Ads: info@gazetini.co.tz |
25.2 C
Dar es Salaam

Author: gazetiniAdmin_1

Mgombea urais anusurika kuuawa

LIMA, Peru MGOMBEA urais katika Uchaguzi Mkuu wa Peru unaotarajiwa kufanyika Aprili, mwakani, Rafael Belaunde, amenusurika kuuawa katika shambulio la risasi. Belaunde alishambuliwa na watu...

Trump amtoa gerezani rais aliyehukumiwa miaka 45

WASHINGTON DC, Marekani RAIS wa zamani wa Honduras, Juan Orlando Hernandez, ametoka gerezani kwa msamaha wa Rais wa Marekani, Donald Trump. Orlando Hernandez alikuwa akitumikia...

Maelfu waandamana wakitaka Serikali ijiuzulu

SOFIA, Bulgaria MAANDAMANO makubwa yameibuka katika Jiji la Sofia, Bulgaria, ambapo maelfu ya wananchi wameingia barabarani wakishinikiza Serikali kujiuzulu. Taarifa za awali juu ya maandamano...

Urusi yatangaza kuteka mji Ukraine

MOSCOW, Urusi SERIKALI ya Urusi kupitia kwa Msemaji wake, Dmitry Peskov, imetangaza kile ilichokiita kuwa ni ushindi baada ya kuteka mji ulioko Mashariki wa Donetsk,...

Waasi wamng’oa Waziri wa Ulinzi

LAGOS, Nigeria WAKATI huu kukiwa na mfululizo wa matukio ya utekaji yanayofanywa na vikundi vya waasi nchini Nigeria, Waziri wa Ulinzi ametangaza kujiuzulu. Hata hivyo,...

Alonso mbioni kutimuliwa Madrid

MADRID, Hispania ENDAPO Xabi Alonso hakutakuwa na mabadiliko katika mechi chache zijazo, mabosi wa Real Madrid watamfuta kazi kocha wao raia wa Hispania, Xabi Alonso....

Onana atemwa kikosini Cameroon

YOUNDE, Cameroon MLINDA mlango wa Manchester United anayecheza kwa mkopo Trabzonspor ya Uturuki, Andre Onana, hajaitwa katika kikosi cha timu ya taifa ya Cameroon. Cameroon...

Mwanasiasa upinzani afariki akiwa kizuizini

YOUNDE, Cameroon TAHARUKI imetawala nchini Cameroon baada ya mwanasiasa mkongwe wa upinzani, Anicet Ekane, kufariki akiwa anashikiliwa na vyombo vya dola, ikiwa ni wiki tano...

Usyk asema anamtaka Wilder

LOS ANGELES, Marekani BINGWA wa ngumi za uzito wa juu duniani, Oleksandr Usyk, amemtaja Deontay Wilder kuwa ndiye bondia anayetamani kuzichapa naye katika pambano lijalo....

Hawa hapa sita watakaong’oka Liverpool

MERSEYSIDE, England ZIMEKUWAPO taarifa za Arne Slot kuondoka Liverpool, ikielezwa kuwa huenda mabosi wa klabu hiyo watamfungashia virago. Taarifa za kocha huyo wa kimataifa wa...

Mgonjwa adaiwa kubakwa na tabibu, watatu wasimamishwa kazi

Na Mwandishi Wetu, Gazetini WATUMISHI watatu wa kada ya afya, akiwemo Mganga Mkuu wa Wilaya ya Urambo, wamesimamishwa kazi kufuatia sakata la mgonjwa kudaiwa kubakwa...

Dunia yaadhimisha Siku ya UKIMWI kwa onyo kali na wito wa kuchukua hatua

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Dunia leo Desemba 1, 2025, inaadhimisha Siku ya UKIMWI Duniani, huku Umoja wa Mataifa ukitoa onyo kali kuhusu mustakabali wa mapambano...

Recent articles

spot_img