Ads: info@gazetini.co.tz |
23.4 C
Dar es Salaam

Elimu

    Sehemu 10 pesa zilikojificha

    Na Benjamin Madaha KATIKA kipindi hiki cha tatizo la ajira, watu wanatafuta pesa kila kukicha -wengine usiku na mchana na wengine hujaribu kuhama eneo moja...

    Mambo usiyoyajua kisheria kuhusu kesi za mauaji-6

    Na Wakili Baraka Asajile Gwakabale SHERIA ya Tanzania haitambui kila kifo cha mtoto tumboni kama murder. Ili kosa la murder lisimame, lazima marehemu awe ametambulika...

    Mambo usiyoyajua kisheria kuhusu kesi za mauaji-5

    Na Wakili Baraka Asajile Gwakabale KWA mujibu wa kifungu cha 15, mtoto aliye chini ya umri wa miaka 18 hawezi kushikiliwa kikamilifu kwa adhabu zinazohusiana...

    Sababu 6 kubaki masikini ukiwa unapata pesa nyingi

    HII ndiyo 'psychology' ya pesa ambayo watu wengi hawaielewi. Wengi wanafikiri umasikini unatokana na kukosa pesa. Lakini ukweli ni kwamba mara nyingi hunasababishwa na mtazamo...

    Simulizi ya Zuhra na mapambano dhidi ya ndoa za utotoni

    Na mwandishi wetu, Zanzibar WAKATI Zuhra (Si jina lake halisi) alipokuwa na umri wa miaka 17 tu, hatima ya maisha yake ilikuwa tayari imeanza kuamuliwa...

    Mwangwi wa sheria| Mambo usiyoyajua kisheria kuhusu kesi za mauaji-4

    Na Wakili Baraka Asajile Gwakabale IFAHAMIKE kuwa kukiri kosa hakufungi mjadala wa kisheria. Kukiri kosa ni kitendo cha mshitakiwa kukubali kuwa alihusika katika kitendo cha...

    Mwangwi wa sheria| Mambo usiyoyajua kisheria kuhusu kesi za mauaji-2

    Na Wakili Baraka Asajile Gwakabale KIFUNGU cha 196 kinaweka msingi wa kosa la murder. Lakini kifungu cha 203 ndicho kinachoeleza kwa kina uwiano wa sababu...

    Mwangwi wa sheria| Mambo usiyoyajua kisheria kuhusu kesi za mauaji-1

    Na Wakili Baraka Asajile Gwakabale MAUAJI yanafafanuliwa kisheria, si kwa maoni ya jamii, na kifungu husika ni cha 196. 'Murder' hutokea pale mtu anaposababisha kifo...

    Changamoto wanazopitia wanafunzi Ukanda wa Gaza

    JERUSALEM, Palestina MIAKA miwili iliyopita, Sarah Qanan alikuwa miongoni mwa wanafunzi waliokuwa wakifanya vizuri darasani. Ndoto ya kuwa daktari ilikuwa kichwani kwake na kumuongezea morali...

    Maajabu ya kitabu cha ‘Istilahi za Uhalifu na Usalama’

    Na Christopher Cyrillo FIKIRIA wewe ni mtumishi wa taasisi au mamlaka fulani ya kisiasa, na zaidi ya hapo wewe ni shushushu wa kuaminiwa na taasisi...

    Kanisa Katoliki Tanzania na historia ya majina ya maaskofu wake

    Na Malisa GJ KATIKA historia ya Kanisa Katoliki nchini Tanzania kumekuwa na Maaskofu Wakuu watatu (Archbishops) wenye jina Rugambwa. Wawili kati yao wakiwa Makardinali na...

    Ni kweli wahitimu vyuo vikuu hawaajiriki?

    Na mwandishi wetu, Gazetini SUALA la kupata nafasi ya ajira baada tu ya kumaliza masomo limekuwa 'pasua kichwa' kwa wahitimu wengi wa vyuo vikuu. Si...

    Recent articles