Ads: info@gazetini.co.tz |
24.2 C
Dar es Salaam

Michezo

Kocha Ubelgiji amtaja aliyeiua Senegal

MIAMI, Marekani KOCHA wa timu ya soka ya Taifa ya Ubelgiji, Rudi Garcia, amesema nahodha wake, Youri Tielemans, ndiye mchezaji aliyekuwa na mchango mkubwa katika...

Weah: Yamal? Mbappe habari nyingine

TORONTO, Canada MKONGWE wa soka la Liberia, George Weah, ambaye ni Mwafrika pekee kuwahi kubeba Ballon d'Or, amesema Kylian Mbappe ni bora kuliko Lamine Yamal. Weah...

Usijichanganye! Brazil haijawahi kutoboa kwa Norway

TORONTO, Canada WIKIENDI hii, Julai 5, 2026, itashuhudiwa mechi kali ya hatua ya 16 Bora ya Kombe la Dunia kati ya Brazil na Norway ya...

Hii ndiyo Mexico inayosumbua Kombe la Dunia

MEXICO CITY, Mexico LICHA ya kuchukuliwa poa hata kabla ya michuano ya Kombe la Dunia kuanza Juni 11, 2026, Mexico ni moja ya timu zilizofanya...

‘Ushamba’ huu unaua ‘brand’ anayoipigania Injinia Hersi

Na mwandishi wetu, Gazetini MSIMU wa 2025/26 ulifikia tamati Juni 30, 2026, na habari kubwa ni Yanga kutwaa taji kwa mara ya tano mfululizo. Kwa ufupi,...

Mashabiki wafariki wakishangilia ushindi Mexico

MEXICO CITY, Mexico MASHABIKI wawili wa kandanda wamepoteza maisha nchini Mexico wakati wakishangilia ushindi wa timu yao ya Taifa. Tukio hilo limetokea baada ya Mexico kupata...

Drogba aibuka, alia na VAR

MIAMI, Marekani LEJENDARI wa timu ya soka ya Taifa ya Ivory Coast, Didier Drogba, ameeleza kusikitishwa na uamuzi wa VAR kuwanyima penalti. Drogba anazungumzia mchezo wao...

Kane avunja rekodi ya Pele, DRC yang’oka

MIAMI, Marekani NAHODHA wa timu ya soka ya Taifa ya England, Harry Kane, amempiku mkongwe wa soka la Brazil, Pele, kwa idadi ya mabao kwenye...

Dk. Yonazi: AFCON 2027 ni fursa ya kuitangaza Tanzania Duniani

Na mwandishi wetu, Gazetini Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), Dk. Jim Yonazi, amesema maandalizi ya Michuano ya Kombe...

Fei Toto na maumivu yake, wageni na ubabe wao ufungaji bora

Na Hassan Mwasha DAKIKA 90 tu za mchezo kati ya Fountain Gate na Singida Black Stars ndizo zilizopeperusha ndoto ya Feisal Salum 'Fei Toto' kuwa...

Mtibwa yaelekea maisha mapya Championship

Na Hassan Mwasha, Gazetini WAKONGWE wa soka la Morogoro, Mtibwa Sugar, wameiaga rasmi michuano ya Ligi Kuu Bara, hivyo msimu ujao watacheza Ligi Daraja la...

Kigogo wa Serikali achekelea Iran kutolewa Kombe la Dunia

WASHINGTON DC, Marekani INAFAHAMIKA kuwa bado uhusiano kati ya Marekani na Iran haujakaa sawa. Mataifa hayo yanaendelea kushambuliana kijeshi, licha ya makubaliano ya hivi karibuni...

Recent articles