Na Hassan Mwasha, Gazetini
MSIMU wa 2025-26 wa Ligi Kuu Bara uko ukingoni, huku timu nne za juu zikitarajiwa kubaki vilevile kama ilivyokuwa msimu uliopita...
LONDON, Uingereza
NAHODHA wa Sunderland na timu ya soka ya Taifa ya Uswis, Granit Xhaka, huenda akajiunga na Chelsea kupitia dirisha kubwa ma majira haya...
Na mwandishi wetu, Gazetini
TETESI zimezidi kushika kasi juu ya uwezekano wa kiungo wa kimataifa wa Burkina Faso, Stephanie Aziz Ki, kurudi Yanga kwa ajili...
Na Hassan Mwasha, Gazetini
KAMA ilivyokuwa msimu uliopita (2024-25), safari hii TRA United na JKT zimerudi kwenye 'bato' yao ya Ligi Kuu Bara.
Msimu uliopita, TRA...
MERSEYSIDE, Uingereza
KLABU ya Liverpool imemwambia winga wake, Federico Chiesa, kwamba anaweza kuondoka majira haya ya kiangazi na kutafuta timu nyingine.
2025-26 ulikuwa msimu mbaya kwa...
Na Hassan Mwasha, Gazetini
SASA ni wazi Yanga na Simba zitasubiri hadi keshokutwa Juni 30, 2026, ili kujua utakakoelekea ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu...
MIAMI, Marekani
MWAKA 2022, Morocco ilikuwa timu ya kwanza ya Afrika kufikia nusu fainali katika historia ya michuano ya Kombe la Dunia.
Safari hii, kwa maana...
MEXICO CITY, Mexico
KOCHA wa timu ya soka ya Taifa ya Argentina, Lionel Scaloni, amethibitisha kuwa atampumzisha nahodha wake, Lionel Messi, katika mchezo wao dhidi...
Na Hassan Mwasha, Gazetini
SIMBA ikiwa nyumbani katika Uwanja wa Meja Jenerali Isamhuyo, imeondoka na pointi zote tatu baada ya ushindi wa mabao 2-0 dhidi...