23.4 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

WSL nako kumechangamka, Man City haishikiki

LONDON, Uingereza BAADA ya kila timu kucheza mechi 11 msimu huu, Manchester City iko kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu ya Wanawake ya England (WSL),...

Simba yaja kidigitali, jezi sasa kuuzwa kwa simu

Na mwandishi wetu, Gazetini USHINDWE wewe tu! Sasa mashabiki na wanachama wa Simba wanaweza kupata jezi zao kidigitali, hata kupitia simu zao za mkononi. Wakati huo...

Simulizi za AFCON (5): Refa aliyemaliza mpira mara mbili

TUNIS, Tunisia INAKUWAJE rahisi kulisahau jina la Janny Sikazwe katika historia ya michuano ya Mataifa ya Afrika (AFCON)? Ni ngumu. Katika mechi ya hatua ya makundi...

Simulizi ya AFCON (4): Ebola yatikisa, Morocco yajitoa

RABAT, Morocco HISTORIA inaturudisha mwaka 2015. Morocco ikiwa inatarajiwa kuwa mwenyeji, iliomba kuhairisha michuano hiyo kutokana na hofu ya kuingiziwa maambukizi ya ugonjwa wa Ebola. Ni...

Trump aomba mwanaharakati aachiwe

WASHINGTON DC, Marekani RAIS wa Marekani, Donald Trump, amemtaka mwenzake wa China, Xi Jinping, kumwachia huru mwanaharakati wa demokrasia mjini Hong Kong, Jimmy Lai. Lai, ambaye...

Maria Carey kutumbuiza Olimpiki

LOS ANGELES, Marekani MWANAMUZIKI ambaye pia ni mshindi mara tano wa tuzo za Grammy, Mariah Carey, atakuwa miongoni mwa watumbuizaji wakati wa hafla ya ufunguzi...

Simulizi za AFCON (3): Ajali ya ndege yaua wachezaji Zambia

NDOLA, Zambia MASHABIKI wa soka nchini Zambia wataendelea kuitunza kwenye kumbukumbu zao Aprili 27, 1993. Ilikuwaje siku hiyo? Endelea kusoma. Siku hiyo, wachezaji wa timu ya...

Sterling kutimkia Leeds au Palace

LONDON, Uingereza HUENDA kiungo wa pembeni wa Chelsea, Raheem Sterling, akaondoka klabuni hapo na kujiunga na Leeds United au Crystal Palace za Ligi Kuu ya...

Timu hizi zitashangaza wengi AFCON 2025

CAIRO, Misri FAINALI za Mataifa ya Afrika za mwaka huu (AFCON 2025) zinatarajiwa kuanza kutimua vumbi Desemba 21, mwaka huu. Zitafanyika nchini Morocco. Kati ya timu...

Kocha Newcastle mbioni kutimuliwa

LONDON, Uingereza IKIWA ni miaka minne tangu alipoajiriwa Novemba 2021, kocha Eddie Howe ameingia kwenye hatari ya kufungashiwa virago katika klabu ya Newcastle United. Newcastle imekuwa...

Utafiti: Kulala bila kuzima taa chanzo shambulio la moyo, kiharusi

Na mwandishi wetu, Gazetini WAPO waliozoea kulala wakiwa wamewasha taa zao za ndani nyakati za usiku, bila kufahamu kuwa inaweza kuwasabashia shambulio la moyo au...

Tajiri Saudia kuinunua Barcelona

CATALUNYA, Hispania MWANAMFALME wa Saudi Arabia, Mohammed bin Salman, ametenga kitita cha euro bilioni 10 ili kuinunua klabu ya Barcelona. Aliyefichua mpango huo ni mwandishi wa...