Na Malisa GJ
KATIKA historia ya Kanisa Katoliki nchini Tanzania kumekuwa na Maaskofu Wakuu watatu (Archbishops) wenye jina Rugambwa. Wawili kati yao wakiwa Makardinali na...
Na mwandishi wetu, Gazetini
YANGA itakuwa mwenyeji wa mchezo kuwakaribisha wapinzani wao, Simba, katika dakika 90 za mtoto, ukiwa ni mwendelezo wa Ligi Kuu Bara...
Na mwandishi wetu, Gazetini
SUALA la kupata nafasi ya ajira baada tu ya kumaliza masomo limekuwa 'pasua kichwa' kwa wahitimu wengi wa vyuo vikuu. Si...
Na mwandishi wetu, Gazetini
KWA wapenzi wa mitandao ya kijamii, hasa 'walevi' wa habari za burudani, Chief Godlove si jina geni masikioni na machoni mwao.
Ni...
Na mwandishi wetu, Gazetini
NDIYE aliyefunga mabao yote katika ushindi wa 2-0 walioupata Yanga 'Timu ya Wananchi' katika mchezo uliopita dhidi ya Cosmo Politan.
Ulikuwa ni...
Na mwandishi wetu, Gazetini
MAKTABA ni safu mpya itakayokuwa ikikujia kupitia hapa GAZETINI, ikilenga kukupa simulizi za mikasa ya ndani na nje ya uwanja ya...
Na mwandishi wetu, Gazetini
UTAFITI wa Taasisi ya Afrobarometer Pan-Africa umezitaka Serikali barani Afrika kuwekeza jitihada za kutosha katika elimu, ukiitaja sekta hiyo kuwa ni...
Na mwandishi wetu, Gazetini
WAUMINI wa Dini ya Uislam duniani kote wanakaribia kuingia kwenye ibada ya Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan.
Ni ibada ya siku...
Na mwandishi wetu, Gazetini
HIVI unafahamu kuwa betri zinazotumika katika simu au kompyuta-mpakato (laptop), ambazo kwa lugha ya Kiingereza hufahamika kwa jina la 'rechargeable batteries',...
LAGOS, Nigeria
JINA alilopewa na wazazi wake ni David Adedeji Adeleke, ingawa mashabiki wa sanaa ya muziki wanamfahamu kwa jina la Davido.
Tofauti na wanamuziki wengi,...
RIYADH, Saudi Arabia
LICHA ya mkataba wake kumalizika mwaka 2027, huenda Cristiano Ronaldo akaondoka Al-Nassr mwishoni mwa msimu huu wa 2025-26.
Taarifa zilizopo zinadai kuwa nahodha...