Na Hassan Mwasha, Gazetini
SIMBA ikiwa nafasi ya pili kwenye msimamo wa Ligi Kuu Bara, haipaswi kupoteza hata mchezo mmoja, huku ikiiombea dua mbaya Yanga...
Na Hassan Mwasha, Gazetini
MSIMU wa Ligi Kuu Bara unaelekea ukingoni, huku Yanga na Azam zikiwa ndizo timu pekee ambazo hadi sasa hazijafungwa katika mechi...
ISTANBUL, Uturuki
MKONGWE wa Inter Milan, Obinna Nsofor, amemshauri Mnigeria mwenzake, Victor Osimhen, kuondoka Galatasaray, akisema ameshafanya makubwa Ligi Kuu ya Uturuki (Super Lig).
Osimhen ameshinda...
Na Hassan Mwasha,Gazetini
KWA mashabiki wa soka wa Tanzania, macho na masikio yao yameelekezwa katika vita mbili kubwa. Ubingwa wa Ligi Kuu Bara na ile...
LONDON, Uingereza
BAADA ya Manchester City kuinyuka Manchester City mabao 3-0, sasa presha imerudi kwa Arsenal iliyoko kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu ya England...
LONDON, Uingereza
KABLA ya kuivaa West Ham katika mchezo uliopita, Arsenal ilitabiriwa ubingwa wa Ligi Kuu na aliyekuwa beki kisiki wa Liverpool, Jamie Carragher.
"Endapo Arsenal...