MIAMI, MarekaniKUWEKA na kuvunja rekodi si jambo geni kwa Lionel Messi. Amefanya hivyo kwa miaka mingi, tangu akiwa Barcelona, hadi alipokuwa PSG, na sasa...
MERSEYSIDE, EnglandLIVERPOOL imepoteza mechi sita kati ya saba za Ligi Kuu ya England (EPL) ilizocheza hivi karibuni. Mwenendo huo umeibua presha kubwa kwa kocha...
MADRID, HispaniaTANGU alipoajiriwa kuchukua mikoba ya Carlo Ancelotti majira ya kiangazi, mwaka huu, kocha Xabi Alonso amekuwa akitajwa kuingia kwenye uhusiano mbaya na staa...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limeufungia Uwanja wa Mkwakwani, Tanga kutumika kwa michezo ya Ligi kwa kukosa vigezo vya kikanuni na...
Na Mwandishi Wetu,Gazetini
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetoa taarifa ya kuahirisha hafla ya utoaji tuzo za msimu wa 2024/25 ziliyopangwa kufanyika Desemba 5, 2025,...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
BONDIA Debora Mwenda maarufu Bondia Mrembo, ameahidi kuiwakilisha vizuri Tanzania dhidi ya Mariam Dick kutoka Malawi watakapokutana katika pambano la Box...
Na Winfrida Mtoi, Gazetini
CHUO cha Maendeleo ya Michezo Malya kinaendesha mafunzo maalum kwa wakufunzi wa gym na makocha wa viungo ili kuwaongezea ujuzi na...
Na Winfrida Mtoi, Gazetini
Jumla ya wanariadha wanawake 155, wanatarajiwa kushiriki katika msimu wa saba wa mashindano ya riadha maarufu 'Ladies First' yatakayofanyika kuanzia Novemba...
MUNICH, UjerumaniKWA miaka ya hivi karibuni, Ligi Kuu ya Ujerumani (Bundesliga) ni kama imepoteza ushawishi wake mbele ya Ligi Kuu ya England (EPL). Kivipi?Iko...
NAIROBI, KenyaKUNA uwezekano mkubwa wa 'derby' kubwa zaidi Ligi Kuu ya Kenya kati ya Gor Mahia na AFC Leopards ikapigwa kalenda kwa mara nyingine.'Mashemeji...
LONDON, UingerezaWAKATI Chelsea ikiitandika Barcelona mabao 3-0 katika mchezo wa usiku wa jana wa Ligi ya Mabingwa Ulaya, Estevao alikuwa mwiba mchungu kwa Wacatalunya...