24.5 C
Dar es Salaam

Michezo

Gamondi: Nigeria wasitarajie ‘kitonga’

RABAT, Nigeria KOCHA wa timu ya soka ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars', Miguel Gamondi, ameweka wazi kuwa vijana wake hawatotanguliza hofu mbele ya Nigeria...

Gamondi katikati ya makocha 9 AFCON 2025

Na mwandishi wetu, Gazetini FAINALI za Mataifa ya Afrika za mwaka huu (AFCON 2025) zitakuwa na makocha 10 ambao itakuwa ni mara yao ya kwanza...

Aubameyang kukosa ufunguzi AFCON 2025

MARSEILLE, Ufaransa SHIRIKISHO la Soka la Gabon (FEGAFOOT) limethibitisha kuwa straika wa timu ya taifa hilo, Pierre-Emerick Aubameyang, atakosekana katika mchezo wao wa kwanza wa...

Mambo 5 kuhusu kocha mpya Simba

Na mwandishi wetu, Gazetini HATIMAYE ni Steve Barker ndiye aliyetangazwa kuwa kocha mkuu mpya wa Simba akichukua mikoba ya Dimitar Pantev aliyefungashiwa virago wiki chache...

Yanga, Injinia Hersi; ‘win-win situation’ iliyorudisha chenji

Na Hassan Mwasha, Gazetini 'Win-win situation' ni nini? Ni pale pande mbili au zaidi zilizo kwenye mahusiano au ushirika wa kibiashara zinaponufaika kwa pamoja, pasi...

Arsenal, Chelsea kukutana robo fainali Ligi ya Mabingwa?

LONDON, Uingereza NI Ligi ya Mabingwa Ulaya kwa soka la wanawake, ambapo huenda hatua ya robo fainali ikawashuhudia mabingwa watetezi, Arsenal, wakavaana na Chelsea. Hata hivyo,...

‘Hatuna mgogoro, Wanasimba msisikilize porojo’

Na mwandishi wetu, Gazetini MWENYEKITI wa klabu ya Simba, Murtaza Mangungu, amekanusha taarifa za kuwapo kwa mgogoro kati ya viongozi, akisema ni upotoshaji unaifanywa kwa...

AFCON 2025, kivutio kingine ni mavazi ya kitamaduni

Na Winfrida Mtoi, Gazetini SHAMRASHAMRA kuelekea Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON-2025), zimezidi kupamba moto, hasa baada ya timu shiriki za michuano hiyo kuanza kuwasili nchini...

Yaliyojiri tuzo za FIFA, Dembele abeba tena

DOHA, Qatar MSHAMBULIAJI wa PSG na timu ya taifa ya Ufaransa, Ousmane Dembele, ameibuka mshindi wa tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwaka huu wa Shirikisho...

Samatta na vita yake AFCON 2025

Na mwandishi wetu, Gazetini KAMA kuna alama isiyofutika na itakayobaki kwa miaka mingi katika historia ya soka la Tanzania, basi ni kile alichokifanya Mbwana Samatta. Mchezaji...

Mbappe bado bao moja tu

MADRID, Hispania STAA wa Real Madrid, Kylian Mbappe, amebakiza bao moja kufikia rekodi ya mkongwe wa timu hiyo, Cristiano Ronaldo. Katika mchezo wa jana Desemba 17,...

Mastaa hawa mguu nje, mguu ndani Kombe la Dunia 2026

LONDON, Uingereza NI miezi michache tu imebaki kabla ya kuanza kwa fainali za Kombe la Dunia zitakazotimua vumbi kwa mwezi mmoja kuanzia Juni, mwakani. Kuelekea fainali...

Recent articles

spot_img