Ads: info@gazetini.co.tz |
23.6 C
Dar es Salaam

Makala

Matajiri wa Katoro walivyolisimamisha Jiji

Na Hassan Mwasha VIDEO iliyosambaa mitandaoni ikiwaonesha wafanyabishara matajiri kutoka wilayani Katoro mkoani Geita wakimwaga pesa katika sherehe 'ime-trend' hivi karibuni kwenye tasnia ya burudani...

Mwalimu, mwanafunzi wake walipokutana fainali Kombe la Dunia

MIAMI, Marekani SAHAU kabisa kuhusu matokeo. Fainali ya Kombe la Dunia iliyochezwa jana iliwakutanisha makocha wawili, Luis de la Fuente wa Hispania na Lionel Scaloni...

Adidas ilivyopiga bao Kombe la Dunia

Miami, Marekani KAMPUNI ya utengenezaji na usambazaji wa vifaa vya michezo ya Adidas ndiyo iliyoongoza kwa kuhudumia timu nyingi wakati wa fainali za Kombe la...

Timu zilizopigwa marufuku kucheza Kombe la Dunia

NYON, Uswis ZIPO sababu kuu tatu zinazoweza kuisukuma FIFA (Shirikisho la Soka la Kimataifa) kuipiga 'stop' timu ya taifa iliyo sehemu ya wanachama wake kushiriki...

Safari ya Argentina kutinga fainali

MIAMI, Argentina ARGENTINA ya kocha Lionel Scaloni itaingia katika mchezo huo wa fainali dhidi ya Hispania ikiwa bingwa mtetezi kwa taji lake la miaka minne...

Huyu hapa refa wa fainali Kombe la Dunia

MIAMI, Marekani  ANAITWA Slavko Vincic, mwamuzi wa kati aliyeteuliwa na Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) kucheza mechi ya fainali msimu huu wa Kombe la...

Mechi 10 za kiume Kombe la Dunia 2026

BOSTON, Marekani MSIMU huu wa Kombe la Dunia unaelekea ukingoni. Fainali itachezwa kesho Jumapili, Julai 19, 2026, katika Uwanja wa MetLife nchini Marekani, ikizikutanisha Argentina...

Wananchi wengi wanaisikia Dira 2050, lakini…

Na mwandishi wetu, Gazetini Licha ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 kuendelea kujadiliwa katika ngazi mbalimbali, bado wananchi wengi hawajaielewa kwa kina, jambo linaloonyesha...

BoT inavyolinda mfumo wa fedha dhidi ya utakatishaji

Na Esther Mnyika, Gazetini MFUMO wa fedha ulio salama na unaoaminika ni nguzo muhimu ya ukuaji wa uchumi na kuvutia uwekezaji. Hata hivyo, mafanikio hayo...

Ajali ya basi yaua wanafunzi 20, mmiliki wa shule 

KAMPALA, Uganda AJALI ya basi la shule imesababisha vifo vya wanafunzi 20, pamoja na mtu mzima mmoja, katika eneo la Kapchorwa, Mashariki mwa Uganda. Taarifa ya polisi imeeleza...

Mwandishi mkongwe zaidi Kombe la Dunia 2026

MIAMI, Marekani AKIWA na umri wa miaka 91 kwa sasa, Enrique Macaya Marquez ni miongoni mwa waandishi wa habari walioko Marekani wakisubiri kuripoti mechi ya...

England ya makocha 15 ‘haijatoboa’ Kombe la Dunia

MIAMI, Marekani  LICHA ya matumaini makubwa waliyokuwa nayo, mashabiki wa timu ya soka ya Taifa ya England wamelikosa tena taji la fainali za Kombe la...

Recent articles