Ads: info@gazetini.co.tz |
20.2 C
Dar es Salaam

Makala

Nani kumaliza vita vya Putin, Ukraine?

MOSCOW, Urusi WAZIRI Mkuu wa India, Narendra Modi, amemshauri mshirika wake mkubwa, Vladimir Putin, kumaliza vita vinavyoendelea kati ya nchi yake ya Urusi na majirani...

Baada ya Tupac, sasa ni msako wa aliyemuua B.I.G.?

LOS ANGELES, Marekani UTATA uliodumu wa miaka 30 umepatiwa ufumbuzi hivi karibuni baada ya Duane Davis, maarufu kwa jina la Keffe D, kukutwa na hatia...

Vijana Afrika wanavyotumika vita vya Urusi, Ukraine

YOUNDE, Cameroon CAMEROON inatajwa kuwa moja ya nchi zinazotoa vijana wengi walioko vitani kulisaidia jeshi la Urusi dhidi ya Ukraine. Mbaya zaidi, vijana hao hawaendi...

Nini hatima ya Novak Djokovic?

NEW YORK, Marekani STAA huyo wa tenesi raia wa Serbia anapitia wakati mgumu. Ametoka kutolewa katika raundi ya kwanza ya msimu huu wa michuano ya...

Messi hana deni Argentina, akapumzike tu!

BUENOS AIRES, Argentina ‘NIMETOA kila kitu, sina nilichobakiza.’ Ni kauli ya Lionel Messi wakati alipotangaza hivi karibuni, kwamba amestaafu kuitumikia timu ya soka ya Taifa...

Lionel Richie; Mtoto wa mwanajeshi aliyeacha uchungaji kisa muziki

LOS ANGELES, Marekani LEJENDARI wa muziki wa Soul na R&B nchini Marekani, Lionel Richie, alikimbizwa hospitali wikiendi iliyopita, kisha kuwekwa ‘ICU’ mjini St. Louis. Richie (77),...

Msigwa atoa onyo kutumia vibaya vitambulisho vya NIDA

Na Esther Mnyika, Gazetini MSEMAJI Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, amewaonya wananchi dhidi ya kukabidhi vitambulisho au namba zao za Taifa kwa watu wengine kwa...

Usiyoyajua kuhusu mauaji ya halaiki ya Rwanda 1994 (3)

Na mwandishi wetu, Gazetini UHASAMA mkubwa wa jamii ya Wahutu na Watutsi ulishuhudiwa tena mwaka 1990. Ni baada ya kundi la Rwandan Patriotic Front (RPF)...

Usiyoyajua kuhusu mauaji ya halaiki ya Rwanda 1994 (2)

Na mwandishi wetu, Gazetini KAMA tulivyoanza katika sehemu iliyopita, mauaji ya halaiki yaliyotokea Rwanda mwaka 1994 yaliwahusisha Wahutu na Watutsi, ambayo ndiyo makabila makubwa zaidi...

Usiyoyajua kuhusu mauaji ya halaiki ya Rwanda 1994 (1)

Na mwandishi wetu, Gazetini SIKU chache zilizopita, Mahakama mjini The Hague, Uholanzi, ilimuhukumu kifungo cha maisha mwanaume aliyetambulika kwa jina la Eugene N baada ya...

Maajabu ya kulala wikiendi kwa afya yako

Na mwandishi wetu, Gazetini KULALA kwa saa moja au mbili za ziada katika siku za mapumziko ya wiki (wikiendi) kunapunguza hatari ya kupata shinikizo la...

Messi aaga timu ya Taifa Argentina baada ya miaka…

BUENOS AIRES, Argentina LIONEL Messi ametangaza rasmi kustaafu kuichezea timu ya taifa ya Argentina, akisema amefikia wakati wa kuachana na jezi hiyo baada ya safari...

Recent articles