Ads: info@gazetini.co.tz |
25.3 C
Dar es Salaam

Michezo

Chelsea na mkosi wa jezi namba 9

LONDON, Uingereza ILIMCHUKUA sekunde 31 pekee straika wa Kibrazil, Joao Pedro, kuifungia bao Chelsea katika ushindi wa 3-2 dhidi ya Fulham, mchezo wa Ligi Kuu...

Xavi Hernandez kurejesha heshima ya Uholanzi?

ZEIST, Uholanzi KIUNGO na kocha wa zamani wa Barcelona, Xavi Hernandez, ndiye aliyekabidhiwa benchi la ufundi kwa ajili ya kuinoa timu ya soka ya Taifa...

Man United yamnasa Baleba

MANCHESTER, Uingereza KLABU ya Manchester United imekamilisha usajili wa kiungo wa kimataifa wa Cameroon, Carlos Baleba baada ya kukubali ada ya Pauni milioni 70. Kwa mujibu...

Sakata la Julian Alvarez kutua Arsenal, Barcelona

MADRID, Hispania MWANASOKA raia wa Argentina anayecheza eneo la ushambuliaji, Julian Alvarez, alijiunga na Atletico Madrid mwaka 2024 akitokea Manchester City na usajili wake uligharimu...

Rio: Arteta anabeba tena EPL

LONDON, Uingereza BEKI wa zamani wa Manchester United, Rio Ferdinand, amemtabiria kocha wa Arsenal, Mikel Arteta, kutwaa tena taji la Ligi Kuu ya England (EPL)...

Yanga yaipigisha kwata JKT, yaitandika ‘4G’

Na mwandishi wetu, Gazetini USHINDI wa tatu mfululizo. Yanga imeibuka na ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya JKT Tanzania katika mchezo wa leo Agosti 24,...

Maxi Nzengeli ndiye ‘x-factor’ Yanga

Na Hassan Mwasha, Gazetini KWA miaka mitatu mfululizo tangu aliposajiliwa mwaka 2023, amekuwa kwenye kiwango kile kile kutoka mechi moja hadi nyingine. Na inapotokea siku...

Salah kazi imeanza, atupia mawili Uturuki

ISTANBUL, Uturuki MSHAMBULIAJI wa zamani wa Liverpool, Mohamed Salah, amefunga mabao mawili katika mechi yake ya kwanza aliyoingia 'first eleven' akiwa na timu yake mpya...

Fernandes acharuka kisa kipigo

MANCHESTER, Uingereza NAHODHA wa Manchester United, Bruno Fernandes, amewajia juu wachezaji wenzake akisema kupoteza hovyo mipira kulisababisha timu hiyo kufungwa mabao 2-0 na Hull City. Timu...

Messi atozwa faini kwa kumpiga mtu kofi

MIAMI, Marekani SUPASTAA wa Inter Miami, Lionel Messi, ametozwa faini kwa kosa la kumpiga kofi nyota wa Philadelphia Union, Quinn Sullivan. Mbali na Messi, Ian Fray...

Infantino aambiwa akae mbali na watoto

NYON, Uswis RAIS wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), Gianni Infantino, ametakiwa kutokuhudhuria michuano ya soka ya U-14 inayofanyika nchini Jamhuri ya Dominica. Ushauri huo...

Goretzka anukia Aston Villa

LONDON, Uingereza KLABU ya Aston Villa iko kwenye hatua za mwisho za kukamilisha usajili wa kiungo aliyeondoka Bayern Munich raia wa Ujerumani, Leon Goretzka. Goretzka anapatikana...

Recent articles