Ads: info@gazetini.co.tz |
22.7 C
Dar es Salaam

Michezo

Andoni Iraola kuepuka ‘jehanamu’ ya makocha wa vigogo EPL?

LONDON, Uingereza MIAKA ya hivi karibuni imewashuhudia makocha waliokabidhiwa mikoba ya kuzinoa timu kubwa za Ligi Kuu ya England (EPL) wakipitia nyakati ngumu, wengi wakishindwa...

Serena Williams: Umri umekwenda, akili bado inawaza mataji

LOS ANGELES, Marekani TAARIFA ya Serena Williams kutaka kurejea katika tenesi imeshangaza wapenzi wa tenesi duniani kutokana na umri mkubwa wa staa huyo. Licha ya umri...

Baada ya Ederson, Carrick ataka ‘mido’ mwingine

MANCHESTER, Uingereza MANCHESTER United imekamilisha usajili wa Ederson kutoka Atalanta ya Serie A, kocha Michael Carrick ametaka kiungo mwingine wakati huu wa dirisha kubwa la...

Iraq katikati ya vita hadi kufuzu Kombe la Dunia 2026

BAGHDAD, Iraq MOJA ya vivutio vya fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu zitakazoanza Juni 11, 2026 ni uwepo wa timu ya soka ya...

Timu hizi zikikutana ni balaa Kombe la Dunia 2026

Na mwandishi wetu, Gazetini MACHO yote yataelekezwa Mexico ifikapo Juni 11, 2026 kushuhudia mchezo wa ufunguzi wa fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu,...

Huyu ndiye mchezaji ‘mzee’ zaidi Kombe la Dunia 2026

LONDON, Uingereza ZIMABEKI siku tisa tu. Ni fainali za Kombe la Dunia zitakazoanza Juni 11, 2026 huko Marekani, Canada na Mexico, zikitarajiwa kufanyika kwa mwezi...

Wawili wakamatwa wakiuza jezi ‘feki’ za Kombe la Dunia

TORONTO, Canada POLISI nchini Canada wanawashikikia watu wawili baada ya kuwakuta na mzigo wa jezi feki za fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu...

Serengeti Boys kuandika historia nyingine Kombe la Dunia?

Na mwandishi wetu, Gazetini BAADA ya kufika fainali ya AFCON kwa vijana wa U-17, Serengeti Boys itashiriki michuano ya Kombe la Dunia kwa vijana wa...

Walker amlipua Tuchel kisa Maguire kuachwa kikosini

LONDON, Uingereza Mbali na Maguire, Walker hajafurahisishwa na uamuzi wa Tuchel kutowaita kikosini Luke Shaw na Morgan Gibbs-White. “Harry Maguire na Luke Shaw walikuwa na viwango...

Zungu awakaanga wabunge walioifuata Serengeti Boys

Na mwandishi wetu, Gazetini SPIKA wa Bunge, Mussa Zungu, amewapa siku nne za kujieleza wabunge waliokwenda Morocco kuitazama timu ya soka ya Taifa ya vijana...

‘Fuso’ ana mlima mrefu kuinasua Prisons isipotee Ligi Kuu Bara

Na Hassan Mwasha, Gazetini MOJA ya timu zinazopumulia mashine msimu huu wa Ligi Kuu Bara ni Tanzania Prison inayonolewa na beki wa kulia wa zamani...

Makocha hawa ‘out’ baada ya Kombe la Dunia 2026

LONDON, Uingereza NI siku 10 tu zimebaki kabla ya kuanza kwa fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu zitakazofanyika Marekani, Canada na Mexico. Wakati Argentina...

Recent articles