26 C
Dar es Salaam

Michezo

Manchester United yamfuta kazi Amorim, Fletcher akabidhiwa mikoba

MANCHESTER, Uingereza KLABU ya Manchester United imethibitisha kuachana na kocha wake mkuu, Ruben Amorim, katika uamuzi uliokuja kwa masikitiko lakini ukilenga maslahi ya baadaye ya...

Stars yang’olewa kibishi AFCON 2025

Na mwandishi wetu, Gazetini TIMU ya soka ya taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' imeondoshwa kwenye fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON 2025) lakini gumzo ni...

Kocha Barcelona: Hatukustahili ushindi

CATALUNYA, Hispania KOCHA wa Barcelona, Hans Flick, amedai kuwa timu yake ilionesha kiwango kibovu katika mchezo dhidi ya Espanyol, hivyo haikistahili kupata ushindi wa mabao...

Baleba aingia rada za Liverpool

MERSEYSIDE, Uingereza LIVERPOOL imeungana na Manchester United na Tottenham katika mbio za kumsajili kiungo wa Brighton na timu ya taifa ya Cameroon, Carlos Baleba. Brighton haijakataa...

Chelsea kubeba kocha, kiungo Newcastle

LONDON, Uingereza MABOSI wa Chelsea wameripotiwa kuanza harakati za kumchukua kocha wa Newcastle United, Eddie Howe. Wakati huo huo, taarifa zinaeleza kuwa wanaitaka saini ya kiungo...

Rodri aipasua kichwa Madrid

MADRID, Hispania BADO mabosi wa Real Madrid wanaumiza vichwa juu ya mpango wao wa kuinasa saini ya kiungo wa Manchester City na timu ya taifa...

Saka aifikia rekodi ya Fabregas

LONDON, Uingereza HATIMAYE mshambuliaji wa Arsenal, Bukayo Saka, ameungana na Cesc Fabregas katika orodha ya wachezaji waliochangia mabao mengi ya timu hiyo kwenye historia ya...

Rekodi ya Obi yavunjwa AFCON 2025

RABAT, Morocco TIMU ya soka ya taifa ya Senegal imetinga robo fainali ya msimu huu wa fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON 2025) kwa kuifunga...

Chiesa aibukia AS Roma

ROMA, Italia KLABU ya AS Roma imemuweka kwenye rada zake kiungo wa pembeni wa Liverpool raia wa Italia, Federico Chiesa. Wakati huo huo, nyota huyo anahusishwa...

Diarra kiboko, abeba tuzo akitinga robo AFCON

RABAT, Morocco PENALTI mbili alizookoa kipa wa Yanga, Djigui Diarra, zimeiwezesha timu yake ya taifa ya Mali kuing'oa Tunisia na kutinga hatua ya robo fainali...

Man City v Chelsea … Shoo ya kibabe Etihad

MANCHESTER Uingereza MANCHESTER City itakuwa nyumbani katika Uwanja wa Etihad kukaribisha Chelsea, mchezo wa Ligi Kuu ya England utakaochezwa wikiendi hii (Januari 5, 2026). Kwa upande...

Ayew atua Ligi Kuu ya Uholanzi

AMSTERDAM, Uholanzi MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Ghana, Andre Ayew, amejiunga na NAC Breda inayoshiriki Ligi Kuu ya Uholanzi (Eredivisie). Ayew mwenye umri wa miaka 36, amesaini...

Recent articles

spot_img