24 C
Dar es Salaam

Michezo

Simba yaja kidigitali, jezi sasa kuuzwa kwa simu

Na mwandishi wetu, Gazetini USHINDWE wewe tu! Sasa mashabiki na wanachama wa Simba wanaweza kupata jezi zao kidigitali, hata kupitia simu zao za mkononi. Wakati huo...

Simulizi za AFCON (5): Refa aliyemaliza mpira mara mbili

TUNIS, Tunisia INAKUWAJE rahisi kulisahau jina la Janny Sikazwe katika historia ya michuano ya Mataifa ya Afrika (AFCON)? Ni ngumu. Katika mechi ya hatua ya makundi...

Simulizi ya AFCON (4): Ebola yatikisa, Morocco yajitoa

RABAT, Morocco HISTORIA inaturudisha mwaka 2015. Morocco ikiwa inatarajiwa kuwa mwenyeji, iliomba kuhairisha michuano hiyo kutokana na hofu ya kuingiziwa maambukizi ya ugonjwa wa Ebola. Ni...

Simulizi za AFCON (3): Ajali ya ndege yaua wachezaji Zambia

NDOLA, Zambia MASHABIKI wa soka nchini Zambia wataendelea kuitunza kwenye kumbukumbu zao Aprili 27, 1993. Ilikuwaje siku hiyo? Endelea kusoma. Siku hiyo, wachezaji wa timu ya...

Sterling kutimkia Leeds au Palace

LONDON, Uingereza HUENDA kiungo wa pembeni wa Chelsea, Raheem Sterling, akaondoka klabuni hapo na kujiunga na Leeds United au Crystal Palace za Ligi Kuu ya...

Timu hizi zitashangaza wengi AFCON 2025

CAIRO, Misri FAINALI za Mataifa ya Afrika za mwaka huu (AFCON 2025) zinatarajiwa kuanza kutimua vumbi Desemba 21, mwaka huu. Zitafanyika nchini Morocco. Kati ya timu...

Kocha Newcastle mbioni kutimuliwa

LONDON, Uingereza IKIWA ni miaka minne tangu alipoajiriwa Novemba 2021, kocha Eddie Howe ameingia kwenye hatari ya kufungashiwa virago katika klabu ya Newcastle United. Newcastle imekuwa...

Tajiri Saudia kuinunua Barcelona

CATALUNYA, Hispania MWANAMFALME wa Saudi Arabia, Mohammed bin Salman, ametenga kitita cha euro bilioni 10 ili kuinunua klabu ya Barcelona. Aliyefichua mpango huo ni mwandishi wa...

Mabosi wa Messi wamsajili beki Tottenham

MIAMI, Marekani INTER Miami ya Marekani imemsajili mlinzi wa kushoto wa zamani wa Tottenham na Real Madrid, Sergio Reguilon, akiwa mchezaji huru. Reguilon mwenye umri wa...

Simulizi za AFCON (2): Basi la wachezaji Togo latekwa, watatu wauawa

LOME, Togo ILIKUWA ni mwaka 2010, ambapo kikundi cha watu wenye silaha za kivita kililiteka basi la wachezaji wa timu ya taifa ya Togo. Ilikuwaje? Ni...

Simulizi za AFCON (1): Drogba na waasi wa Ivory Coast

ABIDJAN, Ivory Coast AKIWA kwenye kiwango cha juu na mafanikio makubwa ya soka, wakati huo akiitumikia Chelsea, Didier Drogba, alijitosa katika vita ya wenyewe kwa...

Usiyoyajua kuhusu Mapinduzi Cup 2026

Na mwandishi wetu, Gazetini MSIMU huu wa Kombe la Mapinduzi umekuja na sura mpya, kubwa ikiwa ni ongezeko la Shilingi milioni 50 katika zawadi ya...

Recent articles

spot_img