Ads: info@gazetini.co.tz |
20.2 C
Dar es Salaam

Makala

BoT yawataka wasanii kuwa mabalozi wa elimu ya fedha

Na Esther Mnyika, Gazetini BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imewataka wasanii, waandaaji wa burudani, watayarishaji wa maudhui na wadau wengine wenye ushawishi kwa jamii kutumia...

Utata wa kifo, uhai wa Mojtaba Khamenei

TEHRAN, Iran NI miezi sita sasa tangu Mojtaba Khamenei alipoteuliwa kuwa kiongozi mpya wa Iran baada ya baba yake kuuawa katika shambulizi la kwanza lililofanywa...

Mambo 5 kuhusu vita vya Iran, Marekani

WASHINGTON DC, Marekani IKIWA ni miezi sita imepita tangu vilipoanza vita kati ya Iran na Marekani inayoshirikiana na Israel, mambo yamezidi kuwa magumu kwa pande...

Mwandishi aliyemfuata mafichoni Osama bin Laden (3)

Na mwandishi wetu, Gazetini KATIKA sehemu ya pili ya makala haya, tuliona Osama akihojiwa na Miller akieleza chanzo cha uhusiano wake mbaya na Marekani, ambapo...

Mwandishi aliyemfuata mafichoni Osama bin Laden (2)

Na mwandishi wetu, Gazetini KATIKA sehemu ya kwanza, tuliona mwandishi wa habari wa Marekani, Miller, akimuuliza Osama kilichomsukuma kuacha utajiri wake na kuingia kwenye uwanja...

Mwandishi aliyemfuata mafichoni Osama bin Laden (1)

Na mwandishi wetu, Gazetini MWANDISHI wa habari wa kituo cha televisheni cha ABC cha Marekani, John Miller, anasimulia mahojiano aliyofanya Mei, 1998, na aliyekuwa kiongozi...

Marais ‘wazee’ waliogoma kuachia madaraka Afrika

Na mwandishi wetu, Gazetini PAUL Biya wa Cameroon ana umri wa miaka 93. Amekuwa Ikulu tangu mwaka 1982 na sasa anatumikia muhula wake wa nane...

Aziz Ki, Mobetto kama mastaa hawa tu

Na Hassan Mwasha, Gazetini MOJA ya ‘kapo’ zenye nguvu na ushawishi mkubwa mitandaoni ni hii ya kiungo wa Yanga raia wa Burkina Faso, Stephanie Aziz...

Safari ngumu ya maisha ya bilionea Cherng

CALIFORNIA, Marekani UNAMFAHAMU Andrew Cherng? Ndiye mmiki wa kampuni maarufu ya Panda Express, ambayo ina migahawa yake mingi katika maeneo mbalimbali duniani. Kwa sasa, Cherng...

Mkataba wa mafuta na Marekani; faida au hasara kwa Venezuela?

WASHINGTON DC, Marekani MAREKANI imeuita kuwa ni ‘mkataba bora zaidi wa mafuta katika historia ya dunia’. Ni mkataba unaoipa Marekani sehemu ya akiba ya mafuta...

Kwanini bado Afrika inaagiza vyakula kutoka nje?

CAIRO, Misri AFRIKA hutumia zaidi ya Dola za Marekani bilioni 100 kila mwaka kuagiza vyakula kutoka nje, huku wataalamu wakihimiza juhudi za makusudi za kupunguza...

Kesi ya uhaini inavyowatesa wanasiasa wa upinzani Afrika

LUSAKA, Zambia KIONGOZI wa siasa za upinzani nchini Zambia, Brian Mundubile, na mgombea mwenzake wake katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika hivi karibuni, Makebi Zulu, wameshikiliwa na...

Recent articles