27.2 C
Dar es Salaam

Michezo

Kocha Al Ahly aitaka VAR makundi Ligi ya Mabingwa

CAIRO, MisriKOCHA wa Al Ahly, Jess Thorup, amekosoa kitendo cha kukosekana kwa teknolojia ya kumsaidia mwamuzi kwa marudio ya video (VAR) katika mechi za...

Yanga kutamba ugenini leo?

KABYLIA, AlgeriaYANGA watakuwa ugenini leo kumenyana na JS Kabylie, mchezo wa pili kwa kila timu msimu huu wa Ligi ya Mabingwa Afrika.Ni mechi ya...

‘Wazee’ watakaokipiga Kombe la Dunia 2026

LONDON, UingerezaWALIKUWEPO Kombe la Dunia mwaka 2006 na sasa wanajiandaa kushiriki fainali za mwakani wakiwa miongoni mwa wachezaji wenye umri mkubwa zaidi. Ni miaka...

Wachezaji wa bei mbaya waliofeli EPL

LONDON, UingerezaWAKATI mwingine, mambo huwa hayaendi kama yalivyotarajiwa, hasa katika soko la usajili wa wachezaji wa soka barani Ulaya.Kwa ufupi, wapo wanasoka waliosajiliwa kwa...

Rekodi zinazomsubiri Messi kabla ya kustaafu

MIAMI, MarekaniKUWEKA na kuvunja rekodi si jambo geni kwa Lionel Messi. Amefanya hivyo kwa miaka mingi, tangu akiwa Barcelona, hadi alipokuwa PSG, na sasa...

Makocha wanaovizia kibarua Liverpool

MERSEYSIDE, EnglandLIVERPOOL imepoteza mechi sita kati ya saba za Ligi Kuu ya England (EPL) ilizocheza hivi karibuni. Mwenendo huo umeibua presha kubwa kwa kocha...

Vinicius na mastaa waliowahi kutibuana na Alonso

MADRID, HispaniaTANGU alipoajiriwa kuchukua mikoba ya Carlo Ancelotti majira ya kiangazi, mwaka huu, kocha Xabi Alonso amekuwa akitajwa kuingia kwenye uhusiano mbaya na staa...

Uwanja wa Mkwakwani wafungiwa

Na Mwandishi Wetu, Gazetini SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limeufungia Uwanja wa Mkwakwani, Tanga kutumika kwa michezo ya Ligi kwa kukosa vigezo vya kikanuni na...

Tuzo za TFF za msimu wa 2024/25 zayeyuka

Na Mwandishi Wetu,Gazetini Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetoa taarifa ya kuahirisha hafla ya utoaji tuzo za msimu  wa 2024/25 ziliyopangwa kufanyika Desemba 5, 2025,...

Bondia Mrembo akabidhiwa Mmalawi

Na Mwandishi Wetu, Gazetini BONDIA Debora Mwenda maarufu Bondia Mrembo, ameahidi kuiwakilisha vizuri Tanzania dhidi ya Mariam Dick kutoka Malawi watakapokutana katika pambano la Box...

Chuo cha Malya chawafunda wakufunzi wa gym

Na Winfrida Mtoi, Gazetini CHUO cha Maendeleo ya Michezo Malya kinaendesha mafunzo maalum kwa wakufunzi wa gym  na makocha wa viungo ili kuwaongezea ujuzi na...

Wanariadha 155 kuchuana Ladies First 2025 kwa Mkapa

Na Winfrida Mtoi, Gazetini Jumla ya wanariadha wanawake 155, wanatarajiwa kushiriki katika msimu wa saba wa mashindano ya riadha maarufu 'Ladies First' yatakayofanyika kuanzia Novemba...

Recent articles

spot_img