackson. Baada ya kushindwa...

Mabosi United wamrudisha mezani Bruno

MANCHESTER, Uingereza UONGOZI wa Manchester United umesitisha mpango wake wa kumpiga bei Bruno Fernandes baada ya kiwango kizuri alichokionesha kiungo huyo raia wa Ureno msimu...

Olise: Ureno haimtegemei tena Ronaldo

MUNICH, Ujerumani WINGA wa Bayern Munich, Michael Olise, amesema kwa sasa timu ya Taifa ya Ureno haimtegemei nahodha wake, Cristiano Ronaldo. Na badala yake, Olise raia...

Yanga yaibamiza Namungo, yarudi kileleni ikiisubiri Mashujaa

Na Hassan Mwasha, Gazetini YANGA imerejea kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Bara bada ya ushindi mnono wa mabao 3-1 walioupata mbele ya Namungo katika...

Recent articles