MANCHESTER, England
KOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim, amesema atakutana kwenye meza ya mazungumzo na kiungo wa timu hiyo, Kobbie Mainoo.
Amorim anataka kuzungumza na kinda...
LONDON, Uingereza
KOCHA wa Chelsea, Enzo Maresca, amekiri kuwa amepoteza ushawishi mbele ya mabosi wa klabu hiyo ya Magharibi mwa Jiji la London. Baada ya...
MANCHESTER, Uingereza
REAL Madrid wameripotiwa kuanza kuihangaikia saini ya beki wa Manchester United, Diogo Dalot, na watajaribu kumsajili ifikapo mwakani.
Dalot ameshacheza mechi 224 akiwa na...
LONDON, Uingereza
KICHAPO cha mabao 3-0 kutoka kwa Nottingham Forest kimeiacha Tottenham ikiwa na pointi 22 pekee katika mechi 16 za msimu huu wa Ligi...
LONDON, Uingereza
LICHA ya ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Wolves, Arsenal walilazimika kusubiri hadi dakika ya 66 kupiga shuti lililolenga lango la wapinzani wao...
MUNICH, Ujerumani
BAO la dakika ya 87 la Harry Kane limeiwezesha Bayern Munich kuambulia sare ya mabao 2-2 ikiwa nyumbani dhidi ya Mainz katika mchezo...
Na Hassan Mwasha, Gazetini
YANGA haitaonekana uwanjani hadi mwakani. Ikimaanisha, 'Timu ya Wananchi' imeshafunga ukurasa wake kwa mwaka 2025. Katika makala haya, Gazetini inakuibulia uchambuzi...
Na Hassan Mwasha, Gazetini
HAIKUWA rahisi. Simba imemaliza mechi zake za mwaka 2025 na sasa haitaonekana uwanjani hadi mwakani. Ilikuwa ni safari ndefu kweli kweli....
MILAN, Italia
MSHAMBULIAJI wa kati wa Inter Milan, Lautaro Martinez, ameonesha kuvutiwa na mpango wa kwenda kuziba pengo la Robert Lewandowski.
Barcelona wameripotiwa kuanza kusaka mbadala...
NEW DELHI, India
MASHABIKI wa Lionel Messi wamekasirishwa na hatimaye kuamua kung'oa viti baada ya kunyimwa fursa ya kumuona kwa muda mrefu staa huyo wa...
MERSEYSIDE, England
KATIKA ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Brighton, straika wa Liverpool, Hugo Ekitike, alifunga yote na kuandika historia mpya msimu huu wa Ligi...
MANCHESTER, Uingereza
ZIMEIBUKA ripoti zinazoihusisha Manchester United na beki wa kati wa zamani wa Real Madrid na timu ya taifa ya Hispania, Sergio Ramos.
Ramos mwenye...