MUNICH, Ujerumani
WINGA wa Bayern Munich, Michael Olise, amesema kwa sasa timu ya Taifa ya Ureno haimtegemei nahodha wake, Cristiano Ronaldo.
Na badala yake, Olise raia...
NYON, Uswis
HIVI unafahamu kuwa zimeshafungwa 'hat-trick' 54 katika historia ya michuano ya soka ya Kombe la Dunia kwa wanaume tangu ilipoanza mwaka 1930?
Chukua hiyo....
LONDON, Uingereza
WAKATI kocha wa timu ya soka ya Taifa ya Brazil, Carlo Ancelotti, alipotangaza kikosi kitakachokwenda kwenye fainali za Kombe la Dunia za mwaka...
WASHINGTON DC, Marekani
TAARIFA kutoka Ikulu ya Marekani imeeleza kuwa wachezaji wa timu ya soka ya Taifa ya DRC watatakiwa kukaa karantini kwa siku 21...
LONDON, Uingereza
KOCHA wa timu ya soka ya Taifa ya England 'Three Lions', Thomas Tuchel, ameshatangaza kikosi chake kitakachoshiriki fainali za Kombe la Dunia za...
MILAN, Italia
MABINGWA mara nne wa Kombe la Dunia, timu ya taifa ya Italia, imeshindwa kufuzu fainali za mwaka huu zitakazofanyika Marekani, Canada na Mexico.
Hii...
PARIS, Ufaransa
INAELEZWA kuwa Zinedine Zidane 'Zizou' amefikia makubaliano ya kuinoa timu ya taifa ya Ufaransa na ataanza kazi hiyo baada ya fainali za Kombe...