Ads: info@gazetini.co.tz |
30.2 C
Dar es Salaam

Michezo

TRA United wao hata sare ‘freshi’ tu

Na Hassan Mwasha, Gazetini SIKIA hii! Usichokijua ni kwamba TRA United ya mkoani Tabora ndiyo timu inayoongoza kwa idadi kubwa ya sare kufikia hatua hii...

Hizi hazijaonja ushindi msimu huu Ligi Kuu Bara

Na Hassan Mwasha, Gazetini MAMBO magumu! Kagera Sugar na Pamba Jiji ndizo timu mbili pekee ambazo hadi kufikia hatua hii hazibahatika kupata ushindi, licha ya...

Pamba Jiji, Namungo kiboko kwa kugawa pointi

Na Hassan Mwasha, Gazetini HOI kabisa! Kufikia hatua hii ya msimu wa 2026-27 wa Ligi Kuu Bara, Pamba Jiji na Namungo ndizo zinazoongoza kwa kufungwa...

Mabao 127 yamefungwa Ligi Kuu Bara 2026-27

Na Hassan Mwasha, Gazetini MWENDO wa mabao tu! Kwa sasa ni mapumziko ya kupisha kalenda ya FIFA na kufikia hatua hii tayari mechi 98...

Yanga nyumbani, Simba wao ugenini

Na mwandishi wetu, Gazetini KILA mtu ashinde zake! Katika mechi nne walizocheza wakiwa nyumbani msimu huu wa Ligi Kuu Bara, mabingwa watetezi, Yanga, wameshinda zote,...

Timu hizi ‘ukuta’ mbovu Ligi Kuu Bara 2026-27

Na Hassan Mwasha, Gazetini KAZI ipo! Kagera Sugar ndiyo timu iliyoruhusu mabao mengi hadi sasa, ikiwa imecheza mechi sita msimu huu wa Ligi Kuu Bara...

Manqoba ‘atapindua meza’ kubaki Yanga?

Na Hassan Mwasha, Gazetini KWA upande wa matokeo, ni ngumu kukubaliana na wanaomkosoa. Ameshinda mechi zote sita kwenye Ligi Kuu msimu huu wa 2026-27. Hajafungwa...

Carrick afunguka kufukuzwa Man United

MANCHESTER, Uingereza KOCHA wa Manchester United, Michael Carrick, amefunguka juu ya tetesi zinazodai kuwa mabosi wa klabu hiyo watamfungashia virago. Taarifa zilizopo, ambazo hata hivyo hazijathibitishwa...

Marcelo: Ronaldo noma kuliko Messi

RIO, Brazil MKONGWE wa soka la Brazil, Marcelo, amemchagua tena Cristiano Ronaldo alipoulizwa ni nani mkali wa muda wote kati ya Mreno huyo na Lionel...

Mbappe awataja ‘CR7’, Zidane

MADRID, Hispania STAA wa Real Madrid, Kylian Mbappe, amesema Cristiano Ronaldo 'CR7', Zinedine Zidane na Ronaldo Nazario ni wachezaji ambao angeweza kuwasajili hata leo hii. Nyota...

Arteta hajui hatima yake Arsenal

LONDON, Uingereza KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta, amedai kuwa hajui lolote kuhusu kusaini mkataba mpya klabuni hapo. Arteta raia wa Hispania aliyewahi kucheza eneo la kiungo...

De Jong fiti kuivaa Getafe

CATALUNYA, Hispania KOCHA wa Barcelona, Hansi Flick, amefichua kuwa kiungo wake, Frenkie de Jong, atakuwa fiti wiki chache zijazo. Flick amezungumzia hayo kuelekea mchezo wao wa...

Recent articles