Ads: info@gazetini.co.tz |
27.2 C
Dar es Salaam

Makala

Xavi Hernandez kurejesha heshima ya Uholanzi?

ZEIST, Uholanzi KIUNGO na kocha wa zamani wa Barcelona, Xavi Hernandez, ndiye aliyekabidhiwa benchi la ufundi kwa ajili ya kuinoa timu ya soka ya Taifa...

Serikali, M23 na safari ya kutafuta amani DRC

KINSHASA, DRC WAWAKILISHI wa Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na Kundi la waasi la M23 wamekutana mjini Geneva, Uswis, na kukubaliana kuweka...

Siku 14 za Rais Samia kufanya uamuzi, ‘utata’ wa Dk. Nchimbi

Na Hassan Mwasha, Gazetini RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, ana siku 14, kwa mujibu wa Ibara ya 50(4) ya...

Life for Relief and Development Calls for Support for Victims of Wars

As the scope of humanitarian crises continues to expand worldwide, World Humanitarian Day serves as a reminder that behind the statistics of wars and...

Idi Amin; Utata wa ‘birthday’, usaliti na udikteta wake (10)

Na mwandishi wetu, Gazetini KATIKA sehemu ya tisa, tuliishia pale bi. Madina alipomuomba Yoweri Museveni amruhusu Idi Amin kurudi Uganda. Rais huyo akasema ‘Idi Amin...

Idi Amin; Utata wa ‘birthday’, usaliti na udikteta wake (9)

Na mwandishi wetu, Gazetini “KAMA hamtaki kupigana, nitapigana peke yangu.” Ni kauli aliyoitoa Idi Amin kuwaambia wanajeshi wake waliomfuta Machi, 1997, wakimuomba ajiuzulu baada ya...

Idi Amin; Utata wa ‘birthday’, usaliti na udikteta wake (8)

Na mwandishi wetu, Gazetini KATIKA sehemu ya saba, tuliona namna Idi Amin alivyoagiza Wakenya waliokuwa wakiishi Uganda kuuawa, akiamini nchi hiyo jirani iliwasaidia makomandoo wa...

Mykhailo Fedorov kumvaa Zelensky kiti cha urais?

KYIV, Ukraine UKIWA ni mwezi mmoja tangu alipojiuzulu katika nafasi yake ya Waziri wa Ulinzi, Mykhailo Fedorov ameibuka na kauli zinazoashiria kuwa amejipanga kumvaa aliyekuwa...

Chuki dhidi ya wageni; ‘Wasauzi’ wanawafundisha nini viongozi Afrika?

Na Hassan Mwasha, Gazetini RAIA wa kigeni zaidi ya 17,600 wameondoka Afrika Kusini tangu Aprili, 2026 kutokana na vurugu walizofanyiwa na wenyeji wao. ‘Wasauzi’ hawataki...

Nani amekalia ‘siti’ ya wananchi katika gari la maridhiano?

Na Hassan Mwasha, Gazetini HOJA ya maridhiano ina umuhimu mkubwa. Ukweli ulio wazi ni kwamba nchi ipo kwenye mkwamo unaohitaji meza ya mazungumzo. Tuzungumze kweli...

Utata wa matokeo ya Uchaguzi Mkuu Zambia

LUSAKA, Zambia KIONGOZI wa siasa za upinzani nchini Zambia kupitia Chama cha National Reconciliation Party for Unity, Brian Mundubile, ameyapinga matokeo yaliyomrejesha madarakani Rais Hakainde...

Idi Amin; Utata wa ‘birthday’, usaliti, na udikteta wake (7)

Na mwandishi wetu, Gazetini KATIKA sehemu iliyopita, tuliona Israel, Uingereza na hata India zikisitisha mahusiano ya kidiplomasia na Uganda ya Idi Amin, huku Libya, Umoja...

Recent articles