Ads: info@gazetini.co.tz |
23.4 C
Dar es Salaam

Michezo

‘Top 4’ ya Ligi Kuu Bara haigusiki

Na Hassan Mwasha, Gazetini MSIMU wa 2025-26 wa Ligi Kuu Bara uko ukingoni, huku timu nne za juu zikitarajiwa kubaki vilevile kama ilivyokuwa msimu uliopita...

Xhaka kutua Chelsea, Alonso abariki usajili wake

LONDON, Uingereza NAHODHA wa Sunderland na timu ya soka ya Taifa ya Uswis, Granit Xhaka, huenda akajiunga na Chelsea kupitia dirisha kubwa ma majira haya...

Aziz Ki, Okello, Pacome, Dube: Kombinesheni ya ‘asali na maziwa’ Yanga?

Na mwandishi wetu, Gazetini TETESI zimezidi kushika kasi juu ya uwezekano wa kiungo wa kimataifa wa Burkina Faso, Stephanie Aziz Ki, kurudi Yanga kwa ajili...

Kane mfalme mpya wa mabao England

TORONTO, Canada STRAIKA Harry Kane ameandika historia mpya baada ya kuwa mfungaji bora wa muda wote wa timu ya soka ya Taifa ya England katika...

TRA, JKT wana vita yao wenyewe Ligi Kuu Bara

Na Hassan Mwasha, Gazetini KAMA ilivyokuwa msimu uliopita (2024-25), safari hii TRA United na JKT zimerudi kwenye 'bato' yao ya Ligi Kuu Bara. Msimu uliopita, TRA...

Kumeanza kuchangamka! Hizi hapa mechi za 32 Bora Kombe la Dunia

MIAMI, Marekani MECHI za hatua ya 32 Bora msimu huu wa Kombe la Dunia zitaanza kuchezwa usiku wa leo Juni 28, 2026. Colombia baada ya kulazimisha...

Chiesa aambiwa aondoke Liverpool

MERSEYSIDE, Uingereza KLABU ya Liverpool imemwambia winga wake, Federico Chiesa, kwamba anaweza kuondoka majira haya ya kiangazi na kutafuta timu nyingine. 2025-26 ulikuwa msimu mbaya kwa...

Yanga, Simba zasubiriana kwenye kona ubingwa NBC

Na Hassan Mwasha, Gazetini SASA ni wazi Yanga na Simba zitasubiri hadi keshokutwa Juni 30, 2026, ili kujua utakakoelekea ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu...

Afrika siyo kinyonge safari hii Kombe la Dunia

MIAMI, Marekani MWAKA 2022, Morocco ilikuwa timu ya kwanza ya Afrika kufikia nusu fainali katika historia ya michuano ya Kombe la Dunia. Safari hii, kwa maana...

Fei Toto hatanii, atupia tena kubaki kileleni

NA Hassan Mwasha NI kama kiungo wa Azam, Feisal Salum 'Fei Toto', amepania kuondoka na kiatu cha ufungaji bora msimu huu wa 2025-26 wa Ligi...

Jordan wabahatika kupishana na Messi

MEXICO CITY, Mexico KOCHA wa timu ya soka ya Taifa ya Argentina, Lionel Scaloni, amethibitisha kuwa atampumzisha nahodha wake, Lionel Messi, katika mchezo wao dhidi...

Simba yajipigia Singida, Mpanzu afikisha ‘asisti’ 10

Na Hassan Mwasha, Gazetini SIMBA ikiwa nyumbani katika Uwanja wa Meja Jenerali Isamhuyo, imeondoka na pointi zote tatu baada ya ushindi wa mabao 2-0 dhidi...

Recent articles