Ads: info@gazetini.co.tz |
24.1 C
Dar es Salaam

Makala

Carrick, Man United na safari ya matumaini 2025-26

MANCHESTER, Uingereza RUBEN Amorim alitimuliwa kwenye benchi Januari, 2026, na nafasi yake kuchukuliwa na kocha Michael Carrick, ambaye ameiwezesha Manchester United kurejea Ligi ya Mabingwa. Ni...

Eminem; Kutoka maisha magumu mtaani hadi ustaa

LOS ANGELES, Marekani ANAITWA Marshall Bruce Mathers III lakini mashabiki wake wanamfahamu kwa jina la Eminem, ambaye ni mmoja ya mastaa wakubwa na wa muda...

Siku 365 zilivyohitimisha kibarua cha Arne Slot

MERSEYSIDE, England LIVERPOOL wametangaza kumfuata kazi kocha wao raia wa Uholanzi, Arne Slot. Ametimuliwa leo Mei 30, 2026, zikiwa ni siku 365 tangu alipoajiriwa. "Klabu ya...

Historia inavyomuuliza maswali Mchungaji Msigwa

Na Hassan Mwasha, Gazetini KUONDOKA Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) haikutosha kwa Mchungaji Peter Msigwa. Akahamia kwa washindani wao wakubwa katika siasa za Tanzania,...

Nje ya soka, hii hapa ‘pisi kali’ ya Mikel Arteta

LONDON, Uingereza ACHANA na ndani ya uwanja, ambako tayari ameshaweka rekodi ya kuipa Arsenal taji la Ligi Kuu ya England (EPL) baada ya klabu hiyo...

Viongozi 16,000 wa elimu kunufaika na mafunzo ya uongozi

Na Mwandishi Wetu, Gazetini-Mwanza Serikali kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kwa kushirikiana na Ofisi ya Rais-TAMISEMI imezindua rasmi programu ya mafunzo ya uongozi...

Moto shule ya wasichana wasababisha vifo 16

GILGIL, Kenya MOTO ambao chanzo chake hakijafahamika umeripotiwa kusababisha vifo vya watu 16, wengi wao wakiwa ni wanafunzi, katika shule ya bweni ya Sekondari ya...

50 Cent, Diddy uadui wao tangu kitambo!

LOS ANGELES, Marekani SIO jambo geni kwamba mastaa wa Hip hop nchini Marekani, Curtis Jackson '50 Cent' na Sean Combs 'Diddy', wamekuwa kwenye uhusiano mbaya...

Uholanzi na ndoto isiyotimia Kombe la Dunia

AMSTERDAM, Uholanzi KWA Taifa kama Uholanzi, ambalo historia yake ya kuzalisha vipaji vikubwa vya soka inafahamika, inaweza kushangaza kuona haijwahi kutwaa ubingwa wa Kombe la...

Max Dowman: Kinda wa Arsenal aliyevunja rekodi kibao EPL

LONDON, Uingereza MSIMU wa 2025-26 haukuwa mzuri tu kwa Arsenal, bali pia umeacha alama kubwa katika safari ya soka la kulipwa ya kinda wao raia...

Ubabe wa Oleksandr Usyk: Miaka 16 bila kupigwa ulingoni

KYIV, Ukraine RAIA huyo wa Ukraine kwa sasa ni tishio kwenye tasnia ya ngumi za uzito wa juu duniani na atapanda ulingoni kesho Mei 23,...

Usiyoyajua kuhusu Siku ya Fistula itokanayo na uzazi

Na mwandishi wetu, Gazetini MEI 23, kama ambavyo hufanyika kila mwaka, Dunia inaadhimisha Siku ya Fistula itokanayo na uzazi, ambayo husababisha kwa asilimia 90 visa...

Recent articles