MONTEVIDEO, UruguayKUELEKEA fainali za Kombe la Dunia za mwakani, Uruguay inashika nafasi ya 16 katika viwango vya ubora vya Shirikisho la Soka la Kimataifa...
ASUNCION, ParaguayIFAHAMIKE kuwa Paraguay wanashika nafasi ya 39 katika viwango vya ubora vya Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA). Walikuwa nafasi ya nane mwaka...
BOGOTA, ColombiaNAFASI ya 13 katika viwango vya ubora wa soka duniani. Mwaka 2016, Colombia ilipiga hatua kubwa zaidi kwa kushika nafasi ya tatu.'La Tricolor'...
RIO, BrazilNAFASI ya tano katika viwango vya ubora wa soka duniani. Brazil waliwahi kushika nafasi ya kwanza mwaka 2023.Brazil, maarufu kwa jina la 'Selecao'...
WELLINGTON, New ZealandTAIFA hilo la Ulaya linashika nafasi ya 86 katika viwango vya ubora vya Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA).'All Whites' watashiriki fainali...
BERN, UswisMWAKA 1993, Uswis ilikuwa moja ya mataifa makubwa katika ulimwengu wa soka, ambapo ilishika nafasi ya tatu kwenye viwango vya ubora. Kwa sasa,...
MADRID, HispaniaTAIFA linaloshika nafasi ya kwanza katika viwango vya ubora wa soka duniani. Timu yao ya taifa pia inafahamika kwa jina la 'La Furia...
GLASGOW, ScotlandMWAKA 2007, Scotland ilipanda kwenye viwango vya ubora wa soka duniani na kushika nafasi ya 13. Kwa sasa, iko nafasi ya 36.Timu yake...
PORTO, UrenoKWA mujibu wake, fainali za Kombe la Dunia za mwakani zitakuwa za mwisho kwake, kisha atatundika daluga. Huyo ni Cristiano Ronaldo.Ureno inakwenda kwenye...
OSLO, NorwayKWA mara ya kwanza katika historia ya Kombe la Dunia, mashabiki wa soka watamshuhudia straika wa viwango, Erling Haaland, akicheza michuano hiyo.Norway imefuzu...
MUNICH, UjerumaniIKIWA nafasi ya tisa katika viwango vya ubora wa soka duniani, Ujerumani ni sehemu ya mataifa 48 yatakayoshiriki fainali zijazo za Kombe la...