LONDON, Uingereza
BEKI wa zamani wa Manchester United na timu ya Taifa ya Ufaransa, Patrice Evra, amesema Arsenal haina nafasi ya ubingwa msimu huu wa...
LONDON, Uingereza
VIGOGO wa Ligi Kuu ya England, Chelsea na Manchester United, wamejikuta kwenye njia moja wakiiwania saini ya mshambuliaji wa Borussia Dortmund, Karim Adeyemi.
Gazeti...
LONDON, Uingereza
KATIKA kipindi hiki ambacho Arsenal inapaswa kushinda mechi tano zilizobaki msimu huu wa Ligi Kuu ya England (EPL), nyota wake muhimu aliyekuwa majeruhi...
MANCHESTER, Uingereza
KLABU ya Manchester United itatangaza kumpa mkataba mpya nyota wake, Kobbie Mainoo, kabla ya msimu huu kumalizika.
Mainoo (21), alianza katika mchezo uliopita dhidi...
MERSEYSIDE, Uingereza
LIVERPOOL haina mpango wa kumfuta kazi kocha wake raia wa Uholanzi, Arne Slot, na badala yake atainoa timu hiyo msimu ujao.
Baada ya kuanza...
LONDON, Uingereza
KICHAPO cha mabao 2-1 kutoka kwa Manchester City kimeibua hofu kubwa kwa mashabiki wa Arsenal na sasa wanaiona hatari ya timu yao kuambulia...
Na Winfrida Mtoi
WADAU wa mchezo wa kuogelea nchini, wamefurahishwa na viwango vilivyooneshwa na watoto katika mashindano ya Afrika Mashariki, huku wakiomba serikali kuharakisha ujenzi...
Na Winfrida Mtoi
TANZANIA imethibishwa rasmi kuwa mwenyeji wa mashindano makubwa la urembo duniani ‘Miss World 2027’, huku Serikali ikisema imejipanga kuhakikisha linafanyika kwa mtindo...
Na Mwandishi Wetu
Mwanariadha nyota wa Tanzania, Sajinitaji Alphonce Simbu, ameendelea kufanya vizuri Boston Marathon baada ya kushika nafasi ya pili kwa mwaka wa pili...
MUNICH, Ujerumani
BAYERN Munich wameendeleza ubingwa wao Ligi Kuu ya Ujerumani (Bundesliga) baada ya kutwaa taji hilo kwa msimu wa pili mfululizo.
Bayern wamebaki na taji...
MANCHESTER, Uingereza
KLABU ya Manchester City inataka kuvunja rekodi ya usajili duniani wa mchezaji wa ulinzi kwa kumchukua staa wa Newcastle United, Tino Livramento.
Man City...
LONDON, Uingereza
KABLA ya mechi yao dhidi ya Manchester United kuanza, mashabiki wa Chelsea walionekana wakiandamana nje ya Uwanja wa Stamford Bridge wakishinikiza mabadiliko yanayoweza...