Ads: info@gazetini.co.tz |
32.2 C
Dar es Salaam

Kitaifa

Mila kandamizi zinavyotesa wanawake wenye changamoto za uzazi, IVF yaibua tumaini jipya

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Wakati dunia ikibadilika kwa kasi kupitia maendeleo ya teknolojia na tiba za kisasa, barani Afrika bado kuna mamilioni ya wanawake wanaoendelea...

Madagascar kuzuia rekodi mpya Taifa Stars?

Na mwandishi wetu, GazetiniTIMU ya soka ya taifa ya Tanzania 'Taifa Stars', leo itashuka dimbani kumenyana na Madagascar, ukiwa ni mtanange wa fainali za...

CAF yaipanga Simba ya tano, Yanga ya 12 viwango vya ubora Afrika

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Klabu ya Simba SC imepanda hadi nafasi ya tano katika viwango vipya vya ubora vya Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF),...

Mkutano Mkuu Yanga Sept. 7

Na Mwandishi Wetu, Gazetini KLABU ya Yanga imetangaza rasmi kuwa Mkutano Mkuu wake utafanyika Septemba 7, mwaka huu.Taarifa rasmi ya Yanga kwa wanachama wake imeweka...

Taasisi na asasi za elimu ya mpiga kura zatakiwa kuzingatia sheria

Na Mwandishi Wetu Taasisi na asasi za kiraia zilizopata kibali cha kutoa elimu ya mpiga kura wakati wa uchaguzi mkuu wa mwaka huu zimetakiwa kufanya...

Usiyoyajua kuhusu kocha mpya Yanga

MWANDISHI WETU, GazetiniNI rasmi sasa, kwamba benchi la ufundi la Yanga liko chini ya kocha mpya raia wa Ufaransa, Romain Folz.Ikielezwa kuwa amesaini mkataba...

JET, IUCN wawanoa waandishi wa habari kuhusu uchumi wa buluu

Na Mwandishi Wetu, Gazetini-Tanga Katika kuhakikisha kuwa waandishi wa habari wanakuwa mstari wa mbele kuelimisha jamii na kuchochea sera kuhusu uchumi wa buluu, Chama cha...

IUCN na JET kuwanoa waandishi katika kuandika masuala ya Uchumi wa Buluu

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Mradi wa Bahari Mali, unaotekelezwa na Shirika la Kimataifa la Uhifadhi wa Mazingira (IUCN), unalenga kuonesha mifano ya vitendo ya uchumi...

Rais Samia atoa  wito utekelezaji Dira ya Taifa 2050, afurahishwa na Dk. Mpango

Na Mwandishi Wetu Rais Samia Suluhu Hassan, amezindua rasmi Dira ya Taifa ya Maendeleo ya 2050 ambapo ametoa maagizo kwa taasisi za umma na sekta...

Chalamila atoa wito wa amani kwa viongozi wa dini

Na Imani Nathaniel, Gazetini Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, ametoa wito kwa viongozi wa dini kutumia lugha ya staha na kuhubiri...

Watumishi wa Umma watakiwa kujifunza kwa bidii kuongeza ufanisi

Na Mwandishi Wetu, Gazetini-Dodoma Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Dk. Jim Yonazi, amewahimiza watumishi wa umma kujenga utamaduni wa...

Tembocard ni Shwaa yampa gari Rahabu

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Benki ya CRDB imesema kampeni ya kuhamasisha matumizi ya kidigitali katika kufanya miamala kupitia kadi ya Tembocard imekuwa na mafanikio makubwa. Kampeni...

Recent articles