Ads: info@gazetini.co.tz |
31.2 C
Dar es Salaam

Author: gazetiniAdmin_1

Nkunku mguu mmoja Bayern Munich

MUNICH, UjerumaniMATAJIRI wa Chelsea wameanza mazungumzo na Bayern Munich, ajenda kuu ikiwa ni mshambuliaji raia wa Ufaransa, Christopher Nkunku.Blues wako tayari kumwachia Nkunku, ambaye...

Mkorea wa PSG awindwa Arsenal, Man United

PARIS, UfaransaKLABU kongwe za England, Arsenal na Manchester United, zinapigana vikumbo kuiwania saini ya mshambuliaji wa PSG raia wa Korea Kusini, Lee Kang-in.Nyota huyo...

Stars ni rekodi za kibabe tu CHAN 2024

Na mwandishi wetu, GazetiniKWA mara ya kwanza katika historia ya CHAN, timu ya soka ya taifa ya Tanzania (Taifa Stars) imetinga robo fainali, tena...

Kipindupindu chaua 40 wiki moja Sudan

DARFUR, SudanUGONJWA wa kipindupindu umesababisha vifo vya watu 40 ndani ya wiki moja nchini Sudan, huku vita vinavyoendelea vikihusishwa na tatizo hilo.Vita inayoendelea kati...

Watu 360 waugua baada ya chakula cha bure

JAKARTA, IndonesiaWATU zaidi ya 360, wakiwamo wanafunzi, wameugua ghafla baada ya kupata chakula cha bure kinachotolewa shuleni mjini Sragen.Chakula hicho ni sehemu ya programu...

Trump sasa ana kwa ana na Zelenskyy

KYIV, UkraineRAIS wa Marekani, Donald Trump, sasa amepanga kukutana na kufanya mazungumzo na mwenzake wa Ukraine, Volodymyr Zelenskyy.Mkutano huo utakaofanyika mjini Washington, DC, unakuja...

Meya matatani tuhuma za rushwa

LOS ANGELES, MarekaniMEYA wa New Orleans, LaToya Cantrell, amefunguliwa mashitaka akituhumiwa kwa makosa ya rushwa.Wakati huo huo, mashitaka hayo yamemuhusisha pia mlinzi binafsi wa...

Staa Marekani jela kwa wizi wa TV

LOS ANGELES, MarekaniMWANAMUZIKI maarufu nchini Marekani, Sean Kingston, amehukumiwa kifungo cha miaka mitatu na nusu gerezani katika kesi yake ya wizi.Kingston, pamoja na mama...

Wafanyakazi Shirika la Ndege Canada wagoma

TORONTO, CanadaWAFANYAKAZI wa Shirika la Ndege la Canada wameendelea na mgomo wakishinikiza ongezeko la mshahara.Kwa mujibu wa Shirika hilo, mgomo huo wa wafanyakazi, wakiwano...

Chupa za kioo changamoto kwa mazingira, TBL, PETPRO waja na suluhisho

Na Jonathan Benedict, Gazetini Kila mwaka, maelfu ya tani za chupa za kioo hutupwa nchini Tanzania baada ya matumizi. Tafiti za mazingira zinaonyesha kuwa chini...

Arteta amjibu mkongwe Arsenal

LONDON, EnglandKOCHA Mikel Arteta amesema hana mpango wa kumpokonya unahodha kiungo wake raia wa Noray, Martin Odegaard.Arteta ni kama amemjibu lejendari wa Arsenal, Tony...

Kounde aongeza mkataba Barcelona

CATALUNYA, HispaniaKLABU ya Barcelona imetangaza kumpa mkataba mpya beki wake wa pembeni raia wa Ufaransa, Jules Kounde, na sasa atabaki Camp Nou hadi mwaka...

Recent articles

spot_img