27.2 C
Dar es Salaam

Michezo

Makocha hawa kiboko kwa kadi nyekundu

LONDON, UingerezaWAKATI mwingine, makocha wamejikuta wakizidiwa na presha ya kile kinachoendelea uwanjani na mwishowe kuadhibiwa kwa kadi nyekundu.Ni kama ilivyotokea kwa makocha hawa, ambao...

Simulizi (2): Taribo West; Kutoka kutumia ‘hirizi’ uwanjani hadi uchungaji kanisani

Na mwandishi wetu, GazetiniKATIKA ulimwengu wa soka, wachezaji wengi wanatufundisha kuhusu maadili, juhudi, na vipaji vya ajabu. Lakini kwa Taribo West, nyota wa zamani...

Simulizi (1): Patrick Kluivert; Aliua lakini familia ya marehemu ikamtetea asifungwe

Na mwandishi wetu, GazetiniPATRICK Kluivert, mzaliwa wa Jiji la Ajax, Uholanzi, alikulia katika familia ya wapenzi wa soka. Baba yake alicheza, ingawa hakufanikiwa kuwa...

Safari ya Patrick Kluivert; soka, makosa na mafanikio

Na Mwandishi Wetu, Gazetini PATRICK Kluivert, mzaliwa wa jiji la Amsterdam nchini Uholanzi, alikulia katika familia yenye mapenzi makubwa kwa mchezo wa soka. Baba yake...

Miquissone aibipu Simba, atayaweza?

Na Winfrida Mtoi, Gazetini BAADA ya Simba kupoteza mchezo wa kwanza wa hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika, winga wa zamani wa timu hiyo...

Makocha wazawa Afrika watakaotamba Kombe la Dunia 2026

CAIRO, MisriKWA mara ya kwanza katika historia ya Kombe la Dunia, fainali za mwakani zitazihuhudia timu nyingi za Afrika zikiwa chini ya makocha wazawa.Kati...

Antoine Semenyo; Mkali wa mabao anayegombewa Ligi Kuu ya England

LONDON, UingerezaWINGA wa Bournemouth raia wa Ghana, Antoine Semenyo, atauzwa endapo tu klabu zinazomtaka zitaweka mezani kitita cha Pauni milioni 65.Semenyo (25), alikuwa kwenye...

Casemiro aombwa kupunguza mshahara United

MANCHESTER. UingerezaMABOSI wa Manchester United wameanza harakati za kumshawishi kiungo wake, Casemiro, asaini mkataba mpya klabuni hapo.Hata hivyo, ushawishi huo unaenda sambamba na mabosi...

Konate kulamba mkataba mpya Liverpool

MERSEYSIDE, UingerezaMABOSI wa Liverpool wamempa ofa ya mkataba mpya beki wake wa kati raia wa Ufaransa, Ibrahima Konate.Hatua hiyo ya Liverpool inakuja wakati huu...

Bellingham aiokoa Madrid, yarudi kileleni

MADRID, HispaniaUSIKU wa kuamkia leo, kiungo wa Real Madrid, Jude Bellingham, alifunga bao moja na kutoa 'asisti' katika mchezo dhidi ya Elche.Mchezo huo wa...

Simba hoi kwa Mkapa, Azam nayo mambo magumu

Na Winfrida Mtoi, Gazetini SIMBA imeshindwa kutamba nyumbani baada ya kufungwa na Petro de Luanda bao 1-0 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, jijjni Dar es...

Kuelekea Kombe la Dunia 2026: Ivory Coast (42)

ABIDJAN, Ivory CoastTAIFA hilo la Afrika ya Magharibi linashika nafasi ya 42 katika viwango vya ubora wa soka duniani. Ivory Coast iliwahi kuwa ya...

Recent articles

spot_img