MANCHESTER, EnglandUKIWA ni mwaka mmoja tu umepita tangu alipoondoka Manchester United, Scott McTominay ameingia kwenye kinyang'anyiro cha kuiwania tuzo ya mwaka huu ya Ballon...
LONDON, UingerezaKWA mujibu wa mtandao maarufu wa takwimu wa Supercomputer, Manchester United na Tottenham zitamaliza vibaya msimu ujao wa Ligi Kuu ya England (EPL).Si...
RIYADH, Saudi ArabiaSERIKALI ya Saudi Arabia iko mstari wa mbele ikiiunga mkono Palestina katika harakati za za kutaka kutambulika kama nchi huru nje ya...
LUSAKA, Zambia
HIVI karibuni, Afrika iliwapoteza marais wastaafu wawili kutoka mataifa ya Nigeria na Malawi, Muhammadu Buhari na Edgar Lungu, ambao wote walikuwa nje ya...
Na Mwandishi Wetu
CHAMA cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), kimemtangaza Salum Mwalimu kuwa mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye uchaguzi mkuu...
Na Mwandishi Wetu
Mahakama ya Wilaya ya Mbozi imemtia hatiani na kumhukumu kifungocha maisha gerezani, mfanyabiashara Athuman Mtibwa (35) na kulipa kiasi cha fidia milioni...
Na Mwandishi Wetu
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa maendeleo katika sekta ya elimu ni mkombozi na mafanikio ya Taifa lolote duniani.
Amesema kwa kutambua hilo,...
Na Mwandishi Wetu
Klabu ya Dodoma Jiji yamtangaza kocha Vincent Mashami kutoka Polisi FC ya Rwanda akichukua nafasi ya Mecky Maxime aliyeondoka mwishoni msimu uliomalizika.
Kwa mujibu...
LONDON, UingerezaUKILIWEKA kando jina la Harry Kane, Son Heung-min anaweza kuwa mchezaji bora zaidi kuwahi kutokea katika klabu ya Tottenham kwa miaka ya hivi...
PRETORIA, Afrika KusiniMATAIFA ya Afrika yanakabiliwa na kiwango cha juu cha ushuru kwa bidhaa zake zitakazoingia Marekani, ikiwa ni sera ya utawala wa Rais...