RABAT, Morocco
STRAIKA wa timu ya taifa ya Nigeria 'Super Eagles', Victor Osimhen, amesema wamejiandaa vizuri kwa mchezo wao wa Jumatatu ya wiki ijayo dhidi...
MERSEYSIDE, Uingereza
BAADA ya suluhu dhidi ya Leeds United katika mchezo wa jana Januari Mosi, 2026, kocha wa Liverpool, Arne Slot, ameelekeza lawama zake kwa...
LONDON, Uingereza
KLABU ya Chelsea imetangaza rasmi kumfungashia virago kocha wake raia wa Italia, Enzo Maresca, ikielezwa kuwa chanzo ni uhusiano mbaya kati yake na...
LIBREVILLE, Gabon
SERIKALI ya Gabon imetangaza kuvunja benchi la ufundi la timu ya soka ya taifa, ikiwa ni pamoja pia na kumtimua kikosini mshambuliaji wake,...
Na mwandishi wetu, Gazetini
HATIMAYE miezi 12 ya mwaka 2025 imetamatika. Mwaka huu, 2026, una matukio mengi ya kusubiriwa kwa hamu na wapenzi wa michezo...
Na mwandishi wetu, Gazetini
LEO ni Januari Mosi, 2026, tukiwa na miezi 12 ya kuhesabu ili kuumaliza mwaka huu. Mwaka 2025 umekwenda zake. Hata hivyo,...
Na Mwandishi Wetu, Zanzibar
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), imeipongeza Benki ya NMB kwa kusaini mkataba mnono wa udhamini wa mashindano ya Mapinduzi Cup...
MANCHESTER, Uingereza
WIKI iliyopita, kocha wa Manchester City, Pep Guardiola, alisema klabu hiyo inapaswa kujiandaa na maisha mapya bila uwepo wake kwenye benchi la ufundi.
Mhispania...
LOS ANGELES, Marekani
UKIWEKA kando soka, masumbwi ni mchezo mwingine unaofuatiliwa zaidi, ukifuatiwa na mpira wa kikapu. Takwimu zinaonesha hivyo.
Kutokana na ushawishi wake duniani, mchezo...