Ads: info@gazetini.co.tz |
23.1 C
Dar es Salaam

Makala

Nani anayezalisha ‘wanyonge’ wanaomsumbua Waziri Mkuu?

Na Hassan Mwasha, Gazetini NIMEKUWA nikifuatilia kwa karibu ziara za Waziri Mkuu wa Serikali ya Awamu ya Sita ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt....

Michel Soro: Bondia aliyemnyima Mwakinyo ubingwa wa IBO

Na mwandishi wetu, Gazetini AKIWA ugenini nchini Ivory Coast, bondia wa uzito wa Middle nchini, Hassan Mwakinyo, alishindwa kutwaa ubingwa wa dunia wa IBO baada...

Shakira na mkasa wa kudaiwa na ‘ex’ wake bil. 263/-

BOGOTA, Colombia JINA la Shakira si geni kwa wapenzi wa muziki duniani. Ni mrembo mzaliwa wa Colombia, ambaye hivi karibuni alitumbuiza katika hafla ya ufunguzi...

Chris Brown: Bishoo, tajiri asiyekauka mikononi mwa polisi

LOS ANGELES, Marekani PESA siyo tatizo. Kwa miaka aliyofanya kazi ya muziki, Chris Brown ameweza kujikusanyia utajiri wa Dola za Marekani milioni 50, huku vyanzo...

Dunia haijasahau urafiki, uadui wa Dr. Dre, Eazy E

LOS ANGELES, Marekani MOJA ya makundi yaliyoacha katika mapinduzi ya muziki wa Hip hop nchini Marekani na duniani kwa ujumla ni N.W.A lililoasisiwa mwishoni mwa...

Hii ndiyo ICD, mashine ya moyo anayovaa Eriksen akiwa uwanjani

LONDON, Uingereza TANGU alipoanguka uwanjani wakati wa fainali za EURO 2020, straika wa timu ya Taifa ya Denmark, Christian Eriksen, amekuwa akivaa kifaa maalumu cha...

Uholanzi ilivyofanikiwa mfumo wa elimu, ajira kwa vijana

AMSTERDAM, Uholanzi KWA mujibu wa sheria za Uholanzi, ni lazima kwa watoto wenye umri kati ya miaka mitano hadi 16 kuwa shuleni. Pia, ni lazima...

Safari hii makipa wajipange Kombe la Dunia 2026

NEW YORK, Marekani MSIMU uliopita wa fainali za Kombe la Dunia za mwaka 2022 zilizofanyika Qatar, Kylian Mbappe ndiye aliyeibuka mfungaji bora, licha ya timu...

Walitamba lakini walistaafu bila kutia mguu Kombe la Dunia

LONDON, Uingereza KOMBE la Dunia ni michuano mikubwa zaidi katika mchezo wa soka, hivyo ni ndoto ya kila mchezaji kucheza mashindano hayo ya Shirikisho la...

Soma hii kuhusu Hungary na Kombe la Dunia

BUDAPEST, Hungry HIVI unafahamu kuwa hakuna timu ya soka ya taifa yenye wastani mzuri wa mabao ya kufunga kuliko Hungary katika historia ya fainali za...

Maisha ya Diddy gerezani yanasikitisha, rufaa bado kizungumkuti

LOS ANGELES, Marekani TIMU ya mawakili wa Sean Combs 'Diddy' inapambana kupinga hukumu aliyopewa rapa huyo anayeendelea kusota gerezani tangu Oktoba, 2025, akitumikia kifungo cha...

Andoni Iraola kuepuka ‘jehanamu’ ya makocha wa vigogo EPL?

LONDON, Uingereza MIAKA ya hivi karibuni imewashuhudia makocha waliokabidhiwa mikoba ya kuzinoa timu kubwa za Ligi Kuu ya England (EPL) wakipitia nyakati ngumu, wengi wakishindwa...

Recent articles