30.2 C
Dar es Salaam

Makala

Maajabu ya kitabu cha ‘Istilahi za Uhalifu na Usalama’

Na Christopher Cyrillo FIKIRIA wewe ni mtumishi wa taasisi au mamlaka fulani ya kisiasa, na zaidi ya hapo wewe ni shushushu wa kuaminiwa na taasisi...

Kanisa Katoliki Tanzania na historia ya majina ya maaskofu wake

Na Malisa GJ KATIKA historia ya Kanisa Katoliki nchini Tanzania kumekuwa na Maaskofu Wakuu watatu (Archbishops) wenye jina Rugambwa. Wawili kati yao wakiwa Makardinali na...

Yanga v Simba; ‘Kariakoo Derby’ ya maswali mengi ndani ya uwanja

Na mwandishi wetu, Gazetini YANGA itakuwa mwenyeji wa mchezo kuwakaribisha wapinzani wao, Simba, katika dakika 90 za mtoto, ukiwa ni mwendelezo wa Ligi Kuu Bara...

Ni kweli wahitimu vyuo vikuu hawaajiriki?

Na mwandishi wetu, Gazetini SUALA la kupata nafasi ya ajira baada tu ya kumaliza masomo limekuwa 'pasua kichwa' kwa wahitimu wengi wa vyuo vikuu. Si...

‘Nyuma ya ushirikiana’, Chief Godlove ni kitabu kizuri kukisoma

Na mwandishi wetu, Gazetini KWA wapenzi wa mitandao ya kijamii, hasa 'walevi' wa habari za burudani, Chief Godlove si jina geni masikioni na machoni mwao. Ni...

Buba Jammeh; Ukiweka kushoto sawa, kulia anakumaliza kabisa!

Na mwandishi wetu, Gazetini NDIYE aliyefunga mabao yote katika ushindi wa 2-0 walioupata Yanga 'Timu ya Wananchi' katika mchezo uliopita dhidi ya Cosmo Politan. Ulikuwa ni...

Maktaba| Kiti kilivyosababisha ‘bifu’ la Henry, Nasri

Na mwandishi wetu, Gazetini MAKTABA ni safu mpya itakayokuwa ikikujia kupitia hapa GAZETINI, ikilenga kukupa simulizi za mikasa ya ndani na nje ya uwanja ya...

Utafiti: Sekta ya elimu bado janga Afrika

Na mwandishi wetu, Gazetini UTAFITI wa Taasisi ya Afrobarometer Pan-Africa umezitaka Serikali barani Afrika kuwekeza jitihada za kutosha katika elimu, ukiitaja sekta hiyo kuwa ni...

Mambo 10 kuhusu Mwezi Mtukufu wa Ramadhan

Na mwandishi wetu, Gazetini WAUMINI wa Dini ya Uislam duniani kote wanakaribia kuingia kwenye ibada ya Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan. Ni ibada ya siku...

Simu, ‘laptop’ zinavyohatarisha maisha yako

Na mwandishi wetu, Gazetini HIVI unafahamu kuwa betri zinazotumika katika simu au kompyuta-mpakato (laptop), ambazo kwa lugha ya Kiingereza hufahamika kwa jina la 'rechargeable batteries',...

Davido; ‘Mtoto wa kishua’ aliyeacha shule kisa muziki

LAGOS, Nigeria JINA alilopewa na wazazi wake ni David Adedeji Adeleke, ingawa mashabiki wa sanaa ya muziki wanamfahamu kwa jina la Davido. Tofauti na wanamuziki wengi,...

‘Machaka’ 6 ya Ronaldo akiondoka Saudia

RIYADH, Saudi Arabia LICHA ya mkataba wake kumalizika mwaka 2027, huenda Cristiano Ronaldo akaondoka Al-Nassr mwishoni mwa msimu huu wa 2025-26. Taarifa zilizopo zinadai kuwa nahodha...

Recent articles

spot_img