Ads: info@gazetini.co.tz |
23.4 C
Dar es Salaam

Michezo

Sare zaitibulia Simba, yapoteza rekodi ya msimu uliopita

Na mwandishi wetu, Gazetini KAMA kuna jambo wanaloweza kujilaumu Simba endapo wataikosa ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu huu, basi ni sare nyingi walizovuna katika...

Yanga ilivyotibua rekodi yake ikiwa na mechi tano

Na mwandishi wetu, Gazetini MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara, Yanga, wako kileleni mwa msimamo wakiwa na pointi 60 lakini wamebakiza mechi tano, ambazo kama...

Azam itaweza kuilinda rekodi ya ‘ukuta’ wake?

Na mwandishi wetu, Gazetini KUFIKIA hatua hii ya msimu wa 2025-26 wa Ligi Kuu Bara, matajiri wa Chamazi, Azam FC, wameruhusu nyavu zao kutikiswa mara...

Kwa makocha hawa, mbona kazi ipo Kombe la Dunia 2026!

LONDON, Uingereza UPEKEE wa fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu ni namna zitakavyohusisha makocha wa daraja la juu, pengine kuliko ilivyowahi kutokea katika...

Kombe la Dunia 2026: Harry Kane alivyobeba matumaini ya England

LONDON, Uingereza KUFANIKIWA au kufeli kwa timu ya Taifa ya England 'Three Lions' katika fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu (2026) kutategemea na...

Ebola kuzitikisa fainali za Kombe la Dunia 2026?

KINSHASA, DRC MLIPUKO wa ugonjwa wa Ebola umeendelea kuwa gumzo si tu DRC ulikoanzia, bali pia nchi jirani za Afrika, ikiwamo Uganda, na sasa unatishia...

Usajili dirisha kubwa Ulaya: Nani aondoke, nani abaki? – MAN UNITED

MANCHESTER, Uingereza WALIMALIZA msimu wa 2025-26 wakiwa nafasi ya tatu kwenye msimamo wa Ligi Kuu ya England (EPL) na kukata tiketi ya kwenda Ligi ya...

Mabeki wa kati wa bei mbaya Kombe la Dunia 2026

LONDON, Uingereza FAINALI za Kombe la Dunia zitaanza Juni 11, 2026, zikitarajiwa kufikia mwezi mmoja baadaye (Julai 19), safari hii zikifanyika Marekani, Mexico na Canada. Nyota...

Kombe la Dunia 2026: Hawa hapa viungo wa kati wa bei kubwa sokoni

LONDON, Uingereza KUELEKEA fainali za Kombe la Dunia, yapo mengi ya kuvutia lakini kubwa ni kuona viungo wa kati (namba 8) wa viwango vya juu...

Usajili dirisha kubwa Ulaya: Nani aondoke, nani abaki? – MAN CITY

MANCHESTER, Uingereza MANCHESTER City itauanza msimu ujao (2026-27) bila kocha raia wa Hispania, Pep Guardiola. Enzo Maresca aliyewahi kuinoa Chelsea ndiye atakayekuwa kwenye benchi la...

Usajili dirisha kubwa Ulaya: Nani aondoke, nani abaki? – ARSENAL

LONDON, Uingereza BAADA ya ubingwa wao wa kwanza wa Ligi Kuu ya England tangu mwaka 2004, Arsenal wataingia msimu ujao wa 2026-27 wakiwa mabingwa watetezi. Pia,...

Usajili dirisha kubwa Ulaya: Nani aondoke, nani abaki? – CHELSEA

LONDON, Uingereza MSIMU wa 2025-26 haukuwa mzuri kwao. Chelsea walimaliza mbio za ubingwa wa Ligi Kuu ya England wakiwa nafasi ya 10 kwenye msimamo. Hawatoshiriki...

Recent articles