MANCHESTER, Uingereza
KLABU ya Manchester United imethibitisha kuachana na kocha wake mkuu, Ruben Amorim, katika uamuzi uliokuja kwa masikitiko lakini ukilenga maslahi ya baadaye ya...
Na mwandishi wetu, Gazetini
TIMU ya soka ya taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' imeondoshwa kwenye fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON 2025) lakini gumzo ni...
CATALUNYA, Hispania
KOCHA wa Barcelona, Hans Flick, amedai kuwa timu yake ilionesha kiwango kibovu katika mchezo dhidi ya Espanyol, hivyo haikistahili kupata ushindi wa mabao...
MERSEYSIDE, Uingereza
LIVERPOOL imeungana na Manchester United na Tottenham katika mbio za kumsajili kiungo wa Brighton na timu ya taifa ya Cameroon, Carlos Baleba.
Brighton haijakataa...
LONDON, Uingereza
MABOSI wa Chelsea wameripotiwa kuanza harakati za kumchukua kocha wa Newcastle United, Eddie Howe.
Wakati huo huo, taarifa zinaeleza kuwa wanaitaka saini ya kiungo...
LONDON, Uingereza
HATIMAYE mshambuliaji wa Arsenal, Bukayo Saka, ameungana na Cesc Fabregas katika orodha ya wachezaji waliochangia mabao mengi ya timu hiyo kwenye historia ya...
ROMA, Italia
KLABU ya AS Roma imemuweka kwenye rada zake kiungo wa pembeni wa Liverpool raia wa Italia, Federico Chiesa.
Wakati huo huo, nyota huyo anahusishwa...
RABAT, Morocco
PENALTI mbili alizookoa kipa wa Yanga, Djigui Diarra, zimeiwezesha timu yake ya taifa ya Mali kuing'oa Tunisia na kutinga hatua ya robo fainali...
MANCHESTER Uingereza
MANCHESTER City itakuwa nyumbani katika Uwanja wa Etihad kukaribisha Chelsea, mchezo wa Ligi Kuu ya England utakaochezwa wikiendi hii (Januari 5, 2026).
Kwa upande...
AMSTERDAM, Uholanzi
MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Ghana, Andre Ayew, amejiunga na NAC Breda inayoshiriki Ligi Kuu ya Uholanzi (Eredivisie).
Ayew mwenye umri wa miaka 36, amesaini...