26 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Ziwa Natron: Urithi wa kimataifa unaopaswa kulindwa, sio kuchimbwa

Na Emmanuel Mgimwa – Gazetini Katika nyanda kame za Kaskazini mwa Tanzania, lipo Ziwa Natron eneo la kimataifa la Ramsar na nyumbani kwa asilimia 75...

Madrid wajitosa kumsajili Ter Stegen

MADRID, HispaniaKLABU ya Real Madrid imeanza harakati za kuinasa huduma ya mlinda mlango wa Barcelona, Marc-Andre Ter Stegen.Ripoti zinaeleza kuwa kocha wa Madrid, Xabi...

CAF yaipanga Simba ya tano, Yanga ya 12 viwango vya ubora Afrika

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Klabu ya Simba SC imepanda hadi nafasi ya tano katika viwango vipya vya ubora vya Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF),...

Mkutano Mkuu Yanga Sept. 7

Na Mwandishi Wetu, Gazetini KLABU ya Yanga imetangaza rasmi kuwa Mkutano Mkuu wake utafanyika Septemba 7, mwaka huu.Taarifa rasmi ya Yanga kwa wanachama wake imeweka...

Nani kati ya mastaa hawa kuibeba Ballon d’Or 2025?

LONDON, Uingereza MSIMU uliopita, tuzo maarufu ya Mchezaji Bora wa Mwaka ya jarida la France Football, Ballon d'Or, ilitua mikononi mwa kiungo wa Manchester City...

OKWI ASAJILIWA POLICE FC

Nyota wa zamani wa Simba na Yanga, Emmanuel Okwi, raia wa Uganda amejiunga na Police FC ya Rwanda akitokea AS Kigali ya nchini humo...

Kocha Nigeria aweka rekodi Ballon d’Or

LAGOS, NigeriaKOCHA wa timu ya soka ya wanawake ya Nigeria (Super Falcons), Justine Madugu, ameandika historia baada ya kuingia kwenye kinyang'anyiro cha tuzo za...

Zamalek yachukua winga Brazil

CAIRO, MisriVIGOGO wa soka Misri, Zamalek, wamekamilisha usajili wa kiungo wa pembeni wa kimataifa wa Brazil, Juan Alvina.Nyota huyo mwenye umri wa miaka 22,...

Bosi Spurs kumrudisha Kane?

LONDON, England MWENYEKITI wa Tottenham, Daniel Levy, amefichua kuwa mkataba wa Harry Kane una kipengele kinachowaruhusu kumsajili kwa mara nyingine. Kane, nahodha wa timu ya...

Nunez mshahara mpya bil. 68/-

MERSYSIDE, EnglandBAADA ya kumalizana na Al-Hilal, Darwin Nunez atavuna mshahara wa Pauni milioni 20 (takriani Sh bil. 68 za Tanzania) kwa mwaka kutoka kwa...

Pogba na usajili wa kamari Ligue 1

PARIS, UfaransaALIPOFUNGIWA kujihusisha na soka kwa miaka minne baada ya kubainika kutumia dawa za kuongeza nguvu, maswali yalikuwa mengi juu ya hatima ya kiungo...

Thomas Muller; miaka 15 ya mabao, ‘asisti’, rekodi Bayern

MUNICH, UjerumaniJINA la Thomas Muller limetua Ligi Kuu ya Marekani (MLS) baada ya mshambuliaji huyo wa kimataifa wa Ujerumani kujiunga na Vancouver Whitecaps akitokea...