Ads: info@gazetini.co.tz |
22.5 C
Dar es Salaam

World CUP

Tunisia ya Herve Renard kuishangaza dunia?

MEXICO CITY, Mexico BAADA ya kumtimua Sabri Lamouchi, timu ya soka ya Taifa ya Tunisia iko chini ya kocha maarufu raia wa Ufaransa, Herve Renard. Lamouchi...

Mama amtoa machozi kipa wa Cape Verde

NEW YORK, Marekani MLINDA mlango wa timu ya soka ya Cape Verde, Vozinha, amesema kutokuwepo uwanjani kwa mama yake ndiyo sababu ya kilio chake baada...

Ancelotti afunguka kilichoiponza Brazil kwa Morocco

NEW YORK, Marekani KOCHA wa timu ya soka ya Taifa ya Brazil, Carlo Ancelotti, amesema sare ya bao 1-1 waliyoipata mbele ya Morocco ilitokana na...

Vinicus Jr: Tutarudi kivingine, bado mapema

MEXICO CITY, Mexico WINGA wa timu ya Taifa ya Brazil, Vinicius, amesema sare ya bao 1-1 waliyopata katika mchezo wa kwanza dhidi ya Morocco umewapa...

Ujerumani yaweka rekodi mpya Kombe la Dunia

NEW YORK, Ujerumani BAADA ya ushindi wa mabao 7-1 dhidi ya Curacao, timu ya soka ya Taifa ya Ujerumani imeandika historia mpya katika michuano ya...

Kipigo cha Sweden kufukuzisha kocha Tunisia

NEW YORK, Marekani SHIRIKISHO la Soka la Tunisia linaweza kumfuka kocha wa timu yake ya Taifa, Sabri Lamouchi. Taarifa hizo zinakuja baada ya Tunisia kupoteza mchezo...

Irankunda: Kutoka kambi ya wakimbizi Tanzania hadi rekodi Kombe la Dunia

TORONTO, Canada WAKATI huu fainali za Kombe la Dunia zikiendelea Marekani, Mexico na Canada, jina la kinda Nestory Irankunda limeandika historia mpya katika michuano hiyo. Ni...

Kiboko ya Wabrazil anayezitoa udenda Arsenal, Liverpool

TORONTO, Canada KATIKA mchezo uliomalizika kwa sare ya bao 1-1 kati ya timu ya soka ya Taifa ya Brazil na Morocco, kinda Ayyoub Bouaddi alikuwa...

Vikosi vya Kombe la Dunia 2026: ARGENTINA

LONDON, Uingereza MATAIFA 48 ndani ya fainali za Kombe la Dunia zinazoendelea tangu Juni 11 - Julai 19, 2026 huko Marekani, Mexico na Canada. Kuelekea michuano...

Takwimu zinaongea: Brazil v Morocco

NEW YORK, Marekani MECHI ya kwanza kwa timu hizo za Kundi C msimu huu wa fainali za Kombe la Dunia. Itachezwa usiku wa kuamkia kesho...

Marekani waanza kibabe, bao lao lavunja rekodi ya miaka 20

LOS ANGELES, Marekani TIMU ya soka ya Taifa ya Marekani imeanza na ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Paraguay katika mechi ya Kundi D msimu...

Partey azuiwa kuingia Canada, kukosa mechi ya kwanza ya Ghana

TORONTO, Canada KIUNGO Thomas Partey atakosekana wakati timu ya Taifa ya Ghana itakapocheza mechi ya kwanza ya msimu huu wa Kombe la Dunia. Ni baada ya...

Recent articles