22.7 C
Dar es Salaam

Michezo

Amorim, Mainoo kukutana mezani

MANCHESTER, England KOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim, amesema atakutana kwenye meza ya mazungumzo na kiungo wa timu hiyo, Kobbie Mainoo. Amorim anataka kuzungumza na kinda...

Glasner kocha mpya Chelsea?

LONDON, Uingereza KOCHA wa Chelsea, Enzo Maresca, amekiri kuwa amepoteza ushawishi mbele ya mabosi wa klabu hiyo ya Magharibi mwa Jiji la London. Baada ya...

Madrid yamtaka Dalot wa United

MANCHESTER, Uingereza REAL Madrid wameripotiwa kuanza kuihangaikia saini ya beki wa Manchester United, Diogo Dalot, na watajaribu kumsajili ifikapo mwakani. Dalot ameshacheza mechi 224 akiwa na...

Rekodi hii kutimua kocha Tottenham?

LONDON, Uingereza KICHAPO cha mabao 3-0 kutoka kwa Nottingham Forest kimeiacha Tottenham ikiwa na pointi 22 pekee katika mechi 16 za msimu huu wa Ligi...

Wolves yaifanyia ‘kitu mbaya’ Arsenal

LONDON, Uingereza LICHA ya ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Wolves, Arsenal walilazimika kusubiri hadi dakika ya 66 kupiga shuti lililolenga lango la wapinzani wao...

Kane aiokoa Bayern kwa ‘bao la jioni’

MUNICH, Ujerumani BAO la dakika ya 87 la Harry Kane limeiwezesha Bayern Munich kuambulia sare ya mabao 2-2 ikiwa nyumbani dhidi ya Mainz katika mchezo...

Yanga ilivyofunga kibabe mwaka 2025

Na Hassan Mwasha, Gazetini YANGA haitaonekana uwanjani hadi mwakani. Ikimaanisha, 'Timu ya Wananchi' imeshafunga ukurasa wake kwa mwaka 2025. Katika makala haya, Gazetini inakuibulia uchambuzi...

Simba na mwendo wa kiume 2025

Na Hassan Mwasha, Gazetini HAIKUWA rahisi. Simba imemaliza mechi zake za mwaka 2025 na sasa haitaonekana uwanjani hadi mwakani. Ilikuwa ni safari ndefu kweli kweli....

Martinez kuziba pengo la Lewandowski?

MILAN, Italia MSHAMBULIAJI wa kati wa Inter Milan, Lautaro Martinez, ameonesha kuvutiwa na mpango wa kwenda kuziba pengo la Robert Lewandowski. Barcelona wameripotiwa kuanza kusaka mbadala...

Mashabiki wa Messi wang’oa viti India

NEW DELHI, India MASHABIKI wa Lionel Messi wamekasirishwa na hatimaye kuamua kung'oa viti baada ya kunyimwa fursa ya kumuona kwa muda mrefu staa huyo wa...

Ekitike aweka rekodi bao la mapema EPL

MERSEYSIDE, England KATIKA ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Brighton, straika wa Liverpool, Hugo Ekitike, alifunga yote na kuandika historia mpya msimu huu wa Ligi...

Ramos atajwa Old Trafford

MANCHESTER, Uingereza ZIMEIBUKA ripoti zinazoihusisha Manchester United na beki wa kati wa zamani wa Real Madrid na timu ya taifa ya Hispania, Sergio Ramos. Ramos mwenye...

Recent articles

spot_img