Ads: info@gazetini.co.tz |
23.1 C
Dar es Salaam

Makala

‘Uswahili’ ulivyotawala kambi ya wachezaji Senegal huko Marekani

NEW JERSEY, Marekani TIMU ya soka ya Taifa ya Senegal iliingia kwenye fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu (2026) ikiwa inapewa nafasi kubwa...

Watoto wa mitaani, ‘mateja’, machangudoa; mfupa uliozishinda mamlaka?

Na Hassan Mwasha, Gazetini UKIKATIZA mitaa miwili hadi mitatu, hasa katika majiji makubwa kama ilivyo kwa hapa Dar es Salaam, ni jambo lisilowezekana kukutana na...

Nyuma ya Cristiano Ronaldo kuna mrembo Katia Aveiro

CALIFORNIA, Marekani BAADA ya timu ya soka ya Taifa ya Ureno kulazimishwa sare ya bao 1-1 na DRC, lawama zote zilielekezwa kwa nahodha wa kikosi,...

Bongo Fleva v Ushetani: Nicki Minaj amegusa walipopita V Money, BillNass

Na Hassan Mwasha, Gazetini HIVI karibuni, rapa wa Marekani, Nicki Minaj, alitoa kauli tata kuhusu soko la muziki, akisema limejaa vishawishi vinavyoweza kukutoa kwenye imani...

Baba yake Kim Kardashian alivyobadili jinsia na kuwa mwanamke

LOS ANGELES, Marekani OKTOBA 28,1976, dunia ilikuwa ikimtazama mwanaume aitwaye Bruce Jenner akitwaa medali ya dhahabu katika michuano ya Olimipiki kwa upande wa mchezo wenye...

Missy Elliott: Safari ya ustaa na baba alivyotaka kumpiga risasi

LOS ANGELES, Marekani JINA lake ni Melissa Arnette lakini wapenzi wa muziki wa R&B na Hip hop, hasa katika miaka ya 1990, wanamfahamu kwa jina...

Kombe la Dunia 2026: Ufaransa ilivyokomesha mazoea ya Afrika

NEW YORK, Marekani MABAO mawili ya Kylian Mbappe na moja la Bradley Barcola yalitosha kuipa timu ya soka ya Ufaransa ushindi wa 3-1 dhidi ya...

Mkenda: Hakuna mtoto atakayeachwa nyuma katika elimu

Na Ramadhan Hassan, Gazetini-Dodoma WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, amesema Serikali itaendelea kuhakikisha hakuna mtoto anayekosa haki ya kupata elimu, ikiwemo...

Unajua kwa nini huajiriwi licha ya ‘interview’ nyingi?

Na Hassan Mwasha, Gazetini UNAJIULIZA kwanini hujapigiwa simu ya kuitwa kazini licha ya kuhisi ulifanya vizuri Siku ya usahili (interview)? Tulia. Huenda tatizo si uwezo wako...

Siri ugomvi wa Van Gaal, Di Maria wakiwa Old Trafford

MANCHESTER, Uingereza ANGEL di Maria alitua Manchester United mwaka 2014 akitokea Real Madrid, usajili wake wa Pauni milioni 59.7 ukivunja rekodi katika soka la Uingereza. Chanzo...

Mateso waliyopitia Liverpool msimu wa 2025-26

MERSEYSIDE, Uingereza LIVERPOOL waliuanza msimu huu wa 2025-26 wakiwa na matarajio makubwa ya kufanya vizuri baada ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya England (EPL)...

Haiti: Soka lilivyorejesha tabasamu la muda katikati ya vilio, simanzi

PORT-AU-PRINCE, Haiti HAITI ni Kisiwa kilichopo Caribbean, kikifahamika kwa hali yake mbaya ya usalama kutokana na machafuko yanayosababishwa na utitiri wa magenge ya uhalifu yaliyotapakaa...

Recent articles