26 C
Dar es Salaam

Michezo

Osimhen: Tumejipanga kuing’oa Msumbiji

RABAT, Morocco STRAIKA wa timu ya taifa ya Nigeria 'Super Eagles', Victor Osimhen, amesema wamejiandaa vizuri kwa mchezo wao wa Jumatatu ya wiki ijayo dhidi...

Slot alia na mwamuzi

MERSEYSIDE, Uingereza BAADA ya suluhu dhidi ya Leeds United katika mchezo wa jana Januari Mosi, 2026, kocha wa Liverpool, Arne Slot, ameelekeza lawama zake kwa...

Chelsea yamfuta kazi Enzo Maresca

LONDON, Uingereza KLABU ya Chelsea imetangaza rasmi kumfungashia virago kocha wake raia wa Italia, Enzo Maresca, ikielezwa kuwa chanzo ni uhusiano mbaya kati yake na...

AFCON yamponza Aubameyang, Serikali yamtimua

LIBREVILLE, Gabon SERIKALI ya Gabon imetangaza kuvunja benchi la ufundi la timu ya soka ya taifa, ikiwa ni pamoja pia na kumtimua kikosini mshambuliaji wake,...

Yatakayojiri ulimwengu wa michezo 2026

Na mwandishi wetu, Gazetini HATIMAYE miezi 12 ya mwaka 2025 imetamatika. Mwaka huu, 2026, una matukio mengi ya kusubiriwa kwa hamu na wapenzi wa michezo...

Uganda yaacha historia AFCON 2025

RABAT, Morocco ACHANA na kichapo cha mabao 3-1 kutoka kwa Nigeria jana Desemba 31, 2025. Pia, sahau kuhusu kuishia hatua ya makundi ya fainali za...

Yaliyobamba ulimwengu wa soka 2025

Na mwandishi wetu, Gazetini LEO ni Januari Mosi, 2026, tukiwa na miezi 12 ya kuhesabu ili kuumaliza mwaka huu. Mwaka 2025 umekwenda zake. Hata hivyo,...

Stars kumaliza ‘uteja’ kwa Morocco?

Na mwandishi wetu, Gazetini NI JUMAPILI ya wiki hii, Januari 4, 2025. Taifa Stars itakapoumana na Morocco katika mchezo wa hatua ya 16 Bora ya...

Taifa Stars yafuzu 16 bora AFCON

Na Mwandishi Wetu, Gazetini TIMU ya Taifa ya Tanzania ' Taifa Stars' imefuzu hatua ya 16 bora ya michuano ya AFCON 2025 kama 'best loser'...

SMZ yapongeza udhamini mnono wa NMB Mapinduzi Cup

Na Mwandishi Wetu, Zanzibar SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), imeipongeza Benki ya NMB kwa kusaini mkataba mnono wa udhamini wa mashindano ya Mapinduzi Cup...

Nani kuvaa viatu vya Guardiola akiondoka City?

MANCHESTER, Uingereza WIKI iliyopita, kocha wa Manchester City, Pep Guardiola, alisema klabu hiyo inapaswa kujiandaa na maisha mapya bila uwepo wake kwenye benchi la ufundi. Mhispania...

Mabondia matajiri zaidi duniani

LOS ANGELES, Marekani UKIWEKA kando soka, masumbwi ni mchezo mwingine unaofuatiliwa zaidi, ukifuatiwa na mpira wa kikapu. Takwimu zinaonesha hivyo. Kutokana na ushawishi wake duniani, mchezo...

Recent articles

spot_img